Vita tatu Ligi Kuu Bara LIGI Kuu Bara inaendelea leo Jumamosi ambapo timu sita zitakuwa viwanjani kuamua vita ya pointi na kujiweka kwenye nafasi nzuri katika msimamo.
Nani kubeba Bundesliga? Hawa wanashuka daraja! JE, Bayern Munich wanaweza kutetea ubingwa wa Ligi Kuu Ujerumani (Bundesliga)? Ni timu zipi zitafuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya? Na je, klabu zilizopanda daraja zinaweza kuepuka kushuka?
Farid Mussa ataja kitakachombeba WINGA wa Coastal Union, Farid Mussa amefunguka namna anavyojipanga kuibeba timu hiyo Ligi Kuu Bara na atatumia uzoefu wake wa kuzichezea klabu kubwa kufanikisha hilo.
KISIWA CHAMAUTI - 33 ILIPOISHIA Yasmin akanigeukia mimi na kuniambia. “Twende tukaizike hii chupa” “Hapana.. hapana. Msiizike!” Sauti ya Harishi ikalalamika. “Mimi naona tukaizike baharini” nikamwambia...
Ilipofikia ishu ya Mlandege, Pamba Jiji TIMU ya Mlandege inayoshiriki Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), imewasilisha malalamiko Shirikisho la Mpira wa Tanzanzia (TFF) na Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF) ikidai Pamba Jiji imewatumia...
Polisi SC watakiwa kuongeza umakini MWENYEKITI wa Polisi SC ya Zanzibar, Kamishna Msaidizi wa Polisi, ACP Omar Khamis Abdalla, ameikumbusha timu hiyo kuongeza umakini kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu Zanzibar 2026-2027.
Siku 1,826 za ndoa ya Bernardo, Ines Tomaz HUU ni msimu wa kwanza wa Bernardo Silva, 31, katika kikosi cha Real Madrid, ila kwa upande wa mai-sha binafsi huu ni mwaka wa tatu katika ndoa na mkewe Ines Tomaz, 28, ambaye amejipambanua ka-ma...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Arsenal Barcelona vitani saini ya Rashford MANCHESTER United haijaondoa uwezekano wa mshambuliaji wa kimataifa wa England, Marcus Rashford, kuondoka katika klabu hiyo, huku Arsenal na Barcelona zikiendelea kufuatilia kwa karibu hali ya...