Vozinha anatua kwa Messi KIPA mkongwe wa Cape Verde, Vozinha, ambaye alikuwa mmoja wa mastaa waliotikisa Kombe la Dunia, anatajwa kuwa mbioni kutua Inter Miami kwa uhamisho wa bure baada ya kumvutia mmiliki wa klabu...
Alonso atua! Apagawisha mashabiki Chelsea ENZI mpya zimeanza Chelsea baada ya kocha mpya, Xabi Alonso, kutua rasmi katika kituo cha mazoezi cha Cobham katika siku yake ya kwanza ya maandalizi ya msimu mpya, huku mashabiki wa klabu hiyo...
Gwalala ni suala la muda kutua TRA United KUNA taarifa za ndani kutoka TRA United kwamba, klabu hiyo ipo hatua za mwisho kukamilisha usajili wa kiungo Greyson Gwalala kutoka Coastal Union ya Tanga.
Dili iliyokufa - 39 ILIPOISHIA Kabla ya hapo nilikuwa nikiomba hadi shilingi laki mbili kwa mume wangu niliyemkimbia na pia niiliona hazitoshi lakini huko kwa mganga niliona elfu thelathinizingetosha. Nilikuwa...
Zanzibar kutumia fursa ya wenyeji Kabaddi Afrika BAADA ya Zanzibar kuwa wenyeji wa mashindano ya mchezo wa Kabaddi Afrika, shirikisho la mchezo huo kisiwani hapa limesema hiyo itakuwa fursa kushiriki mashindano ya dunia kwa upande wa wanaume...
Uhamiaji FC yaachana na nyota saba! WAKATI timu zikijiandaa na msimu ujao wa 2026-2027 kwa kuboresha vikosi vyao, Uhamiaji imeamua kuachana na wachezaji saba.
Nature Mwakilembe mambo safi KVZ KATIKA kujiimarisha kuelekea msimu mpya na mashindano ya kimataifa, KVZ imefanikiwa kukamilisha usajili wa mshambuliaji kutoka Junguni United, Nature Mwakilembe.
Lionel Messi, Kylian Mbappe kama pacha KYLIAN Mbappe ameiongoza Ufaransa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia baada ya kufunga bao katika ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Morocco, akijibu kwa vitendo baada ya kukosa penalti...
Mkenya awinda mikoba ya Yona Amos MABOSI wa Pamba Jiji wameanza mchakato wa kimya kimya wa kukisuka kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao, ambapo kwa sasa wanaangalia uwezekano wa kusajili kipa namba moja wa Shabana FC, Mkenya...
Klabu yamzuia beki Mbelgiji kucheza dhidi Hispania Beki wa Ubelgiji, Zeno Debast, amejikuta katikati ya mvutano mkubwa kati ya timu yake ya taifa na klabu yake ya Sporting Lisbon, huku akitarajiwa kuukosa mchezo wa robo fainali ya Kombe la Dunia...