Nahodha wa Jamus avutiwa na Ligi Kuu NAHODHA wa Jamus SC ya Sudan Kusini, Kevin Muhire, amesema amevutiwa na kiwango cha ushindani wa Ligi Kuu Bara (NBC Premier League), akieleza kuwa ni moja ya ligi zinazozidi kukua barani Afrika...
PRIME Mo afunguka safari ya kuwekeza mabilioni Simba WAKATI klabu ya Simba ikiadhimisha miaka 90 tangu kuanzishwa kwake Rais wake Mohammed Dewji ameelezea kuhusu safari ya familia yake na yeye binafsi kuwekeza na kuidhamini klabu hiyo kubwa barani...
Vipers yajivunia maandalizi bora licha ya kutolewa CECAFA Kagame KOCHA wa Vipers SC ya Uganda, Denis Lavagne, amesema licha ya timu yake kuishia hatua ya makundi ya Kombe la CECAFA Kagame 2026, mashindano hayo yamekuwa sehemu muhimu ya maandalizi kuelekea...
Selembe kocha wa utimamu Mafunzo ALIYEKUWA nahodha wa timu ya taifa ya Zanzibar ‘Zanzibar Heroes’, Suleiman Kassim Suleiman ‘Selembe’ ametambulishwa na klabu ya Mafunzo kuwa kocha mpya wa utimamu wa mwili.
Sheha amrithi AbdulSaleh Uhamiaji BAADA ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa Uhamiaji, AbdulSaleh Mohamed kujiunga na JKU, timu hiyo imepata mrithi wa kuinoa msimu ujao wa 2026-2027.
Wadau wamlilia Kocha Guliti KUFUATIA kifo cha Kocha Khamis Aman Khamis maarufu Guliti, wadau mbalimbali visiwani Zanzibar wakiongozwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), wametuma salamu zao za pole.
Naomi Osaka: Staa wa tenisi asiyekuwa na shughuli ndogo kazini NAOMI Osaka aliendelea na mtindo wake wa kuvutia katika mashindano ya tenisi ya Wimbledon, baada ya nyota huyo wa Japan kuingia uwanjani akiwa amevalia vazi la kimono la kuvutia katika mchezo...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Liverpool yaweka Sh350 Bilioni kwa Barcola LIVERPOOL imeweka nguvu katika mbio za kumsajili winga wa Paris Saint-Germain (PSG), Bradley Barcola, huku ikiwa tayari kutoa ada inayokaribia Pauni 100 milioni (zaidi ya Sh350 bilioni) ili...