Pacome awekwa pembeni, Clement Mzize ndani BAADA ya mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize kukaa nje msimu mzima uliopita kutokana na kusumbuliwa na majeraha, taarifa za kufurahisha kwa mashabiki wa timu hiyo ni kwamba msimu ujao atakuwa...
Mfanyakazi akamatwa sakata la kuwaibia wachezaji wa Nigeria BAADA ya wachezaji wa timu ya taifa ya Nigeria, Super Falcons kulalamika kuibiwa fedha zao na wahudumu wa hoteli ya Marriott jijini Casablanca, inaelezwa mfanyakazi mmoja amekamatwa kwa tuhuma za...
KVZ yaondoshwa Cecafa Kagame Cup KVZ ya Zanzibar imeaga mashindano ya Kombe la CECAFA Kagame baada ya kuchapwa mabao 4-0 na Al Hilal ya Sudan katika mchezo wa Kundi C uliochezwa kwenye Uwanja wa Kigali Pele, Rwanda.
KISIWA CHA MAUTI -6 “Siwezi kuona ni ndogo kwa sababu sijahitaji pesa. Mimi nimekuja hapa kwa ahadi yetu ya jana kwamba angenipa ufafanuzi wa madai niliyomuandikia”
Malengo ya Raskazone Ligi Kuu Zanzibar LICHA ya kwamba Raskazone inakwenda kushiriki Ligi Kuu Zanzibar msimu wa 2026-2027 kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa timu hiyo mwaka 2013, lakini kocha Haji Kombo Haji, amesema hawataingia...
Ligi ya Netiboli Zanzibar kuanza leo LIGI Kuu ya Netiboli Zanzibar, inatarajiwa kuanza leo Jumatatu katika Uwanja wa Gymkhana kisiwani Unguja huku timu 10 zikishiriki mashindano hayo yanayotarajiwa kuwa na ushindani na kuibua vipaji.
Mafunzo yashusha mitambo sita KOCHA Mkuu wa Mafunzo, Haji Salum Haji amesema hadi sasa timu hiyo imeshasajili wachezaji wapya sita huku ikitafuta wengine watakaongeza nguvu kikosi hapo.
Uchaguzi Yanga: Munir na Khimji wafunguka dira zao TUNAENDELEA kumulika Uchaguzi Mkuu wa Yanga, tukiangalia wasifu mbalimbali wa wagombea wa nafasi mbili za urais, makamu wake na wajumbe wa kamati ya utendaji ambao wataingia kuwania nafasi saba...
Wakenya kuipa makali Coastal Union BAADA ya kutema nyota saba, Coastal Union imesema inaendelea kusuka upya kikosi chake ikitambia ubora wa benchi lake la ufundi ikiahidi msimu ujao kuitafuta nafasi nne za juu kwenye msimamo wa...
Barcola akubali kutua Liverpool MSHAMBULIAJI wa Paris Saint-Germain na timu ya taifa ya Ufaransa, Bradley Barcola (23), ameripotiwa kukubali kwa maneno kujiunga na Liverpool. Hata hivyo, uhamisho huo bado haujathibitishwa...