PRIME Fainali ya kibabe, Ahoua, Kibu kazi kwao BADO saa chache kabla ya Simba kushuka uwanjani kuvaana na RS Berkane ya Morocco kwenye pambano la kwanza la fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, huku washambuliaji wawili wanaoongoza kwa mabao...
PRIME Fainali CAFCC: Tripu hii, ngoja tuone! SIMBA imekata mzizi wa fitina. Imetinga fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kusota kwa muda mrefu.
Dalali: Tukifanya haya mwarabu hatoki MWENYEKITI wa zamani wa Simba, Hassan Dalali amesema hadi sasa maandalizi ya timu hiyo kwa mchezo wa ugenini wa hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane ya Morocco ni...
Kibadeni: Haikuwa rahisi kufika fainali 1993 TAKRIBAN miaka 32 imepita tangu Simba ilipocheza fainali ya Kombe la CAF mwaka 1993 wakati ambao Kocha Mkuu alikuwa Abdallah Kibadeni ‘King’, wakati timu hiyo leo itashuka tena uwanjani kucheza...
Dar City, Pazi BDL kama Simba, Yanga LICHA ya juzi kuchezwa mechi tofauti za Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) iliyokuwa na mvuto, msisimko na kujaza mashabiki katika viwanja vya Don Bosco Upanga ni ile iliyohusisha Dar...
Hivi ndivyo vyakula pendwa Morocco KILA nchi ina utamaduni wake na vyakula, kuna wakati huwa ni utambulisho wa nchi au jamii fulani.
HADITHI HADITHI: Kwa Mtutu wa Bunduki - 5 Alipoingia katikati ya kundi hilo akaliona gari la Idara ya upelelezi alilokuwa akiendesha Temba, tairi zake za mbele zimeingia katika mfereji. Msembeko alichungulia ndani ya gari hilo na...
Polisi yarejea Ligi Kuu Zanzibar Licha ya vita vya ngumi na midomo iliyotokea leo Jumapili katika mechi ya jasho na damu, maafande wa Polisi wameichakaza Kundemba kwa kuitandika mabao 3-1 kwenye Uwanja wa Mao B, Mjini Unguja na...
New King yavunja mwiko na kupanda ZPL New King yenye historia ya kuishia katika hatua ya pili ya mtoano wa daraja la kwanza imefanikiwa kuvunja ukuta huo leo jioni na rasmi kucheza ZPL msimu ujao.
Mwenge yaizima Junguni, Mwembe Makumbi ikibanwa ZPL Maafande wa Zimamoto wameiwekea ngumu Mwembe Makumbi kwa kutoka sare ya 3-3, huku Mwenge ikiizima Junguni United katika mfululizo wa mechi za Ligi Kuu Zanzibar. Mwembe Makumbi ambao ndio vinara...
Simba katika fainali baada ya siku 11,494 SIMBA inashuka uwanjani usiku wa leo ikiwa ugenini kuvaana na RS Berkane ya Morocco katika mechi ya kibabe ya fainali inayopigwa Uwanja wa Manispaa ya Mji wa Berkane, nchini humo.
Nyota Yanga Princess awasha moto Misri ALIYEKUWA mshambuliaji wa Yanga Princess, Mkenya Janet Bundi anayekipiga NBE FC ya Misri amezidi kung'ara akiwa kwenye tatu bora za wafungaji bora nchini humo.
Amorim adai Man United ni bora isifuzu Uefa KOCHA, Ruben Amorim anafahamu wazi presha atakayokabiliana nayo endapo kama Manchester United haitanyakua taji la Europa League, Jumatano ijayo.
PICHA: Viongozi mbalimbali wa Serekali, TFF, TPLB, Yanga na Simba walivyowasili kwenye mkutano sakata la Dabi