Falconets; Wakongwe wanaorudi kusaka taji NIGERIA ni moja ya timu ambazo zimejijengea jina kubwa kwenye mashindano ya Kombe la Dunia kwa wanawake U-20. Timu hiyo inayofahamika kwa jina la Falconets imetengeneza heshima kubwa kwenye...
Kocha Singida Black Stars aanza na tahadhari CAFCC SINGIDA Black Stars ipo tayari kuandika historia mpya kwenye mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika huku kocha mkuu, Papy Kimoto akisisitiza lengo lao ni kuvuka hatua ya kwanza.
KISIWA CHA UMAUTI - 39 ILIPOISHIA Haukupita muda polisi wakafika. Nikaambiwa niende kituo cha polisi kuandikisha maelezo yangu kwa vile tulipotea na chombo baharini na wenzangu walifikwa na umauti. Polisi hao...
SMZ na mkakati wa usalama AFCON 2027 VIKOSI vya ulinzi na usalama vimetakiwa kuanza ujuzi maalumu utakaotumika katika mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) kwa lengo la kudumisha usalama kipindi chote cha mashindano...
Raskazone yajipanga upya ikiokota nne Pemba TIMU ya Raskazone imefanikiwa kuondoka na alama nne ugenini katika michezo yake miwili ya Ligi Kuu Zanzibar iliyocheza kisiwani Pemba.
Kocha JKU afichua siri ya kupambana hadi mwisho Kocha Mkuu wa JKU, Abdul-Saleh Mohammed, amesema kurejesha mabao mawili ndani ya muda mfupi si jambo la kushangaza bali ni matokeo ya kazi kubwa waliyoifanya katika uwanja wa mazoezi.
Kocha Singida Black Stars aanza na tahadhari CAFCC SINGIDA Black Stars ipo tayari kuandika historia mpya kwenye mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika huku kocha mkuu, Papy Kimoto akisisitiza lengo lao ni kuvuka hatua ya kwanza.
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Simulizi ya ajabu Matheus Cunha na mkewe Gabriela KUNA mengi yanaendelea nyuma ya pazia katika ndoa ya staa wa Manchester United na timu ya taifa ya Brazil, Matheus Cunha, 27, na mkewe Gabriela Nogueira, na hizi ni aina ya simulizi ambazo...