WCB ya zamani inavyozitesa sherehe za Diamond Platnumz UKIRUDI nyuma kwenye sherehe za familia ya Diamond Platnumz za miaka ya nyuma, kuna kitu ambacho ni rahisi kukiona; wasanii wa WCB hawakuwa wageni wa kawaida. Walikuwa sehemu ya burudani yenyewe.
Ludacris si kinyonge kwa dada yetu Eudoxie! Rapa wa Marekani, Ludacris ni shemeji yetu kabisa kwa sababu amemuoa mrembo kutokea Afrika, Eudoxie Mbouguiengue ambaye uhusiano wao umedumu kwa miaka 18, huku wakiendelea kuacha alama kupitia...
TFF yaweka mezani mpango wa timu za taifa SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeweka ratiba na mipango ya timu mbalimbali za taifa zinazokabiliwa na mashindano ya kimataifa huku Taifa Stars ikiwa na michezo miwili ya kufuzu AFCON 2027...
Mauaji ya kutisha – Sehemu ya 12 UTANGULIZI “Huu uchunguzi ni mgumu kidogo kwa sababu haya mauaji yametokea katika mtindo tofauti. Isitoshe wauaji ni watu wanaoshitukizia na kutoweka ghafla. Ninahitaji muda wa kutosha kuweza...
Uhamiaji haishikiki Ligi Kuu Zanzibar TIMU ya Uhamiaji inayoshiriki Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), imeendelea kushikilia rekodi yake ya kuongoza msimamo wa ligi hiyo katika mechi nne za awali.
Matokeo mabaya yamuondoa kocha Mwenge TIMU ya Mwenge iliyorejea Ligi Kuu Zanzibar msimu huu 2026-2027, imekuwa na hali ngumu kwenye ligi hiyo baada kupoteza mechi nne mfululizo ilizocheza.
Zanzibar yalenga uanachama kamili CAF kupitia AFCON 2027 SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema inapanga kutumia michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027 kuwashawishi viongozi wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) ili kuwapatia...
Mapacha wanaanza kurudi Uhuru taratibu MAPACHA wanatuacha hoi sana hapa kijiweni ila hatuna tabu nao kwa sababu tumewazoea maisha yao katika namna wanavyoendesha mambo yao.
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Anthony Martial akataa Sh33 bil, aichagua Malaga Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Anthony Martial, yuko mbioni kujiunga na Malaga kama mchezaji huru baada ya kukataa ofa nono iliyokuwa na thamani ya pauni 13 milioni (zaidi ya Sh33...