Michael Olise apiga ‘hat trick’ ya maana KIUNGO mshambuliaji wa Ufaransa Michael Olise ameendelea kuonyesha kiwango chake bora kuelekea Kombe la Dunia baada ya kufunga mabao matatu (hat-trick) na kuiongoza Ufaransa kuibuka na ushindi wa...
Nje ya ulingo haya ndo maisha yao MASHABIKI huwafahamu kwa ngumi kali, KO na mikanda wanayobeba, lakini wachache wanajua maisha yao yanapoisha kelele za ulingoni. Wakati wengine wakidhani mabondia husubiri pambano linalofuata...
Curacao taifa dogo, kocha mzee Kombe la Dunia 2026 CURACAO ni hadithi ya kishujaa kwenye Kombe la Dunia. Nchi ndogo ya kisiwa cha Karibiani, yenye idadi ya watu takriban 158,000 tu lakini maisha ya usiku yanayoshindana na London au New York, ipo...
Yanga, Simba, TRA United zimekula kibano cha TPLB BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeendelea kuonyesha makali yake katika kusimamia nidhamu baada ya kutoa adhabu mbalimbali kwa wachezaji, maofisa na mashabiki pamoja na klabu za Ligi Kuu Bara na...
Dili iliyokufa - 15 ILIPOISHIA “Sasa Majaliwa ungependa uendelee na masomo au ufanye kazi?” Wakwetu akamuuliza. “Ngoja nifikirie halafu nitakwambia.” “Kama utapenda uendelee na masomo utaniambia, vyuo viko vingi...
Jaku aiomba SMZ kuwekeza Ligi Kuu Zanzibar Mwakilishi wa Paje, Jaku Hashim Ayub ameishauri serikali kuwekeza fedha katika Ligi Kuu Zanzibar kwa lengo la kuipa thamani na ushindani kama zilivyo ligi nyingine.
Malindi yakubali yaishe Ligi Kuu Zanzibar MENEJA wa timu ya Malindi, Ramadhan Sanga amekubali yaishe kwa timu yake kushuka daraja msimu huu huku akisema wana mikakati madhubuti ya kurejea Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Amesema wanakwenda...
Pemba inavyonawiri na viwanja vya kisasa UNAWEZA kusema kwamba zile dhana na imani za kuwa Pemba haiwezi kujengwa, hususan kwa upande wa michezo, kwa sasa mambo yamekuwa tofauti na matarajio ya kila mmoja. Kati ya kundi la watu 100...
Elvis Rupia anukia Ligi Kuu Kenya MSHAMBULIAJI mahiri wa Singida Black Stars, Mkenya Elvis Rupia yuko katika mazungumzo ya kurejea katika timu ya Kenya Police FC ya kwao Kenya aliyowahi kuichezea awali, baada ya klabu hiyo kuanza...
Nani kutwaa tuzo ya Golden Boot Kombe la Dunia? KOMBE La Dunia 2026 litakuwa mashindano makubwa zaidi kuwahi kufanyika, likishirikisha mataifa 48 nchini Marekani, Canada na Mexico. Mbali na mbio za ubingwa, ushindani wa tuzo ya Golden Boot kwa...