Straika Dodoma Jiji aendeleza rekodi MSHAMBULIAJI wa Dodoma Jiji, Edgar William, ameendeleza rekodi bora ya kuvutia ya kuifunga TRA United katika mechi za Ligi Kuu Bara, baada ya nyota huyo kutikisa nyavu tena Agosti 29, 2026, ikiwa...
Chelsea yahitaji zaidi ya kipa kutwaa ubingwa MASAA matano tu baada ya Chelsea kuthibitisha usajili wa kipa Emiliano Martinez, nyota huyo alijikuta akicheza mechi yake ya kwanza akiwa Stamford Bridge dhidi ya Brighton.
Josiah atuma ujumbe Ligi Kuu BAADA ya ushindi wa kwanza kwenye uwanja wa nyumbani ikitoka kupoteza mbili mfululizo ugenini, kocha wa Mashujaa, Amani Josiah amesema matokeo hayo yamewapa nguvu na kujiamini zaidi hasa...
KISIWA CHAMAUTI - 35 ILIPOISHIA Tulitoka katika lile jumba. Wakati tunatoka Yasmin aligeuka juma akalitazama jumba hilo kwa mara ya mwisho. Sikujua alikuwa akiwaza nini. Baada ya kulitazama kwa sekunde chache...
ZFF yafungua ukurasa wa soka la kidijitali SHIRIKISHO la Soka Zanzibar (ZFF) limefungua ukurasa mpya katika uendeshaji wa soka baada ya kuingia mkataba wa ushirikiano na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), unaolenga kuharakisha...
Waamuzi 53 kazini Ligi Kuu Zanzibar WAAMUZI 53 wamepewa jukumu la kusimamia mechi za Ligi Kuu Zanzibar msimu wa 2026/27, huku Kamati ya Waamuzi ikilenga kuhakikisha ushindani huo unaendeshwa kwa kuzingatia sheria na kanuni za soka.
KVZ yacheza dakika 450 bila ushindi MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Zanzibar, KVZ wameianza safari ya kutetea ubingwa wake na maandalizi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa namna ya kushangaza baada ya kucheza mechi tano sawa na dakika...
Savinho na Spurs yaliyomo yamo? TOTTENHAM Hotspur wametumia kiasi kikubwa cha fedha ili kumsajili Savio Moreira de Oliveira maarufu kama Savinho, ambaye ni mchezaji wa hivi karibuni mwenye gharama kubwa katika ujenzi upya wa...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Messi atangaza kustaafu soka la kimataifa GWiji wa soka la Argentina, Lionel Messi ametangaza kustaafu kucheza soka la kimataifa, akisema uamuzi huo “umeumiza”, lakini anatambua kuwa wakati umefika wa kuagana na timu yake ya taifa.