Wanne Pamba Jiji wamshusha presha Baraza KOCHA wa Pamba Jiji, Francis Baraza amepata ahueni baada ya kurejea kwa wachezaji wanne waliokuwa nje ya kikosi na uwepo wao umeongeza nguvu na chaguo katika timu hiyo ambayo imekuwa ikipambana...
Kikoti ataja kilichomkwamisha msimu huu MSIMU huu haujaanza vizuri kwa kiungo mshambuliaji wa Namungo, Lucas Kikoti, ambaye hadi sasa bado hajafungua akaunti yake ya mabao, wakati timu hiyo ikipambana kutafuta mwendo wa kujiweka salama...
Bigman: Kocha kaondoka? Haina noma WAKATI aliyekuwa Kocha Mkuu wa Bigman, Amanzi Nurdin akitangaza kutimka kikosini, uongozi umesema timu hiyo haushtushwi na uamuzi huo kwani imekuwa daraja kwa makocha wengi kuwafungulia milango.
Mauaji ya kutisha - Sehemu ya 13 UTANGULIZI Majambazi hao wakagundua kuwa walikuwa wamevamiwa na polisi ingawa hawakujua idadi ya polisi hao. Hivyo walitoka vyumbani mwao wakiwa na wanawake zao na kwenda kujificha...
Zandeaf yaanza na ushindi Ligi ya Viziwi ZANDEAF FC imeanza vizuri mashindano ya Ligi ya Viziwi Zanzibar baada ya juzi kupata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Hope City Deaf FC, mechi ikichezwa kwenye Uwanja wa Mao Zedong, Unguja.
Mabeki waigharimu JKU, yaambulia sare KOCHA wa JKU, AbdulSaleh Mohammed, amesema sare ya bao 1-1 waliyoipata dhidi ya KVZ katika mechi ya Ligi Kuu Zanzibar iliyochezwa juzi Alhamisi kwenye Uwanja wa Mao A kisiwani Unguja, imetokana...
Kiungo Uhamiaji auona Ubingwa ZPL KIUNGO mkabaji wa Uhamiaji, Ikram Said Ally amesema uwepo wake ndani ya kikosi hicho ni miongoni mwa mafanikio makubwa kwani ndiyo mara ya kwanza kucheza Ligi Kuu Zanzibar.
Hii ndo siri Shakira kuonekana ‘mtoto’ KUMEKUWA na mijadala mingi mtandaoni kuhusu umri wa mwanamuziki nyota wa Colombia, Shakira na namna anavyoonekana kuwa kama motto wa 2000.
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Saddig Bey avuna mabilioni NBA NYOTA wa kikapu wa New Orleans Pelicans, Saddiq Bey, amesaini mkataba wa miaka mitatu wenye thamani ya dola milioni 56 (Sh.144 bilioni), utakaomuweka kwenye timu hiyo hadi msimu wa 2029-30.