PRIME Mambo saba Dabi ya Kariakoo Kwa Mkapa LILE pambano lililokuwa linapiga danadana hatimaye lilifanyika juzi kwenye Uwanja wa Mkapa pale Temeke. Katika mechi hiyo ya kiporo kilichoahirishwa mara mbili Machi 8 na Juni 15 Yanga...
Pacome, Ahoua utata wamalizwa VITA ya nani bingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu imemalizika kibabe baada ya Yanga kuichapa Simba mabao 2-0, mjadala mkubwa uliobaki sasa Tuzo ya Mchezaji Bora (MVP) wa ligi hiyo itakwenda wapi...
Arsenal yapata mrithi wa Partey ARSENAL imefanikiwa kufikia makubaliano ya kumsajili kapteni wa Brentford, Christian Norgaard, kwa ada ya pauni 10 milioni pamoja na nyongeza ya hadi Pauni 5 milioni, ili akawe mbadala wa kiungo...
PRIME Rekodi nne Yanga ilivyobeba Ubingwa YANGA imetetea ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2024-2025, baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Simba, katika mechi ya Dabi ya Kariakoo iliyopigwa Juni 25, 2025 kwenye Uwanja wa...
Pogba: Monaco? Bado sijasaini KIUNGO wa boli, Paul Pogba amesema tena kwa msisitizo “sijasaini chochote” wakati huu ikiripotiwa kuwa staa huyo wa zamni wa Manchester United atajiunga na Monaco.
PRIME Rekodi nne Yanga ilivyobeba Ubingwa YANGA imetetea ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2024-2025, baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Simba, katika mechi ya Dabi ya Kariakoo iliyopigwa Juni 25, 2025 kwenye Uwanja wa...
HADITHI HADITHI: Kwa Mtutu wa Bunduki - 5 Alipoingia katikati ya kundi hilo akaliona gari la Idara ya upelelezi alilokuwa akiendesha Temba, tairi zake za mbele zimeingia katika mfereji. Msembeko alichungulia ndani ya gari hilo na...
JKU Princess yaendelea kugawa dozi Zanzibar TIMU ya JKU Princess, imeendeleza ubabe katika Ligi Kuu Soka Wanawake Zanzibar (WPL) baada ya kuichapa Dunga Queens mabao 9-0.
KMKM mabingwa wapya Kombe la FA Zanzibar TIMU ya KMKM imetwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho (FA) baada ya kuichakaza Chipukizi mabao 4-2 katika mchezo wa fainali uliochezwa leo Juni 21, 2025 kwenye Uwanja wa Mao Zedong uliopo Mjini...
Fujo zaiponza KVZ, yalimwa faini Sh3 milioni SHIRIKISHO la Soka Zanzibar (ZFF), limeipiga faini ya Sh3 milioni, KVZ baada ya kubainika mashabiki wake kufanya vurugu katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (ZFF Cup) dhidi ya...
PRIME Mambo saba Dabi ya Kariakoo Kwa Mkapa LILE pambano lililokuwa linapiga danadana hatimaye lilifanyika juzi kwenye Uwanja wa Mkapa pale Temeke. Katika mechi hiyo ya kiporo kilichoahirishwa mara mbili Machi 8 na Juni 15 Yanga...
Staa wa Yanga kuwania uenyekiti AFC Leopards SC Bonface Ambani, gwiji wa soka nchini Kenya na mchezaji wa zamani wa AFC Leopards, amezindua rasmi ilani yake ya kampeni iitwayo “IPOSIKU” leo Juni 26, 2025, katika ukumbi wa KCB Simba jijini...
Arsenal yapata mrithi wa Partey ARSENAL imefanikiwa kufikia makubaliano ya kumsajili kapteni wa Brentford, Christian Norgaard, kwa ada ya pauni 10 milioni pamoja na nyongeza ya hadi Pauni 5 milioni, ili akawe mbadala wa kiungo...
PICHA: Viongozi mbalimbali wa Serekali, TFF, TPLB, Yanga na Simba walivyowasili kwenye mkutano sakata la Dabi