Said Jr ataka kuvunja rekodi ya mabao MSHAMBULIAJI wa Malaysia FC, Said Khamis Jr, amesema malengo yake msimu wa 2026-2027 ni kufunga zaidi ya mabao 20 na kuweka rekodi mpya ya ufungaji bora.
Sababu zilizoziangusha timu saba za Afrika Kombe la Dunia HAKUNA kulala! Fainali za Kombe la Dunia 2026 zimeingia katika hatua ya 16 bora, ambapo tayari mechi mbili za kwanza zilipigwa usiku wa kuamkia leo, Canada imekiwasha dhidi ya Morocco, huku...
Allarakhia atambulishwa Boreham KAMA kuna Mtanzania anayevuna matunda ya kazi yake kimyakimya kupitia soka, basi miongoni mwao ni kiungo wa Taifa Stars, Tarryn Allarakhia, ambaye amejiunga na klabu ya Boreham Wood ya England...
Morocco yaichapa Canada chuma tatu, yaandika historia Morocco imekuwa timu ya kwanza kufuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuwachapa wenyeji wenza Canada mabao 3-0 katika mchezo wa hatua ya 16 bora uliochezwa leo Jumamosi...
Said Jr ataka kuvunja rekodi ya mabao MSHAMBULIAJI wa Malaysia FC, Said Khamis Jr, amesema malengo yake msimu wa 2026-2027 ni kufunga zaidi ya mabao 20 na kuweka rekodi mpya ya ufungaji bora.
Dili iliyokufa - 39 ILIPOISHIA Kabla ya hapo nilikuwa nikiomba hadi shilingi laki mbili kwa mume wangu niliyemkimbia na pia niiliona hazitoshi lakini huko kwa mganga niliona elfu thelathinizingetosha. Nilikuwa...
Gharama za viwanja yatajwa kuwakwamisha vijana NAIBU Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Ali Abdulgulam Hussein, amesema gharama za kutumia viwanja vya michezo vinavyojengwa nchini ni miongoni mwa changamoto...
Bodi ya Ligi Zanzibar kuwabana wanaopanga matokeo BAADA ya kumalizika kwa Ligi Kuu Zanzibar msimu wa 2025-2026, kati ya mambo yaliyoitikisa ligi hiyo ni upangaji wa matokeo jambo ambalo limeonekana kuichafua ligi hiyo.
18 waitwa Kabaddi Zanzibar RAIS wa Shirikisho la Mchezo wa Kabaddi Zanzibar, Abdalla Juma ametangaza majina ya wachezaji 18 watakaounda Timu ya Taifa ya wanaume kwa mwaka 2026, itakayoiwakilisha Zanzibar katika Mashindano...
ELIZABETH JOSEPH; Kiungo alikuzwa Alliance Girls, tegemeo Simba Queens KATIKA soka la wanawake Tanzania, kila msimu huibuka vipaji vipya vinavyokuja kwa kasi na kujitengenezea nafasi kwenye timu kubwa.
Mkenya awinda mikoba ya Yona Amos MABOSI wa Pamba Jiji wameanza mchakato wa kimya kimya wa kukisuka kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao, ambapo kwa sasa wanaangalia uwezekano wa kusajili kipa namba moja wa Shabana FC, Mkenya...
Mbappé aifukuzia rekodi ya Messi Kombe la Dunia 2026 UFARANSA imetinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia 2026, baada ya kuibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Paraguay katika mchezo wa hatua ya 16 Bora uliopigwa kwenye Uwanja wa...