Ballon d'Or: Messi, Lamine, Rodri, Kane au Mbappe? KOMBE la Dunia la 2026 limefikia tamati na sasa macho ya mashabiki yanaelekezwa kwenye msimu mpya wa klabu wa 2026-27.
Pique aonekana Shakira akitumbuiza FAINALI za Kombe la Dunia 2026 kati ya Hispania na Argentina haikuanza kwa kipenga cha mwamuzi pekee, bali ilianza kwa gumzo lililoibuka saa kadhaa kabla ya mechi.
Dili iliyokufa - 47 ILIPOISHIA Sasa baada ya mkuu wa kituo kusema kwamba mimi ndiye niliyemripoti mganga huyo polisi ndipo walipoinua uso na kunitazama. Bila shaka walikuwa wakinilaani. Na kwa upande wa yule...
Chipukizi na mkakati wa kurudisha heshima UNAWEZA kusema sasa ni vuta nikuvute ya usajili wa timu zinazoshiriki Ligi Kuu Zanzibar zikifanya mageuzi ya kujiandaa na msimu wa 2026-2027.
Hofu chanzo timu za Zanzibar kukwama MKUU wa Utawala Kikosi cha Valantia Zanzibar (KVZ), Kanali Juma Hussein, amesema hofu ndio kikwazo kikubwa kinachozifelisha timu za Zanzibar.
Nne zataka saini ya Feisal Zanzibar MSHAMBULIAJI wa JKU, Feisal Hilali 'Feymar' ameziweka timu nne mezani ambazo zote zinahitaji huduma yake huku moyo wake ukibaki JKU.
Mkenya awindwa Kagera Sugar BAADA ya Kagera Sugar kukata tiketi ya kucheza Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2026-2027, mabosi wa timu hiyo wanasuka upya kikosi hicho na sasa imefungua mazungumzo na beki wa kushoto wa Kakamega...
Ballon d'Or: Messi, Lamine, Rodri, Kane au Mbappe? KOMBE la Dunia la 2026 limefikia tamati na sasa macho ya mashabiki yanaelekezwa kwenye msimu mpya wa klabu wa 2026-27.