Yanga kwenye mechi ya kimkakati dhidi ya Fountain Gate MSAKO wa kusaka pointi tatu katika Ligi Kuu Bara unaendelea tena leo kwa mechi tatu kupigwa huku vinara wa ligi hiyo na mabingwa watetezi Yanga watakuwa wageni wa Fountain Gate kwenye Uwanja wa...
Ghana, yailiza Panama dakika za jioniii, yatunza ahadi kwa Rais Ghana imefanya kweli baada ya kuichapa Panama kwa ushindi wa bao 1-0, huku bao lililoamua mchezo huo likipatikana dakika za mwisho za mechi hiyo.
DR Congo yaikazia Ureno, Ronaldo akifichwa DR Congo imeukataa unyonge kwa kulazimisha sare 1-1 na Ureno yenye mastaa wakubwa duniani akiwemo Cristiano Ronaldo.
England yaanza na ushindi Kombe la Dunia, mvua ya mabao yatawala TIMU ya taifa ya England imeanza vyema Michuano ya Kombe la Dunia, baada ya kuifunga Croatia mabao 4-2, katika mechi kali na ya kuvutia ya kundi L iliyopigwa kwenye Uwanja wa Dallas huko...
Tegisi apiga Hat trick, Pamba Jiji yaua Hat trick zimeanza kuitika Ligi Kuu baada ya straika wa Pamba Jiji, Mathew Tegisi kufanya hivyo akiiongoza timu yake kuichakaza Mtibwa Sugar mabao 4-0.
Dili iliyokufa -17 “Hizo taarifa tayari zimesambazwa katika vituo vyote vya polisi. Alama yetu ilikuwa ni namba ya usajili ya hilo gari kwani alipofika hapo gesti, watu waliona namba ya gari alilokuwa nalo. Kwa...
Jaku aiomba SMZ kuwekeza Ligi Kuu Zanzibar Mwakilishi wa Paje, Jaku Hashim Ayub ameishauri serikali kuwekeza fedha katika Ligi Kuu Zanzibar kwa lengo la kuipa thamani na ushindani kama zilivyo ligi nyingine.
Malindi yakubali yaishe Ligi Kuu Zanzibar MENEJA wa timu ya Malindi, Ramadhan Sanga amekubali yaishe kwa timu yake kushuka daraja msimu huu huku akisema wana mikakati madhubuti ya kurejea Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Amesema wanakwenda...
Pemba inavyonawiri na viwanja vya kisasa UNAWEZA kusema kwamba zile dhana na imani za kuwa Pemba haiwezi kujengwa, hususan kwa upande wa michezo, kwa sasa mambo yamekuwa tofauti na matarajio ya kila mmoja. Kati ya kundi la watu 100...
John Bocco anasogea mdogomdogo JUZI tumeona mashambuliaji wa zamani wa Simba na Azam, John Bocco maarufu kama Adebayor, akiwa miongoni mwa wahitimu wa kozi ya ukocha wa soka leseni B.
Elvis Rupia anukia Ligi Kuu Kenya MSHAMBULIAJI mahiri wa Singida Black Stars, Mkenya Elvis Rupia yuko katika mazungumzo ya kurejea katika timu ya Kenya Police FC ya kwao Kenya aliyowahi kuichezea awali, baada ya klabu hiyo kuanza...
Messi atakuwepo Kombe la Dunia 2030 Timu ya taifa ya Argentina ilianza vyema utetezi wa taji lake la Kombe la Dunia la mwaka 2022 lililoshinda nchini Qatar, baada ya Lionel Messi kufunga mabao matatu (hat-trick) dhidi ya Algeria...