Baada ya miaka minne ya ukame, Simba yarejea fainali ya kombe la CRDB TUNAWATAKA! Ndio kauli ya mashabiki wa Simba kwa sasa baada ya kikosi hicho kutinga fainali ya Kombe la CRDB kwa kuifunga Coastal Union mabao 4-0, katika mechi ya nusu fainali iliyopigwa kwenye...
Mayanga ataja mikakati mipya Mbeya City MATOKEO ya kupoteza mchezo dhidi ya Simba, yameonekana kuwavuruga Mbeya City katika hesabu za kukwepa kushuka daraja, huku kocha mkuu wa timu hiyo Salum Mayanga, akitaja kitakachowabeba.
Maajabu ya siku 475 za nyota wa Marekani, Alex Freeman MCHEZAJI nyota wa timu ya taifa ya Marekani, Alex Freeman amekuwa na siku 475, zilizojaa historia maishani mwake baada ya leo kufunga bao lake la kwanza la Kombe la Dunia, katika ushindi wa...
Cunha, Vinicius wang'ara, Brazil ikiishushia Haiti dhoruba MABINGWA mara tano na vinara wa Kombe la Dunia, timu ya taifa ya Brazil 'Selecao', imeibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0, dhidi ya Haiti katika mechi ya pili ya kundi C, iliyopigwa kwenye Uwanja...
Baada ya miaka minne ya ukame, Simba yarejea fainali ya kombe la CRDB TUNAWATAKA! Ndio kauli ya mashabiki wa Simba kwa sasa baada ya kikosi hicho kutinga fainali ya Kombe la CRDB kwa kuifunga Coastal Union mabao 4-0, katika mechi ya nusu fainali iliyopigwa kwenye...
Dili iliyokufa -17 “Hizo taarifa tayari zimesambazwa katika vituo vyote vya polisi. Alama yetu ilikuwa ni namba ya usajili ya hilo gari kwani alipofika hapo gesti, watu waliona namba ya gari alilokuwa nalo. Kwa...
Jaku aiomba SMZ kuwekeza Ligi Kuu Zanzibar Mwakilishi wa Paje, Jaku Hashim Ayub ameishauri serikali kuwekeza fedha katika Ligi Kuu Zanzibar kwa lengo la kuipa thamani na ushindani kama zilivyo ligi nyingine.
Malindi yakubali yaishe Ligi Kuu Zanzibar MENEJA wa timu ya Malindi, Ramadhan Sanga amekubali yaishe kwa timu yake kushuka daraja msimu huu huku akisema wana mikakati madhubuti ya kurejea Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Amesema wanakwenda...
Pemba inavyonawiri na viwanja vya kisasa UNAWEZA kusema kwamba zile dhana na imani za kuwa Pemba haiwezi kujengwa, hususan kwa upande wa michezo, kwa sasa mambo yamekuwa tofauti na matarajio ya kila mmoja. Kati ya kundi la watu 100...
WPL ilivyoondoka na utamu, machungu MSIMU wa Ligi Kuu ya Wanawake Bara (WPL) 2025/26 umetamatika huku Simba Queens ikitwaa taji hilo na kuacha simulizi nyingi zilizoacha alama kwa mashabiki wa soka hilo nchini.
Elvis Rupia anukia Ligi Kuu Kenya MSHAMBULIAJI mahiri wa Singida Black Stars, Mkenya Elvis Rupia yuko katika mazungumzo ya kurejea katika timu ya Kenya Police FC ya kwao Kenya aliyowahi kuichezea awali, baada ya klabu hiyo kuanza...
Neves aingia kwenye moto wa mashabiki wa Ronaldo, apoteza wafuasi milioni 2 KIUNGO wa Ureno na klabu ya PSG, Joao Neves, amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuripotiwa kupoteza zaidi ya wafuasi milioni mbili kwenye mtandao wa Instagram kufuatia kauli yake dhidi ya...