Deco ampa Lamine Yamal Ballon D'or MKURUGENZI wa michezo wa Barcelona, Deco amesema Lamine Yamal ndiye anayestahili kuwa kipenzi namba moja cha kutwaa tuzo ya Ballon d’Or mwaka huu, huku akionyesha kushtushwa na hatua ya...
Pauni 1 trilioni za usajili zampa presha De Zerbi Kocha wa Tottenham Hotspur, Roberto De Zerbi ameanza kuingia kwenye presha baada ya timu hiyo kuanza vibaya msimu mpya wa Ligi Kuu England, licha ya kutumia Pauni milioni 332 (zaidi ya Sh1.1...
Mauaji ya kutisha – Sehemu ya 5 UTANGULIZI Ofisi ya polisi ni ya polisi tu. Unapoingia hata kama huna kosa ni lazima unywee. “Jina lako tafadhali.” Amour alimuulliza akiwa ameshika kalamu. “Naitwa Shefa Ibrahim.” Amour...
Kocha Black Sailors lawama zote kwa wachezaji KOCHA wa Black Sailors, Mohammed Ali Tedy amesema moja ya sababu za timu hiyo kufungwa mabao 2-0 na Wembe katika Ligi Kuu Zanzibar, ni kukosa utulivu.
Makamu wa Pili mgeni rasmi Bonanza la Kijini Shangwe MWENYEKITI wa Taasisi ya Rise and Restore Foundation ambaye pia ni Mwakilishi wa Jimbo la Kijini, Badria Natai amezindua rasmi maandalizi ya tamasha la michezo na kijamii lijulikanalo kama Kijini...
Uhamiaji bado inasukwa KOCHA MKUU wa Uhamiaji, Sheha Khamis amesema timu hiyo licha ya kupata ushindi katika mechi mbili ilizocheza katika Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) msimu huu, lakini itaendelea kujipanga vyema...
Baada ya miaka 25, ni zamu ya England? TUZO za mchezaji bora Ulaya maarufu Ballon D'or kwa mwaka huu zinatarajiwa kutolewa mwishoni mwa mwezi ujao, Oktoba 26, ambapo mastaa wote walioibeba katika misimu mitatu ya karibuni wamo ndani...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Fenerbahce yatikiswa, kocha ajiuzulu FENERBAHCE imeingia kwenye sintofahamu baada ya kocha wake Ismail Kartal kutangaza kujiuzulu mara baada ya timu hiyo kutoka sare ya bao 1-1 dhidi ya AS Roma katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa...