Yanga vitani Ligi Kuu Bara YANGA inarudi uwanjani leo ikigeukia Ligi Kuu Bara, baada ya kutoka kucheza mechi ya kimataifa na kituo kinachofuata ni dhidi ya Geita Gold iliyorejea msimu huu ambapo wachimba madini hao...
Okello mdogo kuliongoza jeshi la Uganda CECAFA U-20 JINA la Okello limeendelea kuwa sehemu ya kikosi cha Uganda kwenye michuano ya CECAFA U-20, safari hii likiongozwa na Richard Okello, ambaye ameteuliwa kuwa nahodha wa kikosi cha vijana hao...
Dakika 180 zilivyobeba hatma ya Simba, Yanga BAADA ya kuvuka kiunzi cha kwanza kwa mafanikio, wawakilishi wanne wa Tanzania Bara, Simba, Yanga, Singida Black Stars na Azam FC, sasa wamebakiwa na dakika 180 za vita ya kutafuta tiketi ya...
Tanzania kuanza na Rwanda CECAFA U-20 TIMU ya Taifa ya vijana U-20, Ngorongoro Heroes leo inaanza safari ya kutetea taji la mashindano ya Afrika Mashariki na Kati CECAFA U-20 dhidi ya Rwanda mechi itakayopigwa Uwanja wa Uhuru, Dar es...
Okello mdogo kuliongoza jeshi la Uganda CECAFA U-20 JINA la Okello limeendelea kuwa sehemu ya kikosi cha Uganda kwenye michuano ya CECAFA U-20, safari hii likiongozwa na Richard Okello, ambaye ameteuliwa kuwa nahodha wa kikosi cha vijana hao...
Mauaji ya kutisha – Sehemu ya 8 UTANGULIZI Aliendelea kujiambia kuwa atawaeleza polisi kuwa baada ya kuznguka nyumba na kutowaona watu hao alikuja kumkuta bosi wake ameshachinjwa na pia aliwaona watu watatu waliokuwa...
KVZ yatupwa nje CAF ikichapwa 3-0 nyumbani ASSWEHLY SC imefanikiwa kutinga hatua ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada kuondoka na ushindi wa mabao 3-0 katika ardhi ya Zanzibar katika mchezo wa marudiano dhidi ya KVZ uliochezwa leo...
JKU yaanza kunoga Ligi Kuu Zanzibar KOCHA MKUU wa JKU, AbdulSaleh Mohammed amesema timu hiyo imeanza kuwa bora baada ya kuifunga Wembe mabao 4-0 kwenye Uwanja wa Mao A, Unguja na amefurahi kuvuna pointi tatu za mchezo huo.
Raskazone yaipigia hesabu kali KMKM Raskazone imesema licha ya ugeni wao kwenye Ligi Kuu Zanzibar, lakini bado wanaendelea kujiimarisha ili kupata matokeo mazuri dhidi ya KMKM.
Mbio za bao la buku: Ronaldo 979, Lionel Messi amfuata 927 MKONGWE Cristiano Ronaldo amezidi kusogea kwenye historia ya soka baada ya kufunga bao lingine katika ushindi wa Al Nassr wa mabao 2-1 dhidi ya Abha, na kufikisha idadi yake ya mabao rasmi 979...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Liverpool yamvizia Rayan wa Bournemouth LIVERPOOL inatajwa kuwa tayari kuvunja rekodi yake ya usajili ili kumnasa mshambuliaji wa Bournemouth, Rayan, 20, katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.