Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Jumamosi: Hizi hapa odds 15 za uhakika

Muktasari:

  • Chelsea wameanza kuonyesha ustawi wa kikosi chao chini ya Enzo Maresca huku Arsenal wakionekana kujiamini zaidi kwenye uwanja wa nyumbani. Odds hizi zimechambuliwa kwa kina mtu wangu. Twende kazi! 

ACHA tamaa! Huu hapa mzigo wa leo, Jumamosi una Odds 15 za uhakika. Manchester City ya Pep Guardiola imeonekana kupungua makali tangu kuumia kwa Rodri, hivyo twende nao kiakili kidogo kwa kucheza magoli (GG).

Chelsea wameanza kuonyesha ustawi wa kikosi chao chini ya Enzo Maresca huku Arsenal wakionekana kujiamini zaidi kwenye uwanja wa nyumbani. Odds hizi zimechambuliwa kwa kina mtu wangu. Twende kazi! 


Multi Bet (8)

Leicester – Chelsea

Chaguo: Away   1.47


Bournemouth – Brighton

Chaguo: YES (GG) 1.47


Arsenal – Nottingham

Chaguo: Home  1.43


Manchester City – Tottenham

Chaguo: YES (GG) 1.46


Bristol City – Burnley

Chaguo: 1 or 2   1.30


Atletico Madrid – Alaves

Chaguo: Home  1.45


Las Palmas UD – Mallorca

Chaguo: 1 or 2   1.37


Valencia – Betis

Chaguo: 1 or 2 1.36


Jumla Ya Makisio: 15.84