Shamba la Bibi hadi kieleweke CECAFA U-20 MICHUANO ya Afrika Mashariki na Kati CECAFA U-20 inatarajiwa kuendelea Alhamisi ya Septemba 17 kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, huku Rwanda, Ethiopia, Djibouti, Sudan, Burundi na Kenya...
PRIME Mzizima Dabi, mechi ya kisasi, rekodi Azam Complex BAADA ya kupita siku 74, ambazo ni sawa na miezi miwili na siku 14 au wiki 10 na siku nne au dakika 106,560 na sekunde 6,393,600, hatimaye leo tunashuhudia mechi kali na ya kuvutia kati ya Azam...
Mchuano mkali vyuma vipya Mzizima Dabi DABI ya Mzizima si vita ya Simba na Azam pekee, bali ni pambano ambalo kila msimu huja na sura mpya, matarajio mapya na presha kubwa kwa wachezaji wanaotua katika timu hizo.
Hat trick za Kelvin John mtihani CECAFA U-20 Wakati michuano ya Afrika Mashariki na Kati CECAFA U-20 ikiendelea kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, kuna mambo mengi yanatarajiwa kutokea ikiwamo ufungaji wa mabao.
Mauaji ya kutisha – Sehemu ya 9 UTANGULIZI “Sasa hebu tuambie kwa kadiri ulivyofikiria hao watu walijificha kwa wapi wakati marehemu akiwasikia wakiwa nyuma ya nyumba?” “Kwa kweli sijagundua hadi sasa.” “Unadhani nani...
KVZ yatupwa nje CAF ikichapwa 3-0 nyumbani ASSWEHLY SC imefanikiwa kutinga hatua ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada kuondoka na ushindi wa mabao 3-0 katika ardhi ya Zanzibar katika mchezo wa marudiano dhidi ya KVZ uliochezwa leo...
JKU yaanza kunoga Ligi Kuu Zanzibar KOCHA MKUU wa JKU, AbdulSaleh Mohammed amesema timu hiyo imeanza kuwa bora baada ya kuifunga Wembe mabao 4-0 kwenye Uwanja wa Mao A, Unguja na amefurahi kuvuna pointi tatu za mchezo huo.
Raskazone yaipigia hesabu kali KMKM Raskazone imesema licha ya ugeni wao kwenye Ligi Kuu Zanzibar, lakini bado wanaendelea kujiimarisha ili kupata matokeo mazuri dhidi ya KMKM.
Sababu za mba kichwani, mwilini KUNA watu wakiona mtu anajikuna kichwani, tayari wanamwangalia kwa jicho la pembeni kana kwamba hajawahi kukutana na maji ya kuoga.
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
RAMAJAA: Majaji wanatuuza kwa pesa kidogo UKITAKA kujua maana halisi ya chuo cha ngumi za kulipwa nchini Tanzania, huna haja ya kutafuta tiketi ya kwenda nchini Mexico au Las Vegas, Marekani we katiza tu hadi mitaa ya Mabibo, jijini Dar...