Polisi yarejea Ligi Kuu Zanzibar Licha ya vita vya ngumi na midomo iliyotokea leo Jumapili katika mechi ya jasho na damu, maafande wa Polisi wameichakaza Kundemba kwa kuitandika mabao 3-1 kwenye Uwanja wa Mao B, Mjini Unguja na...
New King yavunja mwiko na kupanda ZPL New King yenye historia ya kuishia katika hatua ya pili ya mtoano wa daraja la kwanza imefanikiwa kuvunja ukuta huo leo jioni na rasmi kucheza ZPL msimu ujao.
Mwenge yaizima Junguni, Mwembe Makumbi ikibanwa ZPL Maafande wa Zimamoto wameiwekea ngumu Mwembe Makumbi kwa kutoka sare ya 3-3, huku Mwenge ikiizima Junguni United katika mfululizo wa mechi za Ligi Kuu Zanzibar. Mwembe Makumbi ambao ndio vinara...