Yanga, Simba kujua wapinzani CAF Agosti 6, bingwa kuondoka mabilioni
SAFARI ya kuwania ubingwa wa mashindano ya klabu barani Afrika kwa msimu wa 2026/27 itaanza rasmi Alhamisi, Agosti 6, wakati Shirikisho la Soka Afrika (CAF) litakapofanya droo ya hatua za awali...