Barcelona yafuatilia mkataba wa Harry Kane BARCELONA inafuatilia kwa karibu mazungumzo yanayoendelea kuhusu mkataba mpya wa mshambuliaji wa Bayern Munich na nahodha wa England, Harry Kane.
Messi afikisha mabao 922, asogelea rekodi ya 1,000 Lionel Messi ameendelea kuweka historia katika soka baada ya kufikisha rasmi mabao 922 katika maisha yake soka la kulipwa.
Yanga yaishusha Simba, ikijipigia Coastal Union Yanga imeendeleza moto wake mbele ya Coastal Unioni baada ya kuichapa mabao 4-1, na kuishusha Simba kileleni mwa Ligi Kuu Bara ndani ya saa 24.
KISIWA CHAMAUTI - 24 ILIPOISHIA “Kwani Harish ameshaenda zake?” Mtu mmoja akamuuliza Yasmin. “Ameshaondoka” nikamjibu mimi. “Angekuwepo Yasmin asingeweza kuja huku” Tulikula pilau ikiwa ndani ya kapu. Tukashiba na...
Serikali kuzipiga tafu KVZ, KMKM kimataifa NAIBU Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Ali Abdulgulam Hussein, amesema KVZ na KMKM zina jukumu kubwa la kuiwakilisha Zanzibar katika mashindano ya kimataifa, hivyo Serikali...
Zanzibar ilivyoshindwa kutamba AFCON Kabaddi 2026 MICHUANO ya Afrika ya Kabaddi kwa Wanaume (AFCON Kabaddi 2026), imemalizika kwa timu ya Kenya kuwa bingwa baada ya kuifunga Uganda pointi 35-21.
Uhamiaji FC kujipanga kwa msimu mpya UHAMIAJI FC, ina mikakati ya kuhakikisha katika msimu wa 2026-2027, inafanya vizuri zaidi ya ilivyokuwa 2025-2026 na ilimaliza nafasi ya tano katika msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar ikikusanya pointi...
Hatimaye BMT wamekata mzizi wa fitina WANANGU pale Simba baada ya muda mrefu mambo yanaanza kwenda katika mstari mnyoofu baada ya tamko la Baraza la Michezo la Taifa (BMT).
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Arsenal yakamilisha dili la Konsa Arsenal imefikia makubaliano na Aston Villa kumsajili beki wa kimataifa wa England, Ezri Konsa, kwa ada inayozidi Pauni 50 milioni.