Arsenal yaiharibia rekodi Real Madrid Ulaya Arsenal inapambana kuchukua taji hili kwa mara ya kwanza katika historia yao ingawa hapo awali iliwahi kushinda lakini wakati huo lilikuwa linaitwa European Cup Winners msimu wa 1993-94.
PICHA: Viongozi mbalimbali wa Serekali, TFF, TPLB, Yanga na Simba walivyowasili kwenye mkutano sakata la Dabi