Winga Mganda anukia Azam UONGOZI wa Azam FC, uko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa winga raia wa Uganda, Hassan Mubiru kutokea SC Villa ya Uganda, baada ya nyota huyo kuridhia kujiunga na kikosi hicho cha...
'Trump Dance' ya Ubelgiji gumzo NYOTA wa Ubelgiji baada ya kuichapa Marekani aliamua kufanya utani kwa kucheza "Trump Dance." kwa mtindo wa kucheza muziki wa Rais Donald Trump.
Rais Trump amsifia tena Harry Kane RAIS wa Marekani, Donald Trump, ameendelea kumpa sifa nahodha wa England, Harry Kane, akimtaja kuwa mmoja wa wachezaji bora na kufichua kuwa aliwahi kucheza naye mchezo wa gofu.
Kisa Singida BS, Azam yahaha kwa Kitambala AZAM inahaha kumrudisha kundini mshambuliaji wake, Jephte Kitambala ambaye amebakiza hatua chache kumalizana na Singida Black Stars iliyomchukua kwa jeuri ya fedha.
Dili iliyokufa - 39 ILIPOISHIA Kabla ya hapo nilikuwa nikiomba hadi shilingi laki mbili kwa mume wangu niliyemkimbia na pia niiliona hazitoshi lakini huko kwa mganga niliona elfu thelathinizingetosha. Nilikuwa...
Wembe yamtaka Gamera TIMU ya Wembe iliyopanda daraja kushiriki Ligi Kuu Zanzibar msimu wa 2026-2027, ipo katika mazungumzo na aliyekuwa Kocha Mkuu wa Fufuni, Suleiman Mohamed 'Mani Gamera' kwa lengo la kuinoa timu hiyo.
Barabara za AFCON mbioni kukamilika BARABARA zinazoelekea katika Mji wa AFCON uliopo Fumba, zinatarajiwa kukamilika Desemba mwaka huu kwani mradi huo unategemewa kufungua fursa za kiuchumi kisiwani hapa.
KVZ yajinoa Kagame Cup 2026 MABIGWA wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) msimu wa 2025-2026, KVZ, imeanza mazoezi rasmi ya kujinoa kwa ajili ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA Kagame Cup 2026).
Mkenya awinda mikoba ya Yona Amos MABOSI wa Pamba Jiji wameanza mchakato wa kimya kimya wa kukisuka kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao, ambapo kwa sasa wanaangalia uwezekano wa kusajili kipa namba moja wa Shabana FC, Mkenya...
Misri yawashtika waamuzi kwa FIFA SHIRIKISHO la Soka la Misri (EFA) limewasilisha malalamiko rasmi kwa FIFA likitaka waamuzi waliosimamia mchezo wa hatua ya 16 bora dhidi ya Argentina waondolewe katika Kombe la Dunia, likidai...