Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

692 results for Damian Masyenene :

  1. ANTWI: Mghana anayeamini Simba, Yanga zitambeba Black Stars

    LICHA ya kuuanza msimu huu vibaya, lakini sasa unaweza kusema amejipata baada ya kupata uhakika wa namba ili kuzima dimba la kati katika kikosi cha Pamba Jiji ya Mwanza kinachopambana kujinasua...

  2. Kilichoiponza Kirumba chatajwa, Mtanda atoa siku saba

    Baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuufungia Uwanja wa CCM Kirumba uliopo jijini Mwanza kutumika kwa mechi mbalimbali, imebaibishwa kuwa eneo la kuchezea (pitch), kukosekana kwa maji...

    MWANZA Pict
  3. Pamba Jiji yapata ajali, wachezaji wapo salama

    MSAFARA wa Pamba Jiji uliokuwa unatoka Dodoma kwenda Morogoro kwa ajili ya mchezo wa hatua ya 32 Bora wa Kombe la Shirikisho la CRDB (FA) dhidi ya Kiluvya United, umepata ajali alfajiri ya jana...

  4. Vita ya 'Top Four' yaitesa Tabora United, yaanika ramani ya vita

    Benchi la ufundi la Tabora United, limekiri kuwa vita yake na Singida Black Stars kuwania nafasi moja mojawapo kati ya nne za juu katika Ligi Kuu Bara inawatia presha ambayo inawalazimisha...

  5. Songo, wenzake kutibu mtihani huu JKT Tanzania

    Mshambuliaji wa JKT Tanzania, Edward Songo amesema yeye na wenzake katika eneo la ushambuliaji wameshajua tatizo lililopo la ufungaji wa mabao ambalo benchi la ufundi limelifanyia kazi na sasa...

  6. Mastaa Pamba Jiji wamliza Minziro

    KATIKA mahojiano maalumu na Mwanaspoti, kocha mkuu wa Pamba Jiji, Fredy Felix 'Minziro' kafichua jambo ambalo liliiua timu yake dhidi ya Yanga jana katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, lakini akisema...

  7. Yanga yaendeleza dozi, yaifyatua Pamba Jiji

    YANGA ubingwa inautaka, baada ya kuifyatua Pamba Jiji kwa mabao 3-0, huku Bwana Harusi, Stephane Aziz Ki kufunga mara na nyota mpya wa timu hiyo, Jonathan Ikangalombo akicheza kwa mara ya kwanza...

    Haitanii Pict
  8. Minziro: Hatuhitaji kuchoma sindano kucheza mechi ngumu

    KOCHA Mkuu wa Pamba Jiji, Fred Felix 'Minziro' amesema kutokana na upana wa kikosi chake na ubora wa kila mchezaji baada ya usajili wa dirisha dogo hawahitaji kuwachoma sindano baadhi ya...

    Minziro Pict
  9. Miloud hataki kilichoikuta Simba

    Katika kuhakikisha kikosi chake kinaendelea kukaa kileleni kwa msimamo wa Ligi Kuu Bara, Kocha Mkuu wa Yanga, Hamdi Miloud amesema wamekuja Mwanza kwa ajili ya kushinda na kupata alama tatu na...

    Miloud Pict
  10. Pamba yakwepa mtego wa Yanga

    DOZI nene zinazoendelea kutolewa na Yanga katika mechi za Ligi Kuu Bara zimelishtua benchi la ufundi la Pamba Jiji ambalo limetangaza kujipanga mapema kukwepa mtego huo kwa kuzungumza mapema na...

Previous

Page 2 of 70

Next