Mastaa wawapa saluti, Okello, Barker kunyakua tuzo za NBC PL
BAADA ya kiungo mshambuliaji wa Yanga, Allan Okello na kocha wa Simba, Steve Barker kupata tuzo ubora za mwezi, kulingana na kazi walizofanya, wadau wa soka wamesema wamestahili kwa jinsi...