Mipira ya kurusha na maajabu yake WAKATI ikiwa ni siku ya tatu ya mechi za mtoano za hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026, ulimwengu wa soka umeshuhudia mabadiliko kibao katika soka ambayo yamegeuka mjadala katika vijiwe vya...
Khatma kocha wa kwanza mwanamke ZPL LICHA ya New King kushuka daraja msimu wa 2025-2026 ilipomaliza nafasi ya 13, lakini Khatma Khamis Mwalimu maarufu Betina, ameandika historia ya kuwa kocha mkuu wa kwanza wa kike kufundisha timu...
Kuna jambo Morocco inayoendelea ilipoishia Kocha mpya Mohamed Ouahbi, ameendelea kusimamia maendeleo ya Morocco katika Kombe la Dunia, huku falsafa yake ya wazi na matumizi ya vipaji kutoka diaspora ikiweka msingi wa uwezekano wa kubadili...
Chipukizi kuja kivingine msimu ujao BAADA ya kuchezea vipigo kwenye fainali mbili mfululizo za Kombe la FA Zanzibar, Chipukizi imesema itajipanga vizuri msimu ujao ili kuondoa hali hiyo na hatimaye kubeba ubingwa.
Aliyemuumiza Pacome afunguka, atakuwa nje wiki sita kwanza HAKUNA ushindi usiokuwa na kilio. Hiyo ndiyo hali ya mashabiki wa Yanga wakishangilia ubingwa wao wa ligi lakini wakikumbuka tukio la kuumia kwa kiungo wao Pacome Zouzoua wanabadilika ghafla...
Dili iliyokufa - 33 ILIPOISHIA Aliposindika mlango aliifungua shuka yake aliyokuwa amejifunga na kuitupa chini. Sikutaka hata kumtazama. Na mimi nikasimama na kugeuka upande mwingine. Nikaanza kupembua nguo zangu...
Khatma kocha wa kwanza mwanamke ZPL LICHA ya New King kushuka daraja msimu wa 2025-2026 ilipomaliza nafasi ya 13, lakini Khatma Khamis Mwalimu maarufu Betina, ameandika historia ya kuwa kocha mkuu wa kwanza wa kike kufundisha timu...
KMKM bingwa tena FA Zanzibar MABAHARI wa KMKM, wamefanikiwa kutetea ubingwa wa Kombe la FA Zanzibar baada ya kuitandika Chipukizi mabao 2-1 katika fainali iliyochezwa Juni 27, 2026 kwenye Uwanja Gombani uliopo kisiwani Pemba.
Mfungaji Bora ZPL azigonganisha tatu Bara MSHAMBULIAJI wa KVZ, Michael Joseph aliyeibuka kinara wa ufungaji katika Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) msimu wa 2025-2026, amezivutia timu tatu za Ligi Kuu Bara ambazo ni Namungo, Coastal Union na...
Mengo: Nidhamu ndiyo silaha yangu mpya KAMA ulikuwa unaamini safari ya bondia Hamza Mengo imefikia tamati basi jua kijana huyo anayetokea Vimo Gym amerejea upya baada ya kipindi kirefu cha kutoonekana ulingoni.
Mkenya presha yaanza Mtibwa Sugar KICHAPO cha mabao 2-1 ilichokipata Mtibwa Sugar dhidi ya Tanzania Prisons, kimemfanya kocha mkuu wa kikosi hicho, Mkenya, Yusuf Chippo kusema anahitaji miujiza zaidi ya kuinusuru timu hiyo katika...
Sababu nyingine Usyk kuachia mikanda ni hii BINGWA wa uzito wa juu duniani, Oleksandr Usyk anataka kuyaachia mataji yake ili kutoa nafasi kwa mabondia wengine wayashindanie, huku mshkaji wake wa mazoezini, Anthony Joshua, akilenga kutimiza...