Ibenge azitaja mechi saba Azam MASHABIKI wa Azam ni kama wana wasiwasi hivi juu ya kiwango cha timu hiyo mpaka sasa, lakini kocha wa kikosi hicho, Florent Ibenge amewashusha presha huku akisema wanahitaji kama mechi saba hivi...
‘Sajili’ tano Yanga Princess na rekodi zao YANGA Princess imeamua kuvuka mipaka katika kusuka kikosi chake cha msimu wa 2026/27, ikiwaleta nyota kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika, huku ikilenga kuongeza ushindani kwenye maeneo muhimu ya...
Mechi mbili za kibabe Ligi Kuu Bara LIGI Kuu Bara inaendelea leo na viwanja viwili tofauti nyasi zake zitakuwa kwenye joto kwa timu nne kuwania pointi tatu.
KISIWA CHAMAUTI - 27 ILIPOISHIA “Mke si nilishamuacha?. Au wewe ulikuwa hujui?” “Mimi najua watania tu lakini mke bado unaye” “Basi na yaishe. Mimi niliuliza tu kutaka kujua. Kama unaye mke au huna hakuna tatizo”...
KMKM matumaini kibao Ligi Kuu Zanzibar LICHA ya KMKM kushindwa kutetea taji lake la Ngao ya Jamii Zanzibar 2026, lakini mkuu wa kikosi hicho, Comdore Azan Hasaan Msingiri, amesema bado anaimani na timu hiyo kufanya vizuri katika Ligi...
Mtihani wa Polisi kwa KVZ Ligi Kuu Zanzibar LIGI Kuu Zanzibar msimu wa 2026-2027 inatarajiwa kuanza Agosti 29, 2026 kwa bingwa mtetezi KVZ kuanza safari ya kutetea taji dhidi ya Polisi, wakati mabingwa wa Kombe la FA, KMKM, watafungua...
Inzaghi afichua kilichomkwamisha Namungo BAADA ya Namungo kuinasa saini ya mshambuliaji wa Uhamiaji, Ali Khatibu 'Inzaghi' wameamua kuachana naye kwani hawakufikia makubaliano rasmi na viongozi wa timu hiyo.
Madogo janja EPL walioanza na ukali IKIWA tayari imesharejea kwa ajili ya msimu wa 2026/27, Ligi Kuu England imeshuhudiwa raundi ya kwanza ikimalizika jana, huku sura mpya zikianza kuchomoza na kuvuta hisia za mashabiki wa soka.
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Mambo yalivyokuwa moto Italia, Hispania, Ujerumani MAMBO yameanza kuwa moto. Ligi kuu tano za soka Ulaya zilirejea zote wikiendi iliyopita. Achana na Iile ya England iliyoanzisha msimu wa 2026/27 Ijumaa kwa mechi kati ya Arsenal na Coventry City...