Kocha wa Bandari FC aitaka Ligi Kuu Bara WAKATI Bandari Tanzania ikiendelea kujifua kwa ajili ya Championship msimu ujao, kocha mkuu wa timu hiyo, Habibu Kondo amesema matarajio yake ni kuipeleka Ligi Kuu kama alivyowahi kufanya akiwa...
Sophia: Wazazi walisema ‘no’, ‘uppercut’ si mchezo UKIMTAZAMA Sofia Ramadhani Hamisi akiwa nje ya ulingo huenda usiamini kwamba binti huyo ni mmoja wa mabondia wa kike wanaokuja juu kwa kasi katika ndondi za kulipwa nchini Tanzania
Man United haijakata tamaa dili la Myles Lewis-Skelly MANCHESTER United bado ina matumaini ya kushawishi Arsenal kumuuza Myles Lewis-Skelly licha ya kinda huyo kuanza kwenye mechi zake za hivi karibuni.
Kocha wa Bandari FC aitaka Ligi Kuu Bara WAKATI Bandari Tanzania ikiendelea kujifua kwa ajili ya Championship msimu ujao, kocha mkuu wa timu hiyo, Habibu Kondo amesema matarajio yake ni kuipeleka Ligi Kuu kama alivyowahi kufanya akiwa...
KISIWA CHAMAUTI - 29 ILIPOISHIA “Yasmin unaweza kusema maneno hayo hapa kwa vile hatuna matumaini ya kupona. Lakini kama tutafanikiwa kuondoka hapa unaweza kubadilika na kuniona mimi kama takataka” “Nakuhakikishia...
KMKM matumaini kibao Ligi Kuu Zanzibar LICHA ya KMKM kushindwa kutetea taji lake la Ngao ya Jamii Zanzibar 2026, lakini mkuu wa kikosi hicho, Comdore Azan Hasaan Msingiri, amesema bado anaimani na timu hiyo kufanya vizuri katika Ligi...
Mtihani wa Polisi kwa KVZ Ligi Kuu Zanzibar LIGI Kuu Zanzibar msimu wa 2026-2027 inatarajiwa kuanza Agosti 29, 2026 kwa bingwa mtetezi KVZ kuanza safari ya kutetea taji dhidi ya Polisi, wakati mabingwa wa Kombe la FA, KMKM, watafungua...
Inzaghi afichua kilichomkwamisha Namungo BAADA ya Namungo kuinasa saini ya mshambuliaji wa Uhamiaji, Ali Khatibu 'Inzaghi' wameamua kuachana naye kwani hawakufikia makubaliano rasmi na viongozi wa timu hiyo.
Sophia: Wazazi walisema ‘no’, ‘uppercut’ si mchezo UKIMTAZAMA Sofia Ramadhani Hamisi akiwa nje ya ulingo huenda usiamini kwamba binti huyo ni mmoja wa mabondia wa kike wanaokuja juu kwa kasi katika ndondi za kulipwa nchini Tanzania
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Rasmi Baleba asaini miaka mitano Man United Kiungo wa kimataifa wa Cameroon, Carlos Baleba amekamilisha usajili wa kujiunga na Manchester United akitokea Brighton & Hove Albion.