Falconets; Wakongwe wanaorudi kusaka taji NIGERIA ni moja ya timu ambazo zimejijengea jina kubwa kwenye mashindano ya Kombe la Dunia kwa wanawake U-20. Timu hiyo inayofahamika kwa jina la Falconets imetengeneza heshima kubwa kwenye...
Richarlison atupwa nje Spurs MSHAMBULIAJI wa Brazil, Richarlison, ameondolewa kwenye kikosi cha Tottenham Hotspur kitakachoshiriki Ligi Kuu England msimu huu, huku mpango wa kuhamia klabu ya Trabzonspor ya Uturuki ukiwa bado...
KISIWA CHA UMAUTI - 39 ILIPOISHIA Haukupita muda polisi wakafika. Nikaambiwa niende kituo cha polisi kuandikisha maelezo yangu kwa vile tulipotea na chombo baharini na wenzangu walifikwa na umauti. Polisi hao...
SMZ na mkakati wa usalama AFCON 2027 VIKOSI vya ulinzi na usalama vimetakiwa kuanza ujuzi maalumu utakaotumika katika mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) kwa lengo la kudumisha usalama kipindi chote cha mashindano...
Raskazone yajipanga upya ikiokota nne Pemba TIMU ya Raskazone imefanikiwa kuondoka na alama nne ugenini katika michezo yake miwili ya Ligi Kuu Zanzibar iliyocheza kisiwani Pemba.
Kocha JKU afichua siri ya kupambana hadi mwisho Kocha Mkuu wa JKU, Abdul-Saleh Mohammed, amesema kurejesha mabao mawili ndani ya muda mfupi si jambo la kushangaza bali ni matokeo ya kazi kubwa waliyoifanya katika uwanja wa mazoezi.
Falconets; Wakongwe wanaorudi kusaka taji NIGERIA ni moja ya timu ambazo zimejijengea jina kubwa kwenye mashindano ya Kombe la Dunia kwa wanawake U-20. Timu hiyo inayofahamika kwa jina la Falconets imetengeneza heshima kubwa kwenye...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Mtihani mwingine kwa Manchester City EPL MANCHESTER City itakuwa mwenyeji wa Coventry City leo Jumamosi katika Uwanja wa Etihad, mchezo wa raundi ya tatu wa Ligi Kuu England msimu wa 2026/27, mechi ambayo inasubiriwa kwa hamu kubwa na...