IFFHS yamfuta machozi Messi LICHA ya Argentina kupoteza katika fainali ya Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Hispania na kiungo Rodri kutwaa tuzo rasmi ya Mchezaji Bora 'Golden Ball ya FIFA', Shirikisho la Kimataifa la Historia...
Kifo cha Keegan na nguli Omar Hussein wa Yanga KIFO cha nguli wa soka wa England, Kevin Keegan, kimeibua kumbukumbu za mshambuliaji wa zamani wa Yanga na baadaye Simba, Omar Hussein, ambaye aliwahi kupewa jina la utani la "Kevin Keegan"...
Marekani kuwania uenyeji wa Kombe la Dunia 2038 MAREKANI inaweza kuwa mwenyeji wa Kombe la Dunia 2038, licha ya kuwa imehitimisha hivi karibuni kuandaa mashindano ya mwaka 2026 kwa ushirikiano na Canada na Mexico.
MO Dewji aongoza mazishi ya Kajuna, Yanga, Azam zamlilia Rais wa heshima wa Simba SC, Mohammed Dewji 'MO' ameongoza mamia ya waombolezaji kwenye mazishi ya aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano ya klabu hiyo, Idd Kajuna.
Dili iliyokufa - 49 ILIPOISHIA Baada ya kuongozwa na wakili wa serikali ikafika zamu ya kuhojiwa maswali na wakili wa utetezi. Mganga huyo aliwekewa wakili na serikali. Kitendo hicho kinafahamika kisheria kwamba...
BTMZ, ZFF waungana kuinua vwango vya makocha Zanzibar NAIBU Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Ali Abdulgulam Hussein, amesema mafunzo ya utimamu wa mwili kwa makocha ni hatua muhimu ya kuongeza ubora wa soka nchini.
KVZ yashusha mashine tano mpya Rwanda WAKATI mabingwa wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), timu ya KVZ ikijiandaa kwa ajili ya kushiriki mashindano ya Kagame Cup yanayoanza, leo Ijumaa Julai 24, 2026 nchini Rwanda, imeonesha haitaki utani...
Netiboli Zanzibar yapongezwa WIZARA ya Afya Zanzibar, imeipongeza timu ya netiboli ya Afya Sports Club Zanzibar kwa kuondoka na tuzo tatu katika mashindano yaliyofanyika Dodoma ambapo imeshika nafasi ya tatu, pia ikitangazwa...
Mtasingwa hana cha kujitetea Kaizer Chiefs JUMANNE ya wiki hii, kiungo wa mpira, Adolf Mtasingwa alikamilisha uhamisho wa kujiunga na Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini akitokea kwa wauza aiskrimu, Azam FC.
Mkenya awindwa Kagera Sugar BAADA ya Kagera Sugar kukata tiketi ya kucheza Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2026-2027, mabosi wa timu hiyo wanasuka upya kikosi hicho na sasa imefungua mazungumzo na beki wa kushoto wa Kakamega...
Marekani kuwania uenyeji wa Kombe la Dunia 2038 MAREKANI inaweza kuwa mwenyeji wa Kombe la Dunia 2038, licha ya kuwa imehitimisha hivi karibuni kuandaa mashindano ya mwaka 2026 kwa ushirikiano na Canada na Mexico.