Maldini apata ajali baada ya kufunga MTOTO wa gwiji wa soka la Italia, Paolo Maldini, Daniel Maldini amekimbizwa hospitalini kwa uchunguzi baada ya kupata ajali ya gari, saa chache tu baada ya kufunga bao la ushindi lililoipa...
Liverpool yamvizia Rayan wa Bournemouth LIVERPOOL inatajwa kuwa tayari kuvunja rekodi yake ya usajili ili kumnasa mshambuliaji wa Bournemouth, Rayan, 20, katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Kocha TRA United aanza mkwara PAMOJA na kuanza kwa ushindi mnono wa mabao 3-1, Kocha Mkuu wa TRA United, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amesema bado timu hiyo inahitaji maboresho kuhakikisha anatengeneza muunganiko bora kikosini na...
Mauaji ya kutisha – Sehemu ya 8 UTANGULIZI Aliendelea kujiambia kuwa atawaeleza polisi kuwa baada ya kuznguka nyumba na kutowaona watu hao alikuja kumkuta bosi wake ameshachinjwa na pia aliwaona watu watatu waliokuwa...
KVZ yatupwa nje CAF ikichapwa 3-0 nyumbani ASSWEHLY SC imefanikiwa kutinga hatua ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada kuondoka na ushindi wa mabao 3-0 katika ardhi ya Zanzibar katika mchezo wa marudiano dhidi ya KVZ uliochezwa leo...
JKU yaanza kunoga Ligi Kuu Zanzibar KOCHA MKUU wa JKU, AbdulSaleh Mohammed amesema timu hiyo imeanza kuwa bora baada ya kuifunga Wembe mabao 4-0 kwenye Uwanja wa Mao A, Unguja na amefurahi kuvuna pointi tatu za mchezo huo.
Raskazone yaipigia hesabu kali KMKM Raskazone imesema licha ya ugeni wao kwenye Ligi Kuu Zanzibar, lakini bado wanaendelea kujiimarisha ili kupata matokeo mazuri dhidi ya KMKM.
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Liverpool yamvizia Rayan wa Bournemouth LIVERPOOL inatajwa kuwa tayari kuvunja rekodi yake ya usajili ili kumnasa mshambuliaji wa Bournemouth, Rayan, 20, katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.