Twiga Stars kutupa karata ya kwanza WAFCON TWIGA Stars leo inaanza kutupa karata yake ya kwanza katika fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON 2026) kwa kuvaana na mabingwa wa Afrika, Banyana Banyana ya Afrika Kusini...
Gor Mahia, Vipers mechi ya kisasi BAADA ya kuanza kwa kishindo mashindano ya CECAFA Kagame Cup kwa kuichapa APR ya Rwanda mabao 5-0, Gor Mahia ya Kenya leo Jumatatu inarejea tena uwanjani ikiwa na kibarua kingine kigumu dhidi ya...
Mama Diop: Senegal tunaitaka fainali MSHAMBULIAJI wa Senegal, Mama Diop amesema mafanikio ya timu ya taifa ya wanaume kutwaa ubingwa wa Afrika kwa mara ya pili yamekuwa chachu kubwa kwao kuelekea michuano ya Kombe la Mataifa ya...
Twiga Stars yaichapa Afrika Kusini 2-1 WAFCON ikiandika ushindi wa kwanza HATIMAYE historia imeandikwa. Timu ya Taifa ya Wanawake Tanzania 'Twiga Stars' imeanza kwa kishindo kampeni yake ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026 baada ya kuichapa Afrika...
KISIWA CHA MAUTI – Sehemu ya 1 Kwa upande wa huku Bara, nilifahamika sana kwa jina la Masha. Kwa kule kwetu Zanzibar, jina lililozoeleka ni Zahrani. Ni mzaliwa wa kisiwa cha Pemba. Nilizaliwa Pemba. Nilisomea Pemba. Na huku...
Ligi ya Netiboli Zanzibar kuanza leo LIGI Kuu ya Netiboli Zanzibar, inatarajiwa kuanza leo Jumatatu katika Uwanja wa Gymkhana kisiwani Unguja huku timu 10 zikishiriki mashindano hayo yanayotarajiwa kuwa na ushindani na kuibua vipaji.
Mafunzo yashusha mitambo sita KOCHA Mkuu wa Mafunzo, Haji Salum Haji amesema hadi sasa timu hiyo imeshasajili wachezaji wapya sita huku ikitafuta wengine watakaongeza nguvu kikosi hapo.
Park wa Zanzibar ajipanga kufanya makubwa MCHEZAJI wa Mlandege, Mudathir Juma Salum 'Park' amesema msimu wa 2025-2026 ulikuwa sehemu ya kujifunza na kuzoea mazingira lakini msimu ujao wa 2026-2026 atapambana kuhakikisha anapata namba...
Wakenya kuipa makali Coastal Union BAADA ya kutema nyota saba, Coastal Union imesema inaendelea kusuka upya kikosi chake ikitambia ubora wa benchi lake la ufundi ikiahidi msimu ujao kuitafuta nafasi nne za juu kwenye msimamo wa...
Vipers yaiduwaza Gor Mahia ikifuzu nusu fainali Kagame 2026 Mwanzo mzuri wa Gor Mahia katika michuano ya CECAFA Kagame Cup 2026, umekatizwa kwa namna ya kusikitisha baada ya kufungwa dakika za mwisho na Vipers SC katika mchezo wao wa pili wa Kundi A