Simba yatumia dakika 40 Jangwani, hali ya hewa yachafuka DAKIKA 40 tu zimetosha kubadilisha hali ya hewa ya Jangwani jijini Dar es Salaam, baada ya Simba kufanya paredi la kusherehekea ubingwa wa Kombe la Shirikisho la CRDB ambapo msafara wao ulipita...
Shabiki achomoa simu ya Mpanzu katika paredi SHANGWE za paredi la ubingwa wa Simba zilivurugwa kwa dakika chache baada ya kiungo wa timu hiyo, Elie Mpanzu, kunusurika kuibiwa simu yake ya mkononi katika tukio lililotokea wakati wa...
Sababu zilizoziangusha timu saba za Afrika Kombe la Dunia HAKUNA kulala! Fainali za Kombe la Dunia 2026 zimeingia katika hatua ya 16 bora, ambapo tayari mechi mbili za kwanza zilipigwa usiku wa kuamkia leo, Canada imekiwasha dhidi ya Morocco, huku...
Maswali magumu inayoenda kuulizwa England na Mexico HATIMAYE imefika. Unapofikiria kupanda kitandani leo usiku kumbuka kwamba ifikapo saa 9:00 usiku ile mechi ya kibishi inapigwa.
Morocco yaichapa Canada chuma tatu, yaandika historia Morocco imekuwa timu ya kwanza kufuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuwachapa wenyeji wenza Canada mabao 3-0 katika mchezo wa hatua ya 16 bora uliochezwa leo Jumamosi...
Mbeya City mguu mmoja Ligi Kuu, Prisons ni maajabu tu zikisubiriwa dakika 90 Mabao ya Said Naushad na Hijja Shamte yametosha kuiweka mazingira mazuri Mbeya City kufuatia ushindi wa 2-0 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa mtoano 'Play Off' mkondo wa kwanza...
Dili iliyokufa - 39 ILIPOISHIA Kabla ya hapo nilikuwa nikiomba hadi shilingi laki mbili kwa mume wangu niliyemkimbia na pia niiliona hazitoshi lakini huko kwa mganga niliona elfu thelathinizingetosha. Nilikuwa...
Gharama za viwanja yatajwa kuwakwamisha vijana NAIBU Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Ali Abdulgulam Hussein, amesema gharama za kutumia viwanja vya michezo vinavyojengwa nchini ni miongoni mwa changamoto...
Bodi ya Ligi Zanzibar kuwabana wanaopanga matokeo BAADA ya kumalizika kwa Ligi Kuu Zanzibar msimu wa 2025-2026, kati ya mambo yaliyoitikisa ligi hiyo ni upangaji wa matokeo jambo ambalo limeonekana kuichafua ligi hiyo.
18 waitwa Kabaddi Zanzibar RAIS wa Shirikisho la Mchezo wa Kabaddi Zanzibar, Abdalla Juma ametangaza majina ya wachezaji 18 watakaounda Timu ya Taifa ya wanaume kwa mwaka 2026, itakayoiwakilisha Zanzibar katika Mashindano...
Hatma ya Prisons, Mbeya City kuondoka, kubaki Ligi Kuu leo HESABU zinaanza leo. Ndivyo unaweza kusema kuelezea mtifuano wa Mbeya City dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa hatua ya kwanza ya mchujo (play off) kusaka nafasi ya kubaki salama Ligi Kuu.
Mkenya awinda mikoba ya Yona Amos MABOSI wa Pamba Jiji wameanza mchakato wa kimya kimya wa kukisuka kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao, ambapo kwa sasa wanaangalia uwezekano wa kusajili kipa namba moja wa Shabana FC, Mkenya...
Kylian Mbappe ni rekodi juu ya rekodi KYLIAN Mbappe sasa amebakiwa na bao moja tu kufikia rekodi ya Lionel Messi katika orodha ya wafungaji bora wa muda wote wa Kombe la Dunia, baada ya kufikisha mabao 19 katika michezo 19 ya...