Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Manara: Naweka nguvu zangu Yanga

New Content Item (2)
New Content Item (2)

BAADA ya kutambulishwa na uongozi wa Yanga, aliyekuwa ofisa habari wa Simba, Haji Manara amesema nguvu alizokuwa anazitumia Simba amezihamishia kwa mabosi wake wapya.

Manara amesema alikuwa anatumia nguvu nyingi Simba lakini wakawa wanamchukulia kawaida na nguvu hizo zitaanza kuonekana.

“Wapo wanasema ni klabu kubwa, hayo yote hayawezi kuwezekana kama hakuna watu hivyo vyote haviwezekani,” anasema Manara.

Manara amesema kuwa Yanga ni kama hisani kwa sababu viongozi wote wa klabu hiyo wanajua nilikuwa Simba.

“Nimevaa jezi ya Yanga na nimeambatana na familia yangu yote nawashukuru sana kwa kuniunga mkono hata huku nilipokuja, nimevaa jezi ya Yanga na sasa nipo huku,” anasema Manara.