Gor Mahia yatuma salamu nzito Kagame Cup ikiifumua APR mabao 5-0
MABINGWA wa Kenya, Gor Mahia, wameanza kwa kishindo kampeni ya Kombe la CECAFA Kagame 2026 baada ya kuwachapa mabingwa wa Rwanda, APR FC, mabao 5-0 katika mchezo wa Kundi A ulioonekana kuwa wa...