Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Manara rasmi Yanga

New Content Item (1)
New Content Item (1)

ALIYEKUWA ofisa habari wa klabu ya Simba, Haji Manara amejiunga na klabu ya Yanga leo Jumanne Agosti 24, 2021 katika ukumbi wa hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.

Manara awali aliondolewa katika wadhifa wa kuwa ofisa habari  wa klabu ya Simba baada ya kutokea sintofahamu baina yake na uongozi wa klabu hiyo.

Manara rasmi Yanga

Manara alifika ukumbini hapa akiongozana na kaimu Katibu mkuu wa Yanga, Haji Manara na kukaribishwa na mhamasishaji Antonio Nugaz.

Manara aliingia ukumbini hapo akiambatana na familia yake huku sura yake ikiwa na furaha muda wote.