Mabondia Juma Choki, Tony wawekewa gari mezani PAMBANO kuu la Dar Boxing Derby 2026 kati ya Juma Ramadhan Choki na Tony Rashid limepata msisimko mpya baada ya waandaaji kutangaza kuwa mshindi atajinyakulia gari aina ya Toyota Crown New Model,...
Simba Queens yaachana na kiungo WAKATI Simba Queens ikijiandaa kuingia kambini Julai 19, 2026 kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Ukanda wa Cecafa, mabingwa hao wameanza kufanya maboresho...
Beki mpya Azam FC afichua jambo AZAM FC imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu wa 2026-2027 baada ya kumtangaza rasmi beki wa kati raia wa Ubelgiji, Henri Stanic, aliyesajiliwa kutoka Stellenbosch FC ya Afrika Kusini.
Dili iliyokufa - 43 ILIPOISHIA Hapo ndipo nilipokumbuka. Wakati ule nilipokuwa nakwenda kwake kufuatia dawa ya mume wangu akanichukua hadi mahali hapo ambapo alikwenda kuniingiliakimwili akajidaiananifanyia...
Mbappe wa Zanzibar asaini Singida Black Stars MLANDEGE inayoshiriki Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), imetangaza kuachana na mshambuliaji wake, Mussa Hassan ‘Mbappe’ huku ikimtakia kheri katika safari yake mpya.
Vijana waitwa kushiriki Kabaddi Zanzibar MJUMBE wa Shirikisho la Mchezo wa Kabaddi Zanzibar, Abbas Khamis Suleiman, amewataka vijana kisiwani hapa kushiriki mchezo huo kwa lengo la kuzifikia fursa zilizopo.
Timu ya Chipukizi yambeba Gamera BAADA ya timu Wembe kutia nia ya kumtaka aliyekuwa Kocha Mkuu wa Fufuni, Suleiman Mohamed ‘Mani Gamera’, sasa upepo umegeuka na kocha huyo msimu ujao atainoa Chipukizi iliyopo kisiwani Pemba.
Mkenya, Mkongo wapishana Pamba MABOSI wa Singida Black Stars wamefikia makubaliano ya kumsajili mshambuliaji wa Pamba Jiji, Mkenya Mathew Tegisi Momanyi, baada ya kuridhishwa na kiwango chake alichokionyesha Ligi Kuu Bara kwa...
Trump kushuhudia fainali ya Kombe la Dunia 2026 IKULU ya Marekani (White House) imethibitisha Rais Donald Trump atahudhuria fainali ya Kombe la Dunia 2026 kati ya Argentina na Hispania itakayochezwa Jumapili kwenye Uwanja wa New York/New Jersey.