Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Changamoto ya kupumua yaibeba Simba

WAKATI timu mbalimbali zinazoshiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika zikipata athari kubwa juu ya virusi vya corona, wawakilishi wa Tanzania katika michuano hiyo, Simba ni kama wamepata faida zaidi.

Simba iko kundi moja na mabingwa wa kombe hilo, Al Ahly, Al Merrikh pamoja na As Vita licha ya ugumu wa miamba hiyo, lakini inaongoza kundi ikiwa na pointi sita baada ya kuifunga AS Vita kwa bao 1-0 na Al Ahly bao 1-0.

Corona licha ya kuenea duniani kote, lakini kwa Tanzania imekuwa tofauti na nchi nyingine ambazo zimeweka zuio la watu kutotoka majumbani ili kupunguza maambuziki.

Kusoma stori nzima bonyeza: https://fupi.co.tz/jPbWh04