Hili ndio chama la Kachwele Ukraine WIKIENDI hii mshambuliaji wa Tanzania, Cyprian Kachwele FC alitambulishwa Kryvbas Kryvyi Rih ya Ukraine baada ya klabu hiyo kumsajili kwa mkataba wa miaka minne, akitua kama mchezaji huru baada...
Wake na wapenzi wa makocha wanaovutia SI wachezaji wa soka pekee wanaopata wapenzi warembo na maarufu. Hata makocha wao wamefanikiwa kupata wenza wanaovutia nje ya uwanja.
Hili ndio chama la Kachwele Ukraine WIKIENDI hii mshambuliaji wa Tanzania, Cyprian Kachwele FC alitambulishwa Kryvbas Kryvyi Rih ya Ukraine baada ya klabu hiyo kumsajili kwa mkataba wa miaka minne, akitua kama mchezaji huru baada...
Mauaji ya kutisha – Sehemu ya 1 UTANGULIZI Kazi ya kuchimba madini imegeuzwa ya kishirikina. Mauaji na makafara ni vitu vya kawaida. Almasi aliimaliza familia yake yote. Na mwisho aliimaliza familia yake yote pamoja na yeye...
Tatu zaanza kinyonge Ligi Kuu Zanzibar WAKATI mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) ukikamilika Septemba 4, 2026, huku mzunguko wa tatu ukianza jana Jumapili, timu tatu zimeonekana kuanza kinyonge baada ya kushindwa kupata pointi.
Kocha KMKM alia na wachezaji KOCHA Mkuu wa KMKM, Ali Vuai Sheni, amesema kichapo cha mabao 3-0 walichokipokea kutoka kwa Al Ahli Tripoli katika mechi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika, ni makosa ya wachezaji.
Mechi moja tu, Wembe yaachana na kocha TIMU ya Wembe iliyopanda daraja msimu huu kushiriki Ligi Kuu Zanzibar, imeachana na kocha wake mkuu, Juma Pweka chanzo cha uamuzi huo bado hakijafahamika.
Viwanja vyaibeba Tanzania AFCON 2027 IKIWA imesalia takribani miezi tisa kabla ya Tanzania kuungana na Kenya na Uganda kuandaa Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027, maandalizi hapa nchini yameingia katika hatua muhimu,...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Obiero ampa siri Mcarthy Harambee Stars KIUNGO wa Timu ya Taifa ya Kenya maarufu Harambee Stars, Zech Obiero, amempa ujumbe kocha wa kikosi hicho, Benni McCarthy, akifichua nafasi anayopendelea zaidi kucheza na ambayo anaamini...