PRIME Bruno ana tamaa, Manchester United ina tamaa? ALISEMA mwendawazimu mmoja. "Pesa sio kila kitu, lakini ni afadhali kulia ukiwa katika Mercedes Benz kuliko kulia ukiwa katika baiskeli". Ni wakati mwingine wa kuitafakari pesa. Pesa ni nini hasa?
PICHA: Viongozi mbalimbali wa Serekali, TFF, TPLB, Yanga na Simba walivyowasili kwenye mkutano sakata la Dabi