PRIME Ngoma nzito Kirumba, Azam yaitafuta rekodi ya Yanga JIJI la Mwanza litashuhudia nusu fainali ya pili ya Kombe la CRDB itakayozikutanisha matajiri wa Dar es Salaam, Azam FC dhidi ya Yanga, katika mechi kali na ya kusisimua itakayopigwa kwenye...
Straika Pamba atangaza vita, kocha akimhusia HAT TRICK aliyofunga katika mechi iliyopita imempa nguvu na matumaini ya kuwania tuzo ya kiatu cha mfungaji bora straika wa Pamba Jiji, Methew Tegis, huku akichekelea kufikia rekodi aliyoiweka...
Kutoka kiwandani hadi Kombe la Dunia, hadithi ya miujiza ya Deniz Undav MIAKA michache iliyopita, nyota wa timu ya taifa la Ujerumani, Deniz Undav alikuwa akiamka saa 10 alfajiri kwenda kufanya kazi kiwandani ili kupafa fedha za kujikimu na maisha kabla ya kwenda...
Cunha, Vinicius wang'ara, Brazil ikiishushia Haiti dhoruba MABINGWA mara tano na vinara wa Kombe la Dunia, timu ya taifa ya Brazil 'Selecao', imeibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0, dhidi ya Haiti katika mechi ya pili ya kundi C, iliyopigwa kwenye Uwanja...
Azam yaivunja rekodi ya Yanga, yakata tiketi ya fainali CRDB Cup NDIO kama ulivyosikia hivyo matajiri wa Chamazi, Azam FC wametibua uwezekano wa kuwepo kwa dabi ya tano ya Kariakoo msimu huu baada ya kuifunga Yanga mabao 3-2, katika mechi ya nusu fainali ya...
Dili iliyokufa -17 “Hizo taarifa tayari zimesambazwa katika vituo vyote vya polisi. Alama yetu ilikuwa ni namba ya usajili ya hilo gari kwani alipofika hapo gesti, watu waliona namba ya gari alilokuwa nalo. Kwa...
Jaku aiomba SMZ kuwekeza Ligi Kuu Zanzibar Mwakilishi wa Paje, Jaku Hashim Ayub ameishauri serikali kuwekeza fedha katika Ligi Kuu Zanzibar kwa lengo la kuipa thamani na ushindani kama zilivyo ligi nyingine.
Malindi yakubali yaishe Ligi Kuu Zanzibar MENEJA wa timu ya Malindi, Ramadhan Sanga amekubali yaishe kwa timu yake kushuka daraja msimu huu huku akisema wana mikakati madhubuti ya kurejea Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Amesema wanakwenda...
Pemba inavyonawiri na viwanja vya kisasa UNAWEZA kusema kwamba zile dhana na imani za kuwa Pemba haiwezi kujengwa, hususan kwa upande wa michezo, kwa sasa mambo yamekuwa tofauti na matarajio ya kila mmoja. Kati ya kundi la watu 100...
Championship ilivyoacha namba, maumivu na rekodi 2025-2026 LIGI ya Championship imefikia tamati kwa msimu wa 2025-2026 baada ya kivumbi cha jasho na damu kuvuja kwa wachezaji wa timu 16, zilizokuwa zinapigania nafasi mbalimbali hususani ile ya lengo mama...
Elvis Rupia anukia Ligi Kuu Kenya MSHAMBULIAJI mahiri wa Singida Black Stars, Mkenya Elvis Rupia yuko katika mazungumzo ya kurejea katika timu ya Kenya Police FC ya kwao Kenya aliyowahi kuichezea awali, baada ya klabu hiyo kuanza...
Doku kuikosa Iran, kauli juu ya mtoto yatikisa WAKATI Ubelgiji ikijiandaa na mechi ya pili ya kundi G ya Kombe la Dunia, winga wa timu hiyo, Jeremy Doku ataukosa mchezo huo baada ya shirikisho la soka la nchi hiyo kutangaza kuwa anasumbuliwa...