Madrid yatwaa ubingwa wa 36 La Liga Real Madrid imeshinda ubingwa wa La Liga msimu huu 2023/24 ikiwa ni mara ya 36 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Cadiz.
Kinachoendelea Kwa Mkapa muda huu | Mashabiki wafunguka utabiri wa mabao Yanga vs Simba Mwananchi Digital 953K subscribers