Michael Olise apiga ‘hat trick’ ya maana KIUNGO mshambuliaji wa Ufaransa Michael Olise ameendelea kuonyesha kiwango chake bora kuelekea Kombe la Dunia baada ya kufunga mabao matatu (hat-trick) na kuiongoza Ufaransa kuibuka na ushindi wa...
Nje ya ulingo haya ndo maisha yao MASHABIKI huwafahamu kwa ngumi kali, KO na mikanda wanayobeba, lakini wachache wanajua maisha yao yanapoisha kelele za ulingoni. Wakati wengine wakidhani mabondia husubiri pambano linalofuata...
Curacao taifa dogo, kocha mzee Kombe la Dunia 2026 CURACAO ni hadithi ya kishujaa kwenye Kombe la Dunia. Nchi ndogo ya kisiwa cha Karibiani, yenye idadi ya watu takriban 158,000 tu lakini maisha ya usiku yanayoshindana na London au New York, ipo...
Jina la Msenegal mezani kwa Ibenge WINGA wa Azam FC raia wa Senegal, Pape Doudou Diallo amerejea tena ndani ya kikosi hicho baada ya mkataba wake wa mkopo na Shabana FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Kenya kumalizika, huku hatima yake...
Dili iliyokufa - 15 ILIPOISHIA “Sasa Majaliwa ungependa uendelee na masomo au ufanye kazi?” Wakwetu akamuuliza. “Ngoja nifikirie halafu nitakwambia.” “Kama utapenda uendelee na masomo utaniambia, vyuo viko vingi...
Malindi yakubali yaishe Ligi Kuu Zanzibar MENEJA wa timu ya Malindi, Ramadhan Sanga amekubali yaishe kwa timu yake kushuka daraja msimu huu huku akisema wana mikakati madhubuti ya kurejea Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Amesema wanakwenda...
Pemba inavyonawiri na viwanja vya kisasa UNAWEZA kusema kwamba zile dhana na imani za kuwa Pemba haiwezi kujengwa, hususan kwa upande wa michezo, kwa sasa mambo yamekuwa tofauti na matarajio ya kila mmoja. Kati ya kundi la watu 100...
Chipukizi, New Kings bado zina nafasi ZPL USHINDI wa bao 1-0 wa Polisi dhidi ya Chipukizi katika mchezo wa Ligi Kuu Zanzibar uliochezwa Uwanja wa Gombani, Pemba, umeongeza presha kwa Chipukizi na New Kings katika vita vya kujiokoa...
Nje ya ulingo haya ndo maisha yao MASHABIKI huwafahamu kwa ngumi kali, KO na mikanda wanayobeba, lakini wachache wanajua maisha yao yanapoisha kelele za ulingoni. Wakati wengine wakidhani mabondia husubiri pambano linalofuata...
Elvis Rupia anukia Ligi Kuu Kenya MSHAMBULIAJI mahiri wa Singida Black Stars, Mkenya Elvis Rupia yuko katika mazungumzo ya kurejea katika timu ya Kenya Police FC ya kwao Kenya aliyowahi kuichezea awali, baada ya klabu hiyo kuanza...
Mashabiki DR Congo wapigwa marufuku dhidi ya Chile Mechi ya mwisho ya maandalizi ya Kombe la Dunia ya DR Congo dhidi ya Chile itachezwa bila mashabiki kutokana na wasiwasi kuhusu mlipuko wa ugonjwa wa Ebola nchini DR Congo.