Safari ya kupanda Ligi Kuu inaanza leo HESABU za kupanda Ligi Kuu Bara au kubaki Ligi ya Championship na presha ya kushuka daraja kwenda First League, zinatarajia kuanza leo Ijumaa Septemba 12, 2026 kwa timu nne kushuka uwanjani.
Dodoma, Namungo vita ya pointi tatu za heshima VITA ya pointi tatu na heshima inatarajiwa kurindima usiku wa leo Ijumaa, Septemba 11, 2026, wakati Dodoma Jiji FC itakapoikaribisha Namungo FC kwenye Uwanja wa Jamhuri, Dodoma, kuanzia saa 1:00...
Himid Mao aipongeza Tanzanite Queens Kombe la Dunia KIUNGO wa Azam FC, Himid Mao amewapongeza wachezaji wa timu ya Taifa ya wanawake U-20, Tanzanite Queens, kwa kuifikisha Tanzania kwenye hatua ya Kombe la Dunia la vijana, Poland.
Mauaji ya kutisha – Sehemu ya 5 UTANGULIZI Ofisi ya polisi ni ya polisi tu. Unapoingia hata kama huna kosa ni lazima unywee. “Jina lako tafadhali.” Amour alimuulliza akiwa ameshika kalamu. “Naitwa Shefa Ibrahim.” Amour...
Uhamiaji bado inasukwa KOCHA MKUU wa Uhamiaji, Sheha Khamis amesema timu hiyo licha ya kupata ushindi katika mechi mbili ilizocheza katika Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) msimu huu, lakini itaendelea kujipanga vyema...
Chipukizi hali tete Ligi Kuu Zanzibar TIMU ya Chipukizi, imeanza msimu wa 2026-2027 katika Ligi Kuu Zanzibar vibaya baada ya kuambulia vipigo viwili na sare moja.
Safu ya ushambuliaji yaipasua kichwa Mlandege KOCHA Msaidizi wa Mlandege, Sabri China amesema udhaifu katika eneo la ushambuliaji pamoja na hofu iliyowakumba wachezaji wakati wa mchezo ni miongoni mwa sababu zilizochangia timu hiyo kupoteza...
Tunahitaji jezi mpya za AFCON 2027 KUNATAKIWA uwepo wa jezi mpya za Taifa Stars kwa ajili ya fainali AFCON mwakani zitakazofanyika hapa nchini na uzinduzi wake unatakiwa uwe mwaka huu.
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Asafiri km 11,987 kumwona staa wa Brazil INAELEZWA binamu wa nyota wa timu ya taifa ya Brazil, Ana Clara Oliveira 'Clarinha' alisafiri kilomita 11,987 kutoka Brazil hadi Poland kwa ajili ya kumshuhudia ndugu yake akicheza na kufunga bao...