Chilambo afichua jambo kwa Ibenge BEKI wa Azam FC, Nathaniel Chilambo, amempa sifa kocha mkuu wa timu hiyo, Florent Ibenge namna anavyowapa nafasi wachezaji na imekuwa moja ya sababu ya kiwango chake kuwa bora zaidi msimu huu.
Simba, Azam kusaka heshima Pemba BAADA ya kushuhudia Yanga ikibeba ubingwa wa Ligi Kuu Bara ikiziacha Simba na Azam nafasi ya pili na tatu mtawalia, timu hizo zinasaka heshima leo ambapo filimbi ya mwisho itakapopulizwa, basi...
Mtibwa: Tutarudi na nguvu mpya TUMEKUBALI. Ni kauli ya Beki na Nahodha wa Mtibwa Sugar, Erick Kyaruzi akielezea matokeo ya timu hiyo baada ya kushuka daraja, akisema wanasubiri mipango ya uongozi kuona wanajipangaje msimu ujao...
Ahadi ya Hersi Yanga Rais wa Yanga, Injinia Hersi Said, amesema moja ya ahadi kubwa iliyobaki kuitimiza katika klabu hiyo ni kukamilisha ujenzi wa uwanja katika eneo la Twiga na Jangwani, jijini Dar es Salaam.
Dili iliyokufa - 39 ILIPOISHIA Kabla ya hapo nilikuwa nikiomba hadi shilingi laki mbili kwa mume wangu niliyemkimbia na pia niiliona hazitoshi lakini huko kwa mganga niliona elfu thelathinizingetosha. Nilikuwa...
Gharama za viwanja yatajwa kuwakwamisha vijana NAIBU Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Ali Abdulgulam Hussein, amesema gharama za kutumia viwanja vya michezo vinavyojengwa nchini ni miongoni mwa changamoto...
Bodi ya Ligi Zanzibar kuwabana wanaopanga matokeo BAADA ya kumalizika kwa Ligi Kuu Zanzibar msimu wa 2025-2026, kati ya mambo yaliyoitikisa ligi hiyo ni upangaji wa matokeo jambo ambalo limeonekana kuichafua ligi hiyo.
18 waitwa Kabaddi Zanzibar RAIS wa Shirikisho la Mchezo wa Kabaddi Zanzibar, Abdalla Juma ametangaza majina ya wachezaji 18 watakaounda Timu ya Taifa ya wanaume kwa mwaka 2026, itakayoiwakilisha Zanzibar katika Mashindano...
Yaliyojiri paredi la ubingwa Yanga JANA Yanga iliendeleza ubabe wake baada ya kushangilia ubingwa wao wa tano mfululizo kwa paredi la kibingwa huku likihudhuriwa na mashabiki wengi kutoka kila pande ya jiji la Dar es Salaam.
Mkenya presha yaanza Mtibwa Sugar KICHAPO cha mabao 2-1 ilichokipata Mtibwa Sugar dhidi ya Tanzania Prisons, kimemfanya kocha mkuu wa kikosi hicho, Mkenya, Yusuf Chippo kusema anahitaji miujiza zaidi ya kuinusuru timu hiyo katika...
Sababu zilizoziangusha timu saba za Afrika Kombe la Dunia HAKUNA kulala! Fainali za Kombe la Dunia 2026 zimeingia katika hatua ya 16 bora, ambapo tayari mechi mbili za kwanza zilipigwa usiku wa kuamkia leo, Canada imekiwasha dhidi ya Morocco, huku...