Sowah aendeleza moto Ligi Kuu, Kagera Sugar ikibanwa Kaitaba MSHAMBULIAJI wa Singida Black Stars, Mghana, Jonathan Sowah, ameendelea kung'ara na kikosi hicho, baada ya leo kuifungia tena bao muhimu katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyomalizika kwa timu hiyo...
MEDDIE KAGERE; Simulizi yake ya kusisimua akimtaja Doumbia, Shalulile KULIKUWA na utulivu ndani ya Jiji la Kigali baada ya siku kadhaa za shamrashamra za mashabiki na presha ya mechi za Kombe la CECAFA Kagame 2026, hatimaye mashindano yalikuwa yamesimama kufuatia...
Kidjo mwanamuziki wa kwanza Afrika kupata nyota Hollywood Walk of Fame Mwanamuziki mashuhuri kutoka Benin, Angélique Kidjo, ameandika historia baada ya kutunukiwa nyota kwenye Hollywood Walk of Fame, na kuwa mwanamuziki wa kwanza Mwafrika na msanii wa kwanza Mweusi...
Yanga vs Coastal mtihani wa miaka 12 COASTAL Union leo inaingia Uwanja wa KMC Complex uliopo Dar es Salaam ikiwa na kibarua cha kuvunja rekodi ya miaka 12 na siku 357 dhidi ya Yanga, baada ya kupoteza mechi 10 mfululizo ilizocheza...
KISIWA CHAMAUTI - 24 ILIPOISHIA “Kwani Harish ameshaenda zake?” Mtu mmoja akamuuliza Yasmin. “Ameshaondoka” nikamjibu mimi. “Angekuwepo Yasmin asingeweza kuja huku” Tulikula pilau ikiwa ndani ya kapu. Tukashiba na...
Zanzibar ilivyoshindwa kutamba AFCON Kabaddi 2026 MICHUANO ya Afrika ya Kabaddi kwa Wanaume (AFCON Kabaddi 2026), imemalizika kwa timu ya Kenya kuwa bingwa baada ya kuifunga Uganda pointi 35-21.
Uhamiaji FC kujipanga kwa msimu mpya UHAMIAJI FC, ina mikakati ya kuhakikisha katika msimu wa 2026-2027, inafanya vizuri zaidi ya ilivyokuwa 2025-2026 na ilimaliza nafasi ya tano katika msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar ikikusanya pointi...
Gamera akomalia utimamu Chipukizi KOCHA Mkuu wa Chipukizi, Suleiman Mohammed ‘Mani Gamera’ amesema timu hiyo ipo katika mazoezi ya kujiandaa na msimu wa 2026-2026 huku akisisitiza kurejesha utimamu wa mwili na kuwaandaa wachezaji...
RB Leipzig inavyotengeneza mastaa Ulaya, ikivuna 'minoti' RB Leipzig inayoshiriki Ligi Kuu Ujerumani (Bundesliga) ilianzishwa 2009, wakati Yan Diomande, miongoni mwa wachezaji wake wa hivi karibuni kuuzwa kwa mamilioni ya fedha akiwa na umri wa miaka...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Rashford: Msitaje jina langu kila siku MSHAMBULIAJI wa Manchester United, Marcus Rashford amesema anatamani kucheza soka bila jina lake kutajwa kila siku, baada ya beki wa zamani wa klabu hiyo, Gary Neville, kuanzisha mjadala kuhusu...