Coastal ilivyoinasa saini ya kipa JKU aliyehitajika Simba
ALIYEKUWA kipa namba moja wa timu ya JKU, Ahmed Issa, tayari amejiunga na Coastal Union kwa ajili ya kuongeza nguvu golini kwa msimu wa 2026-2027, huku ikibainika namna klabu hiyo ilivyofanikiwa...