Page aachwa kikosi cha Leicester, Man United yamuwania MANCHESTER United imepata matumaini zaidi katika harakati zake za kumsajili kinda wa Leicester City, Louis Page, baada ya mchezaji huyo kuachwa nje ya kikosi kilichokutana na Notts County.
Irankunda aondoka Watford, ajiunga Sporting MSHAMBULIAJI wa Watford, Nestory Irankunda, ameondoka klabuni hapo baada ya msimu mmoja na kujiunga na vigogo wa Ureno, Sporting Lisbon, kwa uhamisho wa moja kwa moja.
KISIWA CHA MAUTI - 16 ILIPOISHIA Mwili ulinisisimka nilipokiwaza kitanzi kikikaza kwenye shingo yangu. Nikawaza mengi. Nikamkumbuka hadi mfungwa mmoja wa kisiasa wa nchi za nje aliyekatika kichwa wakati ananyongwa.
Suluhu Academy kutumika AFCON WAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Riziki Pembe Juma, amesema Uwanja wa Suluhu Sports Academy ni miongoni mwa viwanja vitakavyotumika katika Fainali za Kombe la Mataifa ya...
Waamuzi 65 wafuzu mtihani utimamu wa mwili WAAMUZI 73, wakiwemo wanawake 12, wamefanya mtihani wa utimamu wa mwili katika Uwanja wa Mao Zedong kisiwani Unguja, huku 65 wakifanikiwa kufuzu na 18 wakishindwa.
Vipaji Zanzibar vyateka Simba, Yanga, Azam KASI za klabu za Simba, Yanga na Azam FC kuweka nguvu kusajili wachezaji wazawa kutoka Tanzania Visiwani kwa miaka ya hivi karibuni, inaweza ikapunguza idadi kubwa ya nyota wanaotoka Bara kupata...
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Fenerbahce yakana tetesi za kumtaka Gittens FENERBAHCE imekanusha taarifa zinazodai kuwa inataka kumsajili winga wa Chelsea, Jamie Gittens, ikieleza kuwa tetesi hizo hazina msingi na ni sehemu ya jitihada za kuipotosha klabu.