Pacome awekwa pembeni, Clement Mzize ndani BAADA ya mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize kukaa nje msimu mzima uliopita kutokana na kusumbuliwa na majeraha, taarifa za kufurahisha kwa mashabiki wa timu hiyo ni kwamba msimu ujao atakuwa...
Mfanyakazi akamatwa sakata la kuwaibia wachezaji wa Nigeria BAADA ya wachezaji wa timu ya taifa ya Nigeria, Super Falcons kulalamika kuibiwa fedha zao na wahudumu wa hoteli ya Marriott jijini Casablanca, inaelezwa mfanyakazi mmoja amekamatwa kwa tuhuma za...
Geita Gold yawinda staraika Mcongo BAADA ya Namungo FC ‘Wauaji wa Kusini’, kuachana rasmi na aliyekuwa mshambuliaji wa timu hiyo raia wa DR Congo, Fabrice Ngoy, uongozi wa Geita Gold umeanza mazungumzo ya kumsajili nyota huyo ili...
KISIWA CHA MAUTI – Sehemu ya 4 KWA KIFUPI Kulikuwa na vivuli sita vya kadi za magari yake zilizokuwa na majina yake pamoja na vivuli vya leseni mbili za hoteli zake zilzoko Dar. Kwa bahati njema hati zote zilikuwa ni za...
Malengo ya Raskazone Ligi Kuu Zanzibar LICHA ya kwamba Raskazone inakwenda kushiriki Ligi Kuu Zanzibar msimu wa 2026-2027 kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa timu hiyo mwaka 2013, lakini kocha Haji Kombo Haji, amesema hawataingia...
Ligi ya Netiboli Zanzibar kuanza leo LIGI Kuu ya Netiboli Zanzibar, inatarajiwa kuanza leo Jumatatu katika Uwanja wa Gymkhana kisiwani Unguja huku timu 10 zikishiriki mashindano hayo yanayotarajiwa kuwa na ushindani na kuibua vipaji.
Mafunzo yashusha mitambo sita KOCHA Mkuu wa Mafunzo, Haji Salum Haji amesema hadi sasa timu hiyo imeshasajili wachezaji wapya sita huku ikitafuta wengine watakaongeza nguvu kikosi hapo.
Bondia mjukuu wa Idi Amin aondolewa michezo ya Madola kwa kumpiga kichwa mpinzani Ndoto ya bondia wa Uganda, Aziz Abdul ya kutwaa medali ya dhahabu katika Michezo ya Jumuiya ya Madola imemalizika kwa kutolewa kwenye mchezo kufuatia kosa la kumpiga kichwa mpinzani wake katika...
Wakenya kuipa makali Coastal Union BAADA ya kutema nyota saba, Coastal Union imesema inaendelea kusuka upya kikosi chake ikitambia ubora wa benchi lake la ufundi ikiahidi msimu ujao kuitafuta nafasi nne za juu kwenye msimamo wa...
Liverpool njia nyeupe kwa Barcola LIVERPOOL imepiga hatua muhimu katika harakati za kumsajili winga wa Paris Saint-Germain (PSG), Bradley Barcola, baada ya kufikia makubaliano ya awali na nyota huyo wa Ufaransa kuhusu uhamisho wake.