Timu kuongezwa Kombe la Dunia la Klabu, EPL ikinufaika SHIRIKISHO la Soka Duniani (FIFA) linatarajiwa kufanya mabadiliko makubwa zaidi katika historia ya Kombe la Dunia la Klabu baada ya kuanza mchakato wa kupanua mashindano hayo kutoka timu 32 hadi...
Mourinho adai hatamsahau Anthony Taylor KOCHA mpya wa Real Madrid, Jose Mourinho amesema bado hajasahau maumivu ya kupoteza fainali ya Europa League akiwa na Roma, akisisitiza kama angepewa nafasi ya kurudia mchezo mmoja katika maisha...
Mtaka, Tandau kuchuana urais TOC MAKUBALIANO ya pamoja kati ya Kamati ya Olimpiki ya Kimataifa (IOC), Serikali ya Tanzania na uongozi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) yamewarejesha wagombea wanne akiwemo Anthony Mtaka...
Dili iliyokufa -19 ILIPOISHIA “Una kisa gani na yule kijana?” “Kijana huyo sijawahi kumuona” “Kesho asubuhi tutafanya gwaride la utambulisho. Wale watumishi wa gesti waliokuona watakuja kukutambua hapa na kesho...
Jaku aiomba SMZ kuwekeza Ligi Kuu Zanzibar Mwakilishi wa Paje, Jaku Hashim Ayub ameishauri serikali kuwekeza fedha katika Ligi Kuu Zanzibar kwa lengo la kuipa thamani na ushindani kama zilivyo ligi nyingine.
Malindi yakubali yaishe Ligi Kuu Zanzibar MENEJA wa timu ya Malindi, Ramadhan Sanga amekubali yaishe kwa timu yake kushuka daraja msimu huu huku akisema wana mikakati madhubuti ya kurejea Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Amesema wanakwenda...
Pemba inavyonawiri na viwanja vya kisasa UNAWEZA kusema kwamba zile dhana na imani za kuwa Pemba haiwezi kujengwa, hususan kwa upande wa michezo, kwa sasa mambo yamekuwa tofauti na matarajio ya kila mmoja. Kati ya kundi la watu 100...
David Ouma apata dili jipya Kenya ALIYEKUWA Kocha wa Singida Black Stars, David Ouma amejiunga na Klabu ya Mathare United ya kwao Kenya, huku akiweka wazi ni sehemu sahihi kwake kuendelea kuonyesha ubora wake, baada ya awali pia...
Ivory Coast ilivyomalizana na Curacao IVORY COAST wataingia katika hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza katika historia baada ya straika wa Villarreal, Nicolas Pepe kuibuka shujaa katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Curacao.