Kagera Sugar katika matumaini mapya msimu wa 2026-2027 KLABU ya Kagera Sugar maarufu kwa jina la utani la ‘Wanankurukumbi’, ni timu kutoka Mkoa wa Kagera, uliopo Kanda ya Ziwa iliyobeba matumaini makubwa ya kufanya vizuri katika michuano mbalimbali...
Mtego mpya wa mafundi wa mipira iliyokufa EPL 2026/27 MSIMU mpya wa Ligi Kuu England umewadia. Makocha wanaendelea kuboresha vikosi. Hata hivyo huenda ukawa umeanza huku kila timu ikijiweka sawa katika namna kuicheza na kuidhibiti mipira iliyokufa...
Yanga inaanza safari ya kutetea ubingwa Ligi Kuu SAFU ya ulinzi ya Namungo leo inalazimika kuwa katika kiwango bora na kucheza kwa nidhamu kubwa dhidi ya Yanga ili iondoke na pointi nyumbani katika mechi ya kwanza ya Ligi Kuu Tanzania Bara...
Waamuzi 65 wafuzu mtihani utimamu wa mwili WAAMUZI 73, wakiwemo wanawake 12, wamefanya mtihani wa utimamu wa mwili katika Uwanja wa Mao Zedong kisiwani Unguja, huku 65 wakifanikiwa kufuzu na 18 wakishindwa.
Vipaji Zanzibar vyateka Simba, Yanga, Azam KASI za klabu za Simba, Yanga na Azam FC kuweka nguvu kusajili wachezaji wazawa kutoka Tanzania Visiwani kwa miaka ya hivi karibuni, inaweza ikapunguza idadi kubwa ya nyota wanaotoka Bara kupata...
Mbeki ahamia KVZ, aweka hadi ya kutetea ubingwa BAADA ya kuitumikia Mlandege kwa misimu mitano mfulululizo, beki wa kushoto, Said Mussa Said maarufu kwa jina la Mbeki, anakwenda kukiwasha KVZ ambayo ni bingwa wa Ligi Kuu Zanzibar msimu wa...
Huyu nd'o bingwa mpya LaLiga 2026/27 NANI atatwaa ubingwa wa Ligi Kuu Hispania (La Liga) msimu wa 2026/27? Ni timu zipi zitafuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya? Na ni zipi zitashuka daraja? Maswali yote hayo muhimu yanajibiwa kupitia...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Bondia afariki baada ya miaka 11 ya kupambania uhai BONDIA maarufu wa Puerto Rico, Prichard Colón, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 33, Alhamisi ya Agosti 13, 2026. Kifo chake kimethibitishwa na baba yake, Richard Colón, kupitia mitandao ya...