Kama Infantino akiondoa? hawa kumrithi FIFA SHINIKIZO dhidi ya Rais wa FIFA, Gianni Infantino, linaendelea kuongezeka huku baadhi ya vyama vya soka duniani vikianza kuondoa barua zao za kumuunga mkono kuelekea uchaguzi mkuu wa Machi mwakani.
Fenerbahce yamtaka Rashford KLABU ya Fenerbahce ya Uturuki ipo tayari kuvunja benki ili kumsajili mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford, katika moja ya usajili mkubwa unaotarajiwa kufanyika dirisha hili la...
Rayon Sports yaifuata Gor Mahia fainali Kagame MIAMBA ya soka la Rwanda, Rayon Sports, imetinga fainali ya Kombe la CECAFA Kagame 2026 baada ya kuichapa Jamus SC ya Sudan Kusini mabao 3-1 katika mchezo wa nusu fainali uliochezwa kwenye Uwanja...
KISIWA CHA MAUTI - 8 ILIPOISHIA Nikaipokea. “Shikamoo mkuu” nikamwamkia. “Marahaba. Mbona hujaonekana tangu jana” Nikamueleza kile kilichotokea. “Kwani wewe uko wapi?” “Sipendi niseme niko wapi lakini nipo hapa...
Selembe kocha wa utimamu Mafunzo ALIYEKUWA nahodha wa timu ya taifa ya Zanzibar ‘Zanzibar Heroes’, Suleiman Kassim Suleiman ‘Selembe’ ametambulishwa na klabu ya Mafunzo kuwa kocha mpya wa utimamu wa mwili.
Sheha amrithi AbdulSaleh Uhamiaji BAADA ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa Uhamiaji, AbdulSaleh Mohamed kujiunga na JKU, timu hiyo imepata mrithi wa kuinoa msimu ujao wa 2026-2027.
Wadau wamlilia Kocha Guliti KUFUATIA kifo cha Kocha Khamis Aman Khamis maarufu Guliti, wadau mbalimbali visiwani Zanzibar wakiongozwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), wametuma salamu zao za pole.
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Nascimento afariki dunia usingizini BONDIA wa mchezo wa mapambano mchanganyiko (UFC), Allan Nascimento, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 34 baada ya kudaiwa kupata mshtuko wa moyo akiwa amelala.