Aturo aweka malengo makubwa Simba Queens, aitaka Afrika BAADA ya msimu mmoja wa kuitumikia Simba Queens, kipa raia wa Uganda, Ruth Aturo anaingia msimu mpya akiwa na kiu kubwa ya mafanikio. Aturo kabla ya kutua Msimbazi aliichezea Tausi iliyopanda...
Matunda 10 ya kula kwa ajili ya ngozi nzuri UKIWA unatumia hela nyingi kununua krimu, mafuta na vipodozi mbalimbali lakini bado unajiuliza kwa nini ngozi yako haing’ai, huenda tatizo si kwenye kioo unachojitazamia kila siku, bali kwenye...
Manqoba amtumia ujumbe mzito Aziz KI KOCHA wa Yanga, Manqoba Mngqithi, amesema kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Burkina Faso, Stephane Aziz KI, atalazimika kupigania nafasi yake kikosi cha kwanza, akifichua kuwa katika hatua hii...
KISIWA CHA MAUTI - 23 ILIPOISHIA “Nyinyi mna bahati sana. Angeweza kushikwa mmojawenu…” nikawa nayakumbuka maneno ya Yasmin huku mwili ukinisisimka kwa hofu. Mara kwa mara nilikuwa nikitupa macho kila upande wa...
Uhamiaji FC kujipanga kwa msimu mpya UHAMIAJI FC, ina mikakati ya kuhakikisha katika msimu wa 2026-2027, inafanya vizuri zaidi ya ilivyokuwa 2025-2026 na ilimaliza nafasi ya tano katika msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar ikikusanya pointi...
Gamera akomalia utimamu Chipukizi KOCHA Mkuu wa Chipukizi, Suleiman Mohammed ‘Mani Gamera’ amesema timu hiyo ipo katika mazoezi ya kujiandaa na msimu wa 2026-2026 huku akisisitiza kurejesha utimamu wa mwili na kuwaandaa wachezaji...
Kocha Hababuu akoshwa na Kaseke WINGA wa KVZ, Agustino Chalamba ‘Kaseke’, amewashangaza viongozi wa benchi la ufundi na timu hiyo kwa jumla kutokana na kiwango kizuri alichonacho.
Aturo aweka malengo makubwa Simba Queens, aitaka Afrika BAADA ya msimu mmoja wa kuitumikia Simba Queens, kipa raia wa Uganda, Ruth Aturo anaingia msimu mpya akiwa na kiu kubwa ya mafanikio. Aturo kabla ya kutua Msimbazi aliichezea Tausi iliyopanda...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Kocha wa Misri ‘azimia’ baada ya wakeze kuzichapa baa, amtaliki mmoja KOCHA wa timu ya taifa ya Misri, Hossam Hassan, anadaiwa kuanguka baada ya wake zake wawili kupigana huku wakivutana nywele mbele ya watalii, kwa mujibu wa ripoti zilizosambaa.