Victor Oladipo aomba nafasi ya pili NBA NYOTA wa zamani wa Ligi ya Kikapu Marekani (NBA), Victor Oladipo ametoa ombi kwa mameneja wakuu wa timu za NBA, akitaka kupewa nafasi nyingine katika maisha yake kurejea uwanjani wakati mmoja...
Zaha aanza kupokea simu, timu Championship zikimtaka MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Ivory Coast, Wilfried Zaha, anafukuziwa kwa kasi na timu mbalimbali za Ligi ay Champioship England ambazo zinamtaka kwenda kuzisaidia katika vita ya kupanda Ligi Kuu...
MAUAJI YA KUTISHA -04 ALIPONITHIBITISHA kuwa kweli mwanawe alikuwa ameuawa akaenda pembeni na kumpigia simu mke wake.
Uhamiaji bado inasukwa KOCHA MKUU wa Uhamiaji, Sheha Khamis amesema timu hiyo licha ya kupata ushindi katika mechi mbili ilizocheza katika Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) msimu huu, lakini itaendelea kujipanga vyema...
Chipukizi hali tete Ligi Kuu Zanzibar TIMU ya Chipukizi, imeanza msimu wa 2026-2027 katika Ligi Kuu Zanzibar vibaya baada ya kuambulia vipigo viwili na sare moja.
Safu ya ushambuliaji yaipasua kichwa Mlandege KOCHA Msaidizi wa Mlandege, Sabri China amesema udhaifu katika eneo la ushambuliaji pamoja na hofu iliyowakumba wachezaji wakati wa mchezo ni miongoni mwa sababu zilizochangia timu hiyo kupoteza...
DADDY FRANCIS: Kutoka kukata tamaa Bara hadi kuwaka Zenji WAKATI mwingine watu hufikiria kila kitu kimekwisha, na hapo ndipo maisha yanapotoa nafasi nyingine ya kuanza upya kwa kufungua milango ambayo waliamini ilikuwa imefungwa.
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Vivienne Lia: Mtanzania aliyeiumiza Tanzania Kombe la Dunia Vivienne Lia juzi aligeuka kuwa mwiba kwa Tanzania akihusika moja kwa moja katika mabao mawili ya England iliyoichapa Tanzanite Queens 5-1 kwenye mchezo wa pili wa kundi B la Kombe la Dunia la...