Mlandege yaanza kusuka kikosi KATIBU Mkuu wa Mlandege, Hussein Ahmada amesema dirisha hili kubwa la usajili wameacha wachezaji 15 lakini wana mpango wa kusajili wengine kwa lengo la kukijenga kikosi chao upya.
Juma Shaaban aziweka tatu mezani WAKATI mchezaji Juma Shaaban ‘James’ akiachana na KVZ, JKU, Uhamiaji na Black Sailors zinatajwa kuingia kwenye mbio za kuwania saini ya beki huyo.
BTMZ, ZFF waungana kuinua vwango vya makocha Zanzibar NAIBU Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Ali Abdulgulam Hussein, amesema mafunzo ya utimamu wa mwili kwa makocha ni hatua muhimu ya kuongeza ubora wa soka nchini.