Chelsea yamgeukia Granit Xhaka Chelsea imeanza mipango ya kutaka kufanya usajili wa kushangaza kwa kumleta kiungo Granit Xhaka kwenye Uwanja wa Stamford Bridge.
REKODI; Tisa kati ya 10 Afrika zatinga 32 Bora HAKUNA anayebisha tena kuhusu ukuaji wa soka la Afrika. Kama kulikuwa na mashaka kuongeza nafasi za bara hilo kutoka timu tano hadi 10 katika Kombe la Dunia la 2026 kungepunguza ushindani, majibu...
Uruguay kimeumana huko WACHEZAJI wa timu ya taifa ya Uruguay wamepata pigo jingine baada Shirikisho la Soka la Uruguay (AUF) kuchukua uamuzi kuvunja kambi na kila mtu kutakiwa kujigharamia mwenyewe safari ya...
Dili iliyokufa - 25 ILIPOISHIA Wakwetu alipatwa na mshangao. Alielezwa jambo ambalo hakulitarajia. Majaliwa aliendelea: “Kila mara alikuwa akiniambia hivyo. Mwisho nikaona imefika kikomo. Ndipo nikamuahidi...
Jaku aiomba SMZ kuwekeza Ligi Kuu Zanzibar Mwakilishi wa Paje, Jaku Hashim Ayub ameishauri serikali kuwekeza fedha katika Ligi Kuu Zanzibar kwa lengo la kuipa thamani na ushindani kama zilivyo ligi nyingine.
Malindi yakubali yaishe Ligi Kuu Zanzibar MENEJA wa timu ya Malindi, Ramadhan Sanga amekubali yaishe kwa timu yake kushuka daraja msimu huu huku akisema wana mikakati madhubuti ya kurejea Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Amesema wanakwenda...
Pemba inavyonawiri na viwanja vya kisasa UNAWEZA kusema kwamba zile dhana na imani za kuwa Pemba haiwezi kujengwa, hususan kwa upande wa michezo, kwa sasa mambo yamekuwa tofauti na matarajio ya kila mmoja. Kati ya kundi la watu 100...
David Ouma apata dili jipya Kenya ALIYEKUWA Kocha wa Singida Black Stars, David Ouma amejiunga na Klabu ya Mathare United ya kwao Kenya, huku akiweka wazi ni sehemu sahihi kwake kuendelea kuonyesha ubora wake, baada ya awali pia...
Utabiri Argentina, Ufaransa fainali, England mmh! KOMPYUTA maalumu ya kutabiri matokeo ya mashindano (supercomputer) imetabiri kuwa Argentina na Ufaransa zitakutana tena kwenye fainali ya Kombe la Dunia 2026, kama ilivyokuwa mwaka 2022.