Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Hawa ndio Al Merrikh, unajipigia!

VITUME vidole vyako viguse batani au kioo cha simu yako kisha tembelea kwenye moja ya tovuti za kampuni za ndege halafu fanya mchakato wa kununua tiketi itakayokupeleka Khartoum.

Ukishuka ulizia mkalimani wa Lugha ya Kingereza kwenda Kiarabu, halafu fanya safari ya kwenda makao makuu ya Al-Merrikh Sporting Club.

Ukifika mapokezi muombe mkalimani amwambie dada wa mapokezi kwamba unahitaji kukutana na mwanahistoria wa timu hiyo.

Kusoma stori nzima bonyeza: https://fupi.co.tz/jPbWh04