Dembele aingia kwenye historia ya Kombe la Dunia kwa hat-trick ya mapema
NYOTA wa Ufaransa, Ousmane Dembele, ameandika historia mpya usiku wa kuamkia leo, Jumamosi katika Kombe la Dunia 2026 baada ya kufunga hat-trick ndani ya dakika 32 katika ushindi wa mabao 4-1...