PRIME Injinia Hersi Said na Yanga ya juzi, jana na leo AZAM waliziona nyavu za Digui Diarra mara tatu na kupata ushindi wao mtamu wakati wakiwa pungufu. Ilikuwa ni hadithi ya kusisimua juzi katika Uwanja wa CCM Kirumba ambao Yanga wamekuwa wakipata...
Serengeti Girls, Uganda kupigania taji la CECAFA U-17 SAFARI ya kutafuta bingwa wa CECAFA U-17 kwa Wanawake 2026 imeendelea leo jioni baada ya wenyeji Tanzania 'Serengeti Girls' na mabingwa watetezi Uganda kufuzu fainali ya michuano hiyo kufuatia...
Mbappe aipeleka Ufaransa mtoano akimfukuzia Messi kwa mabao UFARANSA inaungana na Mexico, Marekani, Ujerumani na Argentina kufuzu mapema hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Iraq mabao 3-0 katika mechi ya Kundi I iliyopigwa Uwanja wa...
Messi avunja rekodi, Argentina ikifuzu 32 bora Mabao mawili ya nahodha wa Argentina, Lionel Messi aliyofunga katika dakika za 39 na 90 dhidi ya Austria yameifanya timu hiyo kufuzu hatua ya 32 ya Kombe la Dunia.
Uganda bingwa CECAFA ikiichapa Serengeti Girls TIMU ya Taifa ya wanawake ya Uganda chini ya umri wa miaka 17 imeibuka bingwa mpya wa michuano ya Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) kwa umri huo baada ya kuichapa timu ya Taifa ya Tanzania...
Dili iliyokufa -17 “Hizo taarifa tayari zimesambazwa katika vituo vyote vya polisi. Alama yetu ilikuwa ni namba ya usajili ya hilo gari kwani alipofika hapo gesti, watu waliona namba ya gari alilokuwa nalo. Kwa...
Jaku aiomba SMZ kuwekeza Ligi Kuu Zanzibar Mwakilishi wa Paje, Jaku Hashim Ayub ameishauri serikali kuwekeza fedha katika Ligi Kuu Zanzibar kwa lengo la kuipa thamani na ushindani kama zilivyo ligi nyingine.
Malindi yakubali yaishe Ligi Kuu Zanzibar MENEJA wa timu ya Malindi, Ramadhan Sanga amekubali yaishe kwa timu yake kushuka daraja msimu huu huku akisema wana mikakati madhubuti ya kurejea Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Amesema wanakwenda...
Pemba inavyonawiri na viwanja vya kisasa UNAWEZA kusema kwamba zile dhana na imani za kuwa Pemba haiwezi kujengwa, hususan kwa upande wa michezo, kwa sasa mambo yamekuwa tofauti na matarajio ya kila mmoja. Kati ya kundi la watu 100...
PRIME Injinia Hersi Said na Yanga ya juzi, jana na leo AZAM waliziona nyavu za Digui Diarra mara tatu na kupata ushindi wao mtamu wakati wakiwa pungufu. Ilikuwa ni hadithi ya kusisimua juzi katika Uwanja wa CCM Kirumba ambao Yanga wamekuwa wakipata...
Elvis Rupia anukia Ligi Kuu Kenya MSHAMBULIAJI mahiri wa Singida Black Stars, Mkenya Elvis Rupia yuko katika mazungumzo ya kurejea katika timu ya Kenya Police FC ya kwao Kenya aliyowahi kuichezea awali, baada ya klabu hiyo kuanza...
Algeria yapata ushindi wa kwanza Kombe la Dunia baada ya siku 4,384 TIMU ya taifa ya Algeria, imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya J: ordan katika mechi kali na ya kuvutia ya kundi J kwenye Fainali za Kombe la Dunia 2026, ikiwa ni ushindi wa kwanza wa kikosi...