Kocha wa Yanga atua AS FAR KLABU ya AS FAR ya Morocco imemtangaza rasmi aliyekuwa kocha wa Yanga, Mreno, Pedro Goncalves, kuwa Kocha Mkuu mpya wa timu hiyo, akichukua nafasi ya Alexandre Santos aliyeondolewa mwishoni mwa...
England yahaha kumzuia Erling Haaland BEKI wa England, Marc Guehi amesema anafurahia changamoto ya kumkabili mshambuliaji hatari wa Norway, Erling Haaland, lakini rekodi yake dhidi ya nyota huyo inaonyesha kazi inayomsubiri si rahisi...
Mbeya City ina cha kujifunza LICHA ya kubaki salama Ligi Kuu ya NBC, Mbeya City inapaswa kujiuliza na kujifunza jambo msimu ujao ili kurejesha heshima yake iliyoiweka kwa miaka 10 nyuma katika medani za soka nchini.
Guimaraes aaga Newcastle, Arsenal yatajwa ARSENAL imeongeza kasi katika harakati za kumwania kiungo nyota wa Brazil, Bruno Guimaraes baada ya taarifa kueleza kuwa mchezaji huyo ameomba kuondoka Newcastle United katika dirisha hili la...
Dili iliyokufa - 39 ILIPOISHIA Kabla ya hapo nilikuwa nikiomba hadi shilingi laki mbili kwa mume wangu niliyemkimbia na pia niiliona hazitoshi lakini huko kwa mganga niliona elfu thelathinizingetosha. Nilikuwa...
Wembe yamtaka Gamera TIMU ya Wembe iliyopanda daraja kushiriki Ligi Kuu Zanzibar msimu wa 2026-2027, ipo katika mazungumzo na aliyekuwa Kocha Mkuu wa Fufuni, Suleiman Mohamed 'Mani Gamera' kwa lengo la kuinoa timu hiyo.
Barabara za AFCON mbioni kukamilika BARABARA zinazoelekea katika Mji wa AFCON uliopo Fumba, zinatarajiwa kukamilika Desemba mwaka huu kwani mradi huo unategemewa kufungua fursa za kiuchumi kisiwani hapa.
KVZ yajinoa Kagame Cup 2026 MABIGWA wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) msimu wa 2025-2026, KVZ, imeanza mazoezi rasmi ya kujinoa kwa ajili ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA Kagame Cup 2026).
Mbeya City ina cha kujifunza LICHA ya kubaki salama Ligi Kuu ya NBC, Mbeya City inapaswa kujiuliza na kujifunza jambo msimu ujao ili kurejesha heshima yake iliyoiweka kwa miaka 10 nyuma katika medani za soka nchini.
Mkenya awinda mikoba ya Yona Amos MABOSI wa Pamba Jiji wameanza mchakato wa kimya kimya wa kukisuka kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao, ambapo kwa sasa wanaangalia uwezekano wa kusajili kipa namba moja wa Shabana FC, Mkenya...
Johan Manzambi apagawisha vigogo KIUNGO chipukizi wa Uswisi, Johan Manzambi, ameendelea kuthibitisha kuwa ni mmoja wa nyota wanaochipukia kwa kasi katika soka la dunia baada ya kung'ara katika Kombe la Dunia 2026 na kujiweka...