Uzao wa Wema Sepetu kama kina Mariah Carey, J. Lo IMEKUWA habari njema na kubwa kwa mashabiki wengi wa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu, 35, baada ya kujaliwa mtoto wake wa kwanza baada ya mapambano ya muda mrefu kama alivyowahi kuelezea.
Mtaka, Tandau kuchuana urais TOC MAKUBALIANO ya pamoja kati ya Kamati ya Olimpiki ya Kimataifa (IOC), Serikali ya Tanzania na uongozi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) yamewarejesha wagombea wanne akiwemo Anthony Mtaka...