Tegis aitaka rekodi Afrika, aisubiri Tusker mapema STRAIKA wa Singida Black Stars, Mathew Tesigi amesema baada ya kuivusha timu hiyo hatua ya awali ya kombe la shirikisho Afrika, hesabu zake ni kusaka rekodi Afrika haswa ya kiatu cha mfungaji...
Mr Cheeks, Jay Moe hip hop itakavyoongea Chuga RAPA mkongwe kutoka Marekani, Terrance Cocheeks Kelly maarufu kama Mr Cheeks yupo nchini Tanzania akiwa na jambo zito mezani, kukutana na mkongwe wa hip hop, Juma Mchopanga maarufu Jay Moe kwa...
Msudan aigusa Ngorongoro Heroes CECAFA U-20 KOCHA Mkuu wa Sudan U-20, Mohamed Mousa amesema hadi sasa timu za Tanzania, Rwanda na Uganda ni miongoni mwa timu alizoona zikicheza soka safi katika michuano ya CECAFA U-20 inayoendelea Uwanja...
Datius afunguka rafu ya Aziz KI BAADA ya kushindwa kumaliza mchezo uliopita dhidi ya Yanga, beki wa Geita Gold, Datius Peter amesema kwa sasa afya yake imeimarika na anasubiri ripoti ya daktari na uamuzi wa Kocha Mkuu, Zuberi...
Mauaji ya kutisha – Sehemu ya 12 UTANGULIZI “Huu uchunguzi ni mgumu kidogo kwa sababu haya mauaji yametokea katika mtindo tofauti. Isitoshe wauaji ni watu wanaoshitukizia na kutoweka ghafla. Ninahitaji muda wa kutosha kuweza...
Zandeaf yaanza na ushindi Ligi ya Viziwi ZANDEAF FC imeanza vizuri mashindano ya Ligi ya Viziwi Zanzibar baada ya juzi kupata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Hope City Deaf FC, mechi ikichezwa kwenye Uwanja wa Mao Zedong, Unguja.
Mabeki waigharimu JKU, yaambulia sare KOCHA wa JKU, AbdulSaleh Mohammed, amesema sare ya bao 1-1 waliyoipata dhidi ya KVZ katika mechi ya Ligi Kuu Zanzibar iliyochezwa juzi Alhamisi kwenye Uwanja wa Mao A kisiwani Unguja, imetokana...
Kiungo Uhamiaji auona Ubingwa ZPL KIUNGO mkabaji wa Uhamiaji, Ikram Said Ally amesema uwepo wake ndani ya kikosi hicho ni miongoni mwa mafanikio makubwa kwani ndiyo mara ya kwanza kucheza Ligi Kuu Zanzibar.
Mambo tisa ya kuangalia EPL wikiendi LIGI Kuu England iliendelea jana kwa mchezo kati ya Brentford na Chelsea waliokuwa wageni, ambapo matokeo unayo msomaji!
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Kisa jota uwanja wafungiwa Saudi Arabia Klabu ya Al-Taawoun inayoshiriki Ligi Kuu Saudi Arabia, imeamriwa kucheza michezo miwili ya ligi nyumbani bila mashabiki baada ya wafuasi wake kumkejeli kiungo wa Al-Hilal, Ruben Neves, kuhusu...