Kigogo Simba atabiri penalti dabi MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi Simba, Crescentius Magori amesema Dabi ya Kariakoo kati ya Simba na Yanga haina mnyonge na timu yoyote inaweza kupoteza, huku akisema mshindi atapatikana kwenye...
Malawi yaandika rekodi, historia ya kushangaza HISTORIA imeandikwa Wafcon baada ya timu ya taifa ya wanawake ya Malawi kufuzu fainali za Kombe la Dunia la Wanawake zitakazofanyika Brazil 2027, baada ya kutinga hatua ya nusu fainali ya...
PESA INAONGEA! Uhamisho 10 ghali zaidi kuwahi kutokea kama ungefanyika leo na gharama zake ADA za uhamisho wa wachezaji zimepanda kwa kiasi kikubwa katika miaka ya hivi karibuni kutokana na kuongezeka kwa fedha kwenye mchezo wa soka, jambo lililosababisha bei za wachezaji kupanda kwa...
Kisa mwalimu mashabiki Simba waja juu Baada ya Yanga kumtambulisha mshambuliaji Selemani Mwalimu kuwa mchezaji wake mpya, baadhi ya mashabiki wa Simba wameulalamikia uongozi wa klabu hiyo, wakidai umekuwa ukifanya mambo ya ajabu.
KISIWA CHA MAUTI - 15 ILIPOISHIA “Pengine aliwekewa wakati alipokwenda kujisaidia” “Sasa huo ni uzembe wake mwenywe na sisi hatuwezi kuhusika na jambo hilo. Kwanza siamini kama kweli aliwekewa hayo...
Kocha AbdulSaleh abeba matumaini JKU BAADA ya JKU kumpa Kocha AbdulSaleh Abdallah majukumu ya kuinoa timu hiyo, uongozi wa klabu hiyo umesema una matumaini ataifikisha kwenye malengo yaliyopo msimu ujao 2026-2027.
Pandu apongeza maendeleo ya michezo NAIBU Waziri wa Maji, Nishati na Madini Zanzibar, Seif Kombo Pandu amesema maendeleo ya michezo kisiwani hapa yanaonyesha dhamira ya wananchi na viongozi katika kuendeleza vipaji, kuimarisha...
Ujenzi wa viwanja Pemba wafikia pazuri WAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Riziki Pembe Juma amesema ameridhishwa na hatua ya ujenzi wa viwanja kisiwani Pemba.
Kauli ya Pacome yamuinua GSM Yanga Day, mashabiki washindwa kujizuia, Mwamnyeto akiongezewa miaka miwili!
PESA INAONGEA! Uhamisho 10 ghali zaidi kuwahi kutokea kama ungefanyika leo na gharama zake ADA za uhamisho wa wachezaji zimepanda kwa kiasi kikubwa katika miaka ya hivi karibuni kutokana na kuongezeka kwa fedha kwenye mchezo wa soka, jambo lililosababisha bei za wachezaji kupanda kwa...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Mo Salah aitwa mahakamani Nyota wa zamani wa Liverpool na timu ya taifa ya Misri, Mohamed Salah, ameagizwa kufika binafsi mahakamani mwezi Septemba kufuatia mzozo wa madai ya malipo kati yake na aliyekuwa wakili wake.