Kisa Vinicius Jr, Real Madrid yaweka mezani Pauni 19 milioni REAL Madrid inaonekana kuwa na imani kubwa ya kuzima kabisa nia ya Arsenal ya kumsajili nyota wao wa Brazil, Vinicius Jr, baada ya kumwekea mezani ofa mpya ya mkataba wenye nyongeza ya thamani...
Ronaldo ana magari ya Sh80 bilioni CRISTIANO Ronaldo ameendelea kuthibitisha kuwa yeye si mfalme wa mabao pekee, bali pia ni miongoni mwa wanamichezo wenye maisha ya kifahari zaidi duniani baada ya kuwaonyesha mashabiki wake...
KISIWA CHA MAUTI - 10 ILIPOISHIA Sikumjibu kitu. Nililishika gazeti hilo la pili ambalo ni la kampuni niliyokuwa ninafanya kazi. Habari kama ile niliyoisoma ndiyo iliyokuwa katika ukurasa wa mbele. Mwandishi...
Kipanga ipo tayari kwa msimu mpya IKIWA zimebaki siku chache kuanza kwa msimu mpya wa Ligi Kuu Zanzibar, Kocha wa Kipanga, Khamis Hassan Makame 'Kocha Meki' amesema wapo tayari kwa ajili ya mapambano.
Mlandege yahitaji kurejesha ubingwa ZPL KOCHA Mkuu wa Mlandege, Hassan Ramadha 'Pele' amesema lengo kubwa la timu hiyo msimu wa 2026-2027, ni kurudisha kombe la Ligi Kuu mikononi mwao.
King Sule awaita vijana kwenye ngumi BONDIA namba moja Zanzibar, Suleiman Juma 'King Sule' amewataka vijana kujiunga na mchezo wa ngumi kwani unajenga nidhamu, afya na kuwapa fursa ya kufikia mafanikio ndani na nje ya nchi.
Wakongwe wanaokiwasha WAFCON 2026 WAKATI nyota chipukizi wakiendelea kung’ara katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026 nchini Morocco, bado kuna kizazi cha wakongwe ambao umri haujawazuia kuendelea...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Real Madrid yaweka Pauni 120 Bilioni kwa Diomande REAL Madrid imefikia makubaliano ya kumsajili winga chipukizi wa RB Leipzig, Yan Diomande, katika dili linaloweza kufikia euro 140milioni (takribani Pauni milioni 120), baada ya mazungumzo ya...