Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

692 results for Damian Masyenene :

  1. Minziro ashtukia jambo Ligi Kuu

    PAMBA Jiji gari limewaka baada ya kushinda mechi tatu mfululizo za Ligi Kuu Bara ikiwa ni rekodi kwa timu hiyo iliyorejea katika ligi hiyo baada ya miaka 23 tangu iliposhuka mwaka 2001, lakini...

    Minziro Pict
  2. Pamba hiyooo nafasi ya 10 ikiibamiza Coastal Union 2-0

    Hatimaye Pamba Jiji imeingia kwenye nafasi 10 za juu katika Ligi Kuu Bara msimu huu baada ya kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Coastal Union huku ikijihakikishia mamilioni ya bonasi.

    New Content Item (1)
  3. Vita mpya ya Stumai, Jentrix Ligi ya Wanawake

    VITA ya ufungaji bora wa Ligi Kuu ya Wanawake (TWPL) inazidi kupamba moto kati ya mastaa wawili, Stumai Abdallah ((JKT Queens) na Jentrix Shikangwa (Simba Queens) huku mbio zao zikikolezwa na...

  4. Siku 120 za maajabu ya Minziro Pamba Jiji FC

    FEBRUARI 17 kwa kocha Fred Felix ‘Minziro’ itakuwa ni miezi minne kamili ambayo ni sawa na takribani siku 120 ndani ya Pamba Jiji ya Mwanza tangu alipoteuliwa na kupewa majukumu Oktoba 17, 2024...

    Minziro Pict
  5. Pamba Jiji yatuma ujumbe kwa waamuzi

    Pamba Jiji imetuma ujumbe kwa waamuzi wa Ligi Kuu Bara ikionyesha masikitiko juu ya vitendo vya baadhi ya waamuzi kulazimisha matokeo yanayozifurahisha baadhi ya timu na kuziumiza nyingine.

    Pamba Pict
  6. PRIME Mastaa Ligi Kuu Bara watuhumiwa kubeti

    WAKATI kukiwa na mijadala kuhusu wachezaji wa ligi mbalimbali za soka nchini kuhusika katika michezo ya kubashiri (betting) na kupanga matokeo, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amefichua kuwa...

    Pamba Pict (1)
  7. ‘Bosi’ Alliance aagwa jijini Mwanza, TFF kushughulikia madai ada ya uhamisho wa wachezaji

    Wadau wa michezo nchini, ndugu, jamaa, marafiki, wanasiasa na wakazi wa Jiji la Mwanza wameuaga mwili wa Mkurugenzi wa Kituo cha Michezo na Shule za Alliance, James Bwire na kesho Jumamosi...

    Bosi Pict
  8. Mama wa bosi Alliance afariki siku ya kumuaga mwanaye

    Katika hali isiyo ya kawaida mama mzazi wa aliyekuwa mmiliki na mkurugenzi wa Kituo cha Michezo cha Alliance kilichopo jijini Mwanza, James Bwire, aliyefariki dunia Januari 25, 2025 naye amefariki.

  9. Pamba Jiji yapata CEO, aachiwa kufyeka mishahara

    KLABU ya Pamba Jiji imemtambulisha, Peter Rehett kuwa ofisa mtendaji mkuu (CEO), ikiwa ni takriban miezi 10 nafasi hiyo ikiwa haina mtu ikikaimiwa na meneja wa timu hiyo, Ezekiel Ntibikeha.

    Pamba Pict
  10. Wadau wamlilia Bwire, wataja vilivyombeba

    WAKATI maandalizi ya kuupumzisha mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Kituo cha Kukuza na Kulea vipaji cha Alliance, Jame Bwire yakiendelea kabla ya kuzikwa wikiendi hii, baadhi ya wadau wa michezo...

Previous

Page 3 of 70

Next