Barcelona yampa pigo Rashford BARCELONA imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Karim Adeyemi, kwa ada inayoweza kufikia euro milioni 31 (pauni milioni 26.5).
Defoe atimka baada ya miezi minne tu NYOTA wa zamani wa England, Jermain Defoe, ameondoka katika klabu ya Woking inayoshiriki National League baada ya kukaa madarakani kwa miezi minne pekee.
Doumbia sasa ni rasmi Simba KLABU ya Simba, imeinasa saini ya mshambuliaji, Ibrahim Doumbia kutoka AS Korofina ya Mali kwa mkataba wa miaka miwili.
Dili iliyokufa - 50 ILIPOISHIA “Ushahidi mzuri ni wa wake wa mshitakiwa wa kwanza ambao, licha ya wao kuwa washitakiwa, wameeleza mahakamani hapa kwamba mume wao aliwaua wanawake hao kwa kuwafyonza damu na kwamba...
Mlandege yaanza kusuka kikosi KATIBU Mkuu wa Mlandege, Hussein Ahmada amesema dirisha hili kubwa la usajili wameacha wachezaji 15 lakini wana mpango wa kusajili wengine kwa lengo la kukijenga kikosi chao upya.
Juma Shaaban aziweka tatu mezani WAKATI mchezaji Juma Shaaban ‘James’ akiachana na KVZ, JKU, Uhamiaji na Black Sailors zinatajwa kuingia kwenye mbio za kuwania saini ya beki huyo.
BTMZ, ZFF waungana kuinua vwango vya makocha Zanzibar NAIBU Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Ali Abdulgulam Hussein, amesema mafunzo ya utimamu wa mwili kwa makocha ni hatua muhimu ya kuongeza ubora wa soka nchini.
Nigeria ilivyoteka soka la wanawake Afrika KAMA kuna mashindano ambayo yamekuwa kioo cha ukuaji wa soka la wanawake barani Afrika, basi ni Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON). Leo hii kila taifa linapambana kufuzu, lakini...
Mkenya awindwa Kagera Sugar BAADA ya Kagera Sugar kukata tiketi ya kucheza Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2026-2027, mabosi wa timu hiyo wanasuka upya kikosi hicho na sasa imefungua mazungumzo na beki wa kushoto wa Kakamega...
Defoe atimka baada ya miezi minne tu NYOTA wa zamani wa England, Jermain Defoe, ameondoka katika klabu ya Woking inayoshiriki National League baada ya kukaa madarakani kwa miezi minne pekee.