KMC rasmi imeshuka daraja baada ya misimu nane Ligi Kuu Klabu ya Soka ya Manispaa ya Kinondoni (KMC FC) imeshuka rasmi daraja na itashiriki Ligi ya Champion-ship msimu ujao baada ya kudumu kwa misimu minane mfululizo katika Ligi Kuu Tanzania Bara.
Rweyemamu afichua kile watu wasichokijua kuhusu Ajibu KAMA kuna kitu anakiamini meneja wa Simba, Patrick Rweyemamu basi ni kufanya majukumu yake ni ukweli na unyoofu wa mambo, vitu vinavyomsaidia kurahisha kazi yake na kujenga mahusiano mazuri na...
Marekani yatoa onyo kwa wapinzani Kombe la Dunia ikiizamisha Paraguay 4-1 Timu ya Taifa ya Marekani, (The Yanks) imeanza vyema Fainali za Kombe la Dunia 2026 ikiibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Paraguay.
Dakika 1,080 Mtibwa Sugar bila ushindi ugenini MTIBWA Sugar imeendeleza rekodi ya kutopata ushindi katika mechi za Ligi Kuu Bara ugenini, baada ya leo kukubali kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Mbeya City ukiwa ni mchezo wa 12 bila kuonja pointi tatu.
Dili iliyokufa -17 “Hizo taarifa tayari zimesambazwa katika vituo vyote vya polisi. Alama yetu ilikuwa ni namba ya usajili ya hilo gari kwani alipofika hapo gesti, watu waliona namba ya gari alilokuwa nalo. Kwa...
Jaku aiomba SMZ kuwekeza Ligi Kuu Zanzibar Mwakilishi wa Paje, Jaku Hashim Ayub ameishauri serikali kuwekeza fedha katika Ligi Kuu Zanzibar kwa lengo la kuipa thamani na ushindani kama zilivyo ligi nyingine.
Malindi yakubali yaishe Ligi Kuu Zanzibar MENEJA wa timu ya Malindi, Ramadhan Sanga amekubali yaishe kwa timu yake kushuka daraja msimu huu huku akisema wana mikakati madhubuti ya kurejea Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Amesema wanakwenda...
Pemba inavyonawiri na viwanja vya kisasa UNAWEZA kusema kwamba zile dhana na imani za kuwa Pemba haiwezi kujengwa, hususan kwa upande wa michezo, kwa sasa mambo yamekuwa tofauti na matarajio ya kila mmoja. Kati ya kundi la watu 100...
Mechi za heshima lala salama Championship BAADA ya kushuhudia Geita Gold na Kagera Sugar zikirejea Ligi Kuu, Ligi ya Championship inaendelea tena kesho Jumapili kwa mechi zote nane kupigwa kwenye viwanja mbalimbali, huku zikiwa ni za...
Elvis Rupia anukia Ligi Kuu Kenya MSHAMBULIAJI mahiri wa Singida Black Stars, Mkenya Elvis Rupia yuko katika mazungumzo ya kurejea katika timu ya Kenya Police FC ya kwao Kenya aliyowahi kuichezea awali, baada ya klabu hiyo kuanza...
Viatu vya Kane, Bellingham vyaibwa kambini Kombe la Dunia KIKOSI cha England kimejikuta kwenye taharuki wakati wakijiandaa mchezo wao wa ufunguzi wa Kombe la Dunia 2026 ambao utachezwa Jumatano, Juni 17 dhidi ya Croatia baada ya vifaa muhimu vya...