Kombe la Dunia la Klabu, Mamelodi Sundowns sio kinyonge BAADA ya Mamelodi Sundown kutoka sare jana dhidi Flamengo ya Brazil, rasmi timu zote za Afrika zimeondoshwa katika mashindano ya Kombe la Dunia la klabu yanayoendelea huko Marekani.
PICHA: Viongozi mbalimbali wa Serekali, TFF, TPLB, Yanga na Simba walivyowasili kwenye mkutano sakata la Dabi