Gabriel bado yupo sana Arsenal Beki wa Kati raia wa Brazil, Gabriel Magalhaes (27) ameongeza mkataba wa kuitumikia Arsenal hadi 2029.
PICHA: Viongozi mbalimbali wa Serekali, TFF, TPLB, Yanga na Simba walivyowasili kwenye mkutano sakata la Dabi