Dabi yampa Ouma mbinu za ushindi fainali FA DAKIKA 90 za mchezo kati ya wenyeji Yanga dhidi ya watani zao Simba zimemtosha kocha wa Singida Black Stars, David Ouma kutambua ni wapi anatakiwa kufanyia kazi kabla ya kuvaana na timu hiyo...
PICHA: Viongozi mbalimbali wa Serekali, TFF, TPLB, Yanga na Simba walivyowasili kwenye mkutano sakata la Dabi