Picha Kocha mpya Yanga atua Dar na msaidizi wake Jumatano, Februari 05, 2025 Aliyekuwa kocha wa Singida BS, Hamdi Miloud awasili jijini Dar es Salaam leo asubuhi akiwa na msaidizi wake tayari kwa kujiunga na Yanga. Photo: 1/3 View caption Photo: 2/3 View caption Photo: 3/3 View caption Login to join the discussion Please enable JavaScript to view the comments powered by Disqus.
PRIME Simba yapewa refa wa 1-0 Sauzi SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF), limemkabidhi mwamuzi wa kimataifa kutoka Misri, Amin Omar jukumu la kuchezesha mechi ya marudiano ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya...
PRIME Fadlu: Dakika 10 zitaamua, Mpanzu apigilia msumari mchongo wa fainali CAFCC KOCHA wa Simba, Fadlu Davids, aamesema timu yake itaenda Afrika Kusini kushambulia na kufunga, si kulinda bao moja walilopata nyumbani na kwamba katika dakika 10 za kwanza wataipa Stellenbosch ya...
Fountain Gate yamsimamisha kipa kisa mabao ya Yanga UONGOZI wa Fountain Gate umemsimamisha kipa wake John Noble kwa makosa yanayodaiwa kuwa ni ya kizembe kwenye mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Yanga timu hiyo ikikubali kichapo cha mabao 4-0.