Simba Day inavyoibua mastaa KILA mwaka tangu 2009, katika mechi ya kirafiki kwenye Tamasha la Simba Day kumekuwa na mmoja wa wachezaji anayeibuka na kuwa gumzo.
Chama la Wana mguu sawa Championship STAND United ‘Chama la Wana’ imesema licha ya kuchelewa kufanya usajili, lakini inaamini hadi Jumatatu ya wiki ijayo itakuwa imekamilisha kila kitu na timu kuanza kambi ya kujiandaa na Ligi ya...
Mossi atua rasmi MC Alger KAMA ilivyoripotiwa na Mwanaspoti siku chache zilizopita, mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi, Mossi Nduwumwe, amekamilisha rasmi uhamisho wake kutoka Singida Black Stars kwenda kwa mabingwa wa...
KISIWA CHA MAUTI - 11 ILIPOISHIA Nikaona alikuwa ameshika gazeti la Kumekucha akilisoma. Ni kama alilipitishia macho tu akaliacha na kushika lile gazeti jingine. Nalo baada ya kusoma kichwa cha habari alilirudisha...
Ujenzi wa viwanja Pemba wafikia pazuri WAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Riziki Pembe Juma amesema ameridhishwa na hatua ya ujenzi wa viwanja kisiwani Pemba.
Zanzibar kutumia Afcon 2027 kutangaza utalii KAIMU Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, Mudrick Ramadhan Soraga amesema Serikali imejipanga kutumia michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2027 kukuza utalii kisiwani hapa.
Kipanga ipo tayari kwa msimu mpya IKIWA zimebaki siku chache kuanza kwa msimu mpya wa Ligi Kuu Zanzibar, Kocha wa Kipanga, Khamis Hassan Makame 'Kocha Meki' amesema wapo tayari kwa ajili ya mapambano.
Safari ya soka la Okwi hadi Simba, sasa imefika mwisho ILIKUWA Jumatano ya Agosti 5, 2026 kwenye moja ya hoteli yenye hadhi kubwa jijini Kigali wakati wachezaji wa Simba walikuwa wakiendelea na maandalizi ya safari ya kurejea Tanzania, kwa ajili ya...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Kagere, Niyonzima wagawana upande KUNA msemo maarufu hapa Rwanda unaosema ‘Umutima ntushobora gukunda impande ebyiri icyarimwe’ ukiwa na maana moyo hauwezi kupenda pande mbili kwa wakati mmoja. Ndivyo ilivyo kwa mastaa wawili...