PRIME Vinicius Jr ametupotezea muda, jikumbushe kumpuuza RONALDO di Lima hakuwahi kucheza Ligi Kuu England. Ronaldinho Gaucho hakuwahi kucheza Ligi Kuu England. Romario de Souza hakuwahi kucheza Ligi Kuu England. Rivaldo hakuwahi kucheza Ligi Kuu England.
Mechi za moto Kariakoo Derby za Ngao ya Jamii TAMBO za mashabiki wa soka kwa sasa ni katika mechi ya fainali ya Ngao ya Jamii kati ya watani wa jadi Yanga dhidi ya Simba ‘Kariakoo Derby’, itakayopigwa leo Jumatano ya Agosti 12, 2026, kwenye...
Christopher: Dabi ya Kariakoo haitakuwa nyepesi KIUNGO wa zamani wa Simba, Edward Christopher, amesema mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga utakaopigwa leo, Agosti 12, 2026, hautakuwa rahisi kutokana na ushindani na mvuto mkubwa wa Dabi ya...
ZFF yapewa darasa la soka ajira LICHA ya Shirikisho la Mpira wa Miguu wa Zanzibar (ZFF) na Bodi ya Ligi Kuu Zanzibar (ZBL) kupewa pongezi kwa utendaji kazi, pia wametakiwa kukaa pamoja na klabu kuzifahamisha umuhimu wa kuwa na...
Kocha AbdulSaleh abeba matumaini JKU BAADA ya JKU kumpa Kocha AbdulSaleh Abdallah majukumu ya kuinoa timu hiyo, uongozi wa klabu hiyo umesema una matumaini ataifikisha kwenye malengo yaliyopo msimu ujao 2026-2027.
Pandu apongeza maendeleo ya michezo NAIBU Waziri wa Maji, Nishati na Madini Zanzibar, Seif Kombo Pandu amesema maendeleo ya michezo kisiwani hapa yanaonyesha dhamira ya wananchi na viongozi katika kuendeleza vipaji, kuimarisha...
Kauli ya Pacome yamuinua GSM Yanga Day, mashabiki washindwa kujizuia, Mwamnyeto akiongezewa miaka miwili!
PRIME Vinicius Jr ametupotezea muda, jikumbushe kumpuuza RONALDO di Lima hakuwahi kucheza Ligi Kuu England. Ronaldinho Gaucho hakuwahi kucheza Ligi Kuu England. Romario de Souza hakuwahi kucheza Ligi Kuu England. Rivaldo hakuwahi kucheza Ligi Kuu England.
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Depay aituhumu Corinthians kuvunja makubaliano Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Memphis Depay, ameukosoa uamuzi wa Corinthians wa kutomwongezea mkataba, akidai klabu hiyo ya Brazil imekiuka makubaliano waliyofikia ya kuongeza...