Trossard aiteka Istanbul, mashabiki wapagawa kumshuhudia Kiungo mshambuliaji wa Ubelgiji, Leandro Trossard, amegeuka kivutio kwa mashabiki wa Besiktas jijini Istanbul baada ya kukamilisha usajili wake akitokea kwa mabingwa wa England, Arsenal.
Argentina yatembeza viatu, England yalia KIPIGO cha England kutoka kwa Argentina katika nusu fainali ya Kombe la Dunia kilikuwa mchezo kilichangiwa na mabingwa hao watetezi kufanya faulo kwa wastani wa kila baada ya dakika nne kwenye...
Prisons yaaga Ligi Kuu, Polisi Tanzania yarejea, makata aendeleza rekodi yake Baada ya kudumu kwa misimu 15 mfululizo kwenye Ligi Kuu Bara, Tanzania Prisons imeaga rasmi ligi hiyo baada ya kukubali kipigo cha jumla cha mabao 4-1 kutoka kwa Polisi Tanzania kwenye mechi za...
Dili iliyokufa - 42 ILIPOISHIA “Sasa ulikuwa unafanya nini hapo kwake?” “Mume wangu unaniuliza swalli gumu. Sijui nikujibu nini?” “Swali gumu kivipi. Si unaniambia tu ulichokuwa unafanya” “Wakati mwezanko...
Mbappe wa Zanzibar asaini Singida Black Stars MLANDEGE inayoshiriki Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), imetangaza kuachana na mshambuliaji wake, Mussa Hassan ‘Mbappe’ huku ikimtakia kheri katika safari yake mpya.
Vijana waitwa kushiriki Kabaddi Zanzibar MJUMBE wa Shirikisho la Mchezo wa Kabaddi Zanzibar, Abbas Khamis Suleiman, amewataka vijana kisiwani hapa kushiriki mchezo huo kwa lengo la kuzifikia fursa zilizopo.
Timu ya Chipukizi yambeba Gamera BAADA ya timu Wembe kutia nia ya kumtaka aliyekuwa Kocha Mkuu wa Fufuni, Suleiman Mohamed ‘Mani Gamera’, sasa upepo umegeuka na kocha huyo msimu ujao atainoa Chipukizi iliyopo kisiwani Pemba.
Ni nafasi nyingine kwa Jonathan Sowah JONATHAN Sowah kwa taarifa tulizonazo hapa kijiweni ni kwamba anarudi nchini kujiunga na Singida Black Stars.
Mkenya, Mkongo wapishana Pamba MABOSI wa Singida Black Stars wamefikia makubaliano ya kumsajili mshambuliaji wa Pamba Jiji, Mkenya Mathew Tegisi Momanyi, baada ya kuridhishwa na kiwango chake alichokionyesha Ligi Kuu Bara kwa...
Trossard aiteka Istanbul, mashabiki wapagawa kumshuhudia Kiungo mshambuliaji wa Ubelgiji, Leandro Trossard, amegeuka kivutio kwa mashabiki wa Besiktas jijini Istanbul baada ya kukamilisha usajili wake akitokea kwa mabingwa wa England, Arsenal.