PRIME Kanuni yaongeza utata sakata la Dube, Azam FC Wakati kukiibuka tetesi mkataba ulioongezwa wa Azam FC na Prince Dube hakuwasilishwa katika Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kanuni za Ligi Kuu 2023/2024 zinakinzana katika kuamua upande upi...
PRIME Acha inyeshe tujue panapovuja Dabi ya Kariakoo PRESHA ya mchezo wa ‘Kariakoo Dabi’ kwa mashabiki wa Yanga na Simba nchini tayari imeanza kupanda wakati ikibakia siku moja tu kwa miamba hiyo kushuka kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa kesho...
PRIME Dabi ya Aziz KI na Chama UKISIKIA mwisho wa ubishi ndio huu wakati vigogo vya soka nchini, Simba na Yanga zitavaana katika mechi ya marudiano ya Ligi Kuu Bara.
Kalaba apata nafuu, aanza kuzungumza, kula ALIYEKUWA nyota wa TP Mazembe na timu ya taifa ya Zambia, Rainfold Kalaba amerejewa na fahamu na sasa anaweza kuzungumza na kula. Akitoa taarifa hiyo leo Ijumaa, Ofisa Uhusiano wa University...
Wakongwe: Ni Dabi ya suluhu au sare Mastaa waliowahi kuzichezea Simba na go Yanga wametoa utabiri wa mechi ya Kariakoo Dabi ya Ligi Kuu Bara inayopigwa kesho, Jumamosi, uwanjani Benjamin Mkapa, wengi wao wakiiona suluhu au...
Diarra dhidi ya Lakred WAKATI homa ya pambano la Ligi Kuu Bara kati ya vinara wa ligi, Yanga dhidi ya Simba likizidi kupanda kutakuwa na vita nyingine mpya kwenye eneo la makipa wa timu hizo mbili. Hapana shaka Yanga...
Raska Zone hesabu kali wakiitisha KVZ Nahodha wa kikosi hicho, Ramadhan Yussuf Isaa alisema licha ya kuwepo kwenye mapumziko ya mwezi mmoja lakini wamerudi wakiwa na nguvu na ari mpya na wapo tayari kuipambania timu hiyo.
PRIME Ukiwa na macho ZPL marufuku BODI ya Ligi Kuu Zanzibar (ZPLB) kupitia kwa Mtendaji Mkuu, Issa Kassim ameliambia Mwanaspoti hawatamruhusu kucheza mechi mchezaji yeyote atakayebainika kuwa na tatizo la macho mekundu maarufu...
Dk Mwinyi ajitosa ishu ya Zanzibar CAF SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema bado inapambana ili kupata ufumbuzi juu ya suala la timu ya taifa ya soka ya Zanzibar, 'Zanzibar Heroes' la kutopata nafasi ya kushiriki...
Mambo 3 yanaibeba Yanga SC JUMAMOSI ya wiki hii, inapigwa Kariakoo Dabi kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Yanga itakuwa mwenyeji wa Simba ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara. Kuanzia saa 11:00 jioni, ndiyo mchezo huo...
Derby ya mashemeji kitaumana usiku Wakati homa ya mchezo wa dabi ya Mashemeji kati ya Gor Mahia FC na AFC Leopards ikizidi kupamba moto, Shirikisho la Soka nchini Kenya (FKF) tayari limeweka wazi kuwa mchezo huo utapigwa usiku.
Wababe wanne Ligi ya Mabingwa Ulaya Ligi ya Mabingwa Ulaya ilimaliza hatua ya robo fainali juzi baada ya vigogo wa England Manchester City na Arsenal kuondolewa kwenye michuano hiyo kwa usiku mmoja