Coastal yapata ushindi wa kwanza nyumbani, Maabad akiendeleza moto
COASTAL Union imepata ushindi wake wa kwanza wa Ligi Kuu Bara nyumbani msimu huu baada ya kuifunga JKT Tanzania mabao 2-1 katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga, huku mshambuliaji...