Hatma ya vita Harmonize, Ibraah GUMZO kubwa kwenye burudani nchini kwa sasa ni mzozo wa msanii Harmonize na Ibraah. Wawili hao wamefikishana kwenye mamlaka ya uamuzi ambazo huenda Jumatano hii zikatamka jambo.
VIDEO: Shangwe zateka msafara wa Simba, yatua Morocco Simba imewasili Casablanca, Morocco alfajiri ya leo saa 10:20 hapa ikiwa ni saa 1:20 kwa saa za Tanzania.