PRIME Vinicius Jr ametupotezea muda, jikumbushe kumpuuza RONALDO di Lima hakuwahi kucheza Ligi Kuu England. Ronaldinho Gaucho hakuwahi kucheza Ligi Kuu England. Romario de Souza hakuwahi kucheza Ligi Kuu England. Rivaldo hakuwahi kucheza Ligi Kuu England.
Mechi za moto Kariakoo Derby za Ngao ya Jamii TAMBO za mashabiki wa soka kwa sasa ni katika mechi ya fainali ya Ngao ya Jamii kati ya watani wa jadi Yanga dhidi ya Simba ‘Kariakoo Derby’, itakayopigwa leo Jumatano ya Agosti 12, 2026, kwenye...
ZFF yapewa darasa la soka ajira LICHA ya Shirikisho la Mpira wa Miguu wa Zanzibar (ZFF) na Bodi ya Ligi Kuu Zanzibar (ZBL) kupewa pongezi kwa utendaji kazi, pia wametakiwa kukaa pamoja na klabu kuzifahamisha umuhimu wa kuwa na...
Kocha AbdulSaleh abeba matumaini JKU BAADA ya JKU kumpa Kocha AbdulSaleh Abdallah majukumu ya kuinoa timu hiyo, uongozi wa klabu hiyo umesema una matumaini ataifikisha kwenye malengo yaliyopo msimu ujao 2026-2027.
Pandu apongeza maendeleo ya michezo NAIBU Waziri wa Maji, Nishati na Madini Zanzibar, Seif Kombo Pandu amesema maendeleo ya michezo kisiwani hapa yanaonyesha dhamira ya wananchi na viongozi katika kuendeleza vipaji, kuimarisha...
Kauli ya Pacome yamuinua GSM Yanga Day, mashabiki washindwa kujizuia, Mwamnyeto akiongezewa miaka miwili!
Sura tatu za Feisal Salum SAKATA la Feisal Salum ‘Fei Toto’ limeingia kwenye saa zake za mwisho wakati dirisha la usajili likitarajiwa kufungwa Agosti 15, 2026 huku kiungo huyo akiwa katikati ya mjadala wa klabu tatu...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Napoli yaichokonoa Chelsea ikimtaka Benoit Badiashile NAPOLI imeanza mazungumzo ya kumsajili beki wa kati wa Chelsea, Benoit Badiashile, ambapo mazungumzo yanaendelea kati ya klabu hizo pamoja na wawakilishi wa mchezaji huyo, huku pande zote...