Fainali NBA mambo yanaanza HATIMAYE pazia la Fainali za NBA limefunguliwa leo alfajiri, huku New York Knicks na San Antonio Spurs zikikabiliana katika vita ya kuwania ubingwa unaoweza kumaliza ukame wa muda mrefu wa mataji...
Singida Black Stars yamfungia kazi msauzi Singida Black Stars imeanza mipango ya kuimarisha kikosi chake kwa ajili ya msimu ujao kwa kuweka macho kwa kiungo mshambuliaji wa Golden Arrows ya Afrika Kusini, Siyanda ‘Skhwishi’ Ndlovu.
Dili iliyokufa - 8 ILIPOISHIA Zainab akatabasamu. “Nitafurahi sana” “Nataka mke wangu upate afya nzuri uweze kumlea mtoto wetu aliye tumboni mwako” “Usijisahau mume wangu. Ukumbuke kuwa umeacha mke wako akiwa...
Chipukizi, New Kings bado zina nafasi ZPL USHINDI wa bao 1-0 wa Polisi dhidi ya Chipukizi katika mchezo wa Ligi Kuu Zanzibar uliochezwa Uwanja wa Gombani, Pemba, umeongeza presha kwa Chipukizi na New Kings katika vita vya kujiokoa...
Wawi Stars, Chipukizi fainali FA Pemba BINGWA mtetezi wa Kombe la FA Kanda ya Pemba, Chipukizi United, itakutana na Wawi Stars katika fainali ya michuano hiyo mwaka huu.
Kompyuta yatabiri bingwa Kombe la Dunia TOFAUTI na fainali zilizopita za Kombe la Dunia, mwaka huu inaingia kwenye historia hata kabla ya kuanza kwa sababu ni mashindano yatakayokuwa na ukubwa ambao haujawahi kushuhudiwa.
Mkenya kulamba dili jipya Pamba Jiji MABOSI wa Pamba Jiji wameanza mchakato wa kumuongezea mkataba mpya mshambuliaji wa kikosi hicho, Mkenya Mathew Momanyi Tegisi baada ya kuridhishwa na kiwango chake tangu amejiunga na timu hiyo.
PRIME Bado fainali za AFCON 2027 zimepoa WAKATI niliposikia Rais Samia Suluhu Hassan alipomteua Paul Makonda kuwa naibu waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, kitu kimoja kilikuja kichwani; fainali za soka za Mataifa...