Kagere: Mo Dewji ni ‘Game Changer’ MEDDIE Kagere ameshuhudia mengi ndani ya soka la Afrika Mashariki na Kati. Amefunga mabao Rwanda, Kenya na Tanzania, lakini anasema jambo moja ambalo haliwezi kulinganishwa na mambo mengine yote...
Beki Simba Queens aanza kuona mwanga BEKI wa kushoto wa Simba Queens, Hellen Kutsanedzi amesema bao alilofunga katika mechi ya kirafiki dhidi ya Zesco Ndola Queens ya Zambia ni sehemu ya maandalizi kuelekea tamasha la Simba Day...
Yanga Day ya mfano KILELE cha tamasha la Yanga Day ni leo Jumapili kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam na hitimisho lake ni mechi ya kirafiki ya kimataifa kati ya Yanga dhidi ya Les Aigles Du Congo.
KISIWA CHA MAUTI - 12 ILIPOISHIA Edda, msichana mpole na mcheshi, akanitazama. Mara nyingi anaponitazama ninaona kama anatabasamu, lakini hatabasamu. Hivyo ndivyo anavyoonekana. Usipomgundua, na wewe unaweza...
Kocha AbdulSaleh abeba matumaini JKU BAADA ya JKU kumpa Kocha AbdulSaleh Abdallah majukumu ya kuinoa timu hiyo, uongozi wa klabu hiyo umesema una matumaini ataifikisha kwenye malengo yaliyopo msimu ujao 2026-2027.
Pandu apongeza maendeleo ya michezo NAIBU Waziri wa Maji, Nishati na Madini Zanzibar, Seif Kombo Pandu amesema maendeleo ya michezo kisiwani hapa yanaonyesha dhamira ya wananchi na viongozi katika kuendeleza vipaji, kuimarisha...
Ujenzi wa viwanja Pemba wafikia pazuri WAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Riziki Pembe Juma amesema ameridhishwa na hatua ya ujenzi wa viwanja kisiwani Pemba.
Hizi ndizo mechi za Wiki ya Mwananchi BAADA ya kushuhudia jana burudani ya tamasha la Simba Day kwa klabu ya Simba, leo ni zamu ya watani zao wakuwa wa jadi, Yanga ambao wanafanya pia kilele cha 'Wiki ya Mwananchi', itakayofanyika...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Nyota England ashtakiwa kwa kupiga mtu MCHEZAJI wa timu ya taifa ya England na Al-Ahli ya Saudia Arabia, Ivan Toney, amefunguliwa mashtaka ya kushambulia mtu kufuatia tukio lililotokea katika klabu ya starehe eneo la Soho, London...