LeBron akienda Warriors, NBA inabadili ratiba LIGI ya NBA inaweza kulazimika kufanya mabadiliko makubwa kwenye ratiba ya msimu ujao iwapo nyota mkongwe LeBron James ataamua kujiunga na Golden State Warriors, huku mvuto wa kushirikiana kwake...
Tzolis anavyoingia kwenye mfumo wa Arteta BAADA ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 20, Arsenal imeanza harakati za kuimarisha kikosi chake ili kutetea taji hilo msimu ujao, huku jina la Christos...
Kombe la Dunia lawanufaisha washindi 80 WAKATI michuano ya Kombe la Dunia ikifikia tamati Jumapili ya Julai 19, 2026, Watanzania wameendelea kunufaika nje ya uwanja kupitia kampeni ya ya Kombe la Dunia ya "Kila Muamala ni Bao la...
Dili iliyokufa - 44 ILIPOISHIA Hapo ndipo nilipokumbuka. Wakati ule nilipokuwa nakwenda kwake kufuatia dawa ya mume wangu akanichukua hadi mahali hapo ambapo alikwenda kuniingiliakimwili akajidaiananifanyia...
Vardy wa Zenji anukia Mashujaa Mashujaa iko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa mfungaji bora wa Ligi Kuu ya Zanzibar (ZPL) kwa msimu wa 2025-2026, Michael Joseph ‘Vardy’ baada ya kikosi hicho cha maafande kufikia...
Mbappe wa Zanzibar asaini Singida Black Stars MLANDEGE inayoshiriki Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), imetangaza kuachana na mshambuliaji wake, Mussa Hassan ‘Mbappe’ huku ikimtakia kheri katika safari yake mpya.
Vijana waitwa kushiriki Kabaddi Zanzibar MJUMBE wa Shirikisho la Mchezo wa Kabaddi Zanzibar, Abbas Khamis Suleiman, amewataka vijana kisiwani hapa kushiriki mchezo huo kwa lengo la kuzifikia fursa zilizopo.
Kilichoiangusha Tanzania Prisons LICHA ya kuwa na maumivu ya kushuka daraja, lakini upande mwingine ni msaada kwa Tanzania Prisons kujipanga upya kwa ajili ya kurejea na nguvu mpya Ligi Kuu kufuatia msoto waliokutana nao kwa...
Mkenya, Mkongo wapishana Pamba MABOSI wa Singida Black Stars wamefikia makubaliano ya kumsajili mshambuliaji wa Pamba Jiji, Mkenya Mathew Tegisi Momanyi, baada ya kuridhishwa na kiwango chake alichokionyesha Ligi Kuu Bara kwa...
PSG yajiondoa dili la Michael Olise Paris Saint-Germain imejiondoa kwenye mbio za kumsajili winga wa Bayern Munich, Michael Olise, baada ya kukataa kushiriki vita ya dau kubwa la uhamisho.