Michael Olise apiga ‘hat trick’ ya maana KIUNGO mshambuliaji wa Ufaransa Michael Olise ameendelea kuonyesha kiwango chake bora kuelekea Kombe la Dunia baada ya kufunga mabao matatu (hat-trick) na kuiongoza Ufaransa kuibuka na ushindi wa...
Curacao taifa dogo, kocha mzee Kombe la Dunia 2026 CURACAO ni hadithi ya kishujaa kwenye Kombe la Dunia. Nchi ndogo ya kisiwa cha Karibiani, yenye idadi ya watu takriban 158,000 tu lakini maisha ya usiku yanayoshindana na London au New York, ipo...
Straika Mkongomani aiteka Singida Black Stars MABOSI wa Singida Black Stars wanaendelea kufanyia tathimini maeneo ya kuboresha msimu ujao, ambapo kwa sasa inaangalia uwezekano wa kuinasa saini ya mshambuliaji nyota Mkongomani Gusto Wa Ilungo...
Dili iliyokufa - 14 ILIPOISHIA “Aliwalea mpaka mlifikia umri gani?” “Tulishamaliza kidato cha tatu alipotuacha na kurudi Oman” “Aliwaacha kwa sababu gani?” “Mume wake alifariki, akaona asingeweza kuishi peke...
Malindi yakubali yaishe Ligi Kuu Zanzibar MENEJA wa timu ya Malindi, Ramadhan Sanga amekubali yaishe kwa timu yake kushuka daraja msimu huu huku akisema wana mikakati madhubuti ya kurejea Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Amesema wanakwenda...
Pemba inavyonawiri na viwanja vya kisasa UNAWEZA kusema kwamba zile dhana na imani za kuwa Pemba haiwezi kujengwa, hususan kwa upande wa michezo, kwa sasa mambo yamekuwa tofauti na matarajio ya kila mmoja. Kati ya kundi la watu 100...
Chipukizi, New Kings bado zina nafasi ZPL USHINDI wa bao 1-0 wa Polisi dhidi ya Chipukizi katika mchezo wa Ligi Kuu Zanzibar uliochezwa Uwanja wa Gombani, Pemba, umeongeza presha kwa Chipukizi na New Kings katika vita vya kujiokoa...
Urembo unavyoweza kugeuka maradhi Ni jambo la kawaida kukuta marafiki wakiazimana taulo, kifaa cha kutengeneza kucha au hata vifaa vya kujipambia. Wengine hufanya hivyo saluni, nyumbani au wanapokuwa katika shughuli mbalimbali za...
Mkenya aingia rada za Singida Black Stars WAKATI uongozi wa Pamba Jiji ukiwa katika mazungumzo ya kumuongezea mkataba mpya mshambuliaji nyota wa timu hiyo, Mkenya Mathew Momanyi Tegisi baada ya kuridhishwa na kiwango chake, Singida Black...
Mashabiki DR Congo wapigwa marufuku dhidi ya Chile Mechi ya mwisho ya maandalizi ya Kombe la Dunia ya DR Congo dhidi ya Chile itachezwa bila mashabiki kutokana na wasiwasi kuhusu mlipuko wa ugonjwa wa Ebola nchini DR Congo.