Mkataba wa M’Mombwa, Zabbar utata KIUNGO wa Charles M’Mombwa wa Taifa Stars ametambulishwa kwenye kikosi cha Zabbar St. Patrick inayoshiriki Ligi Kuu Malta baada ya kuachana na Floriana aliyoisaidia kutwaa ubingwa, lakini...
Chipo na hesabu kali Ligi Kuu bara KOCHA Mkuu wa Mtibwa Sugar, Yusuf Chipo ana hesabu kali za mechi mbili zilizosalia kumaliza msimu huu, akisisitiza timu hiyo inahitaji kushinda zote ili kukusanya pointi sita zitakazoamua kama...
Mtibwa Sugar mguu mmoja ndani Championship, Prisons ikifufuka Tanzania Prisons imejiweka katika nafasi nzuri ya kupambana kubaki Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Sokoine,...
Dili iliyokufa -23 ILIPOISHIA Sharifa akagutuka. “Nibaki uchi kabisa?” “Ndio uganga wenyewe mama” “Mh!” Sharifa akaguna. “Umesema unataka uwahi kurudi, mbona unasita sita au tuache?’ “Tusiache, nilikuwa...
Jaku aiomba SMZ kuwekeza Ligi Kuu Zanzibar Mwakilishi wa Paje, Jaku Hashim Ayub ameishauri serikali kuwekeza fedha katika Ligi Kuu Zanzibar kwa lengo la kuipa thamani na ushindani kama zilivyo ligi nyingine.
Malindi yakubali yaishe Ligi Kuu Zanzibar MENEJA wa timu ya Malindi, Ramadhan Sanga amekubali yaishe kwa timu yake kushuka daraja msimu huu huku akisema wana mikakati madhubuti ya kurejea Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Amesema wanakwenda...
Pemba inavyonawiri na viwanja vya kisasa UNAWEZA kusema kwamba zile dhana na imani za kuwa Pemba haiwezi kujengwa, hususan kwa upande wa michezo, kwa sasa mambo yamekuwa tofauti na matarajio ya kila mmoja. Kati ya kundi la watu 100...
Mambo 10 yanayoharibu muonekano wako hata ukivaa nguo nzuri Kuna watu wanapojitokeza, unashindwa kuelewa kama tatizo ni nguo au kitu kingine kinachoharibu picha yao kwa ujumla. Ukweli ni kwamba mwonekano mzuri hauishii kwenye mavazi pekee.
David Ouma apata dili jipya Kenya ALIYEKUWA Kocha wa Singida Black Stars, David Ouma amejiunga na Klabu ya Mathare United ya kwao Kenya, huku akiweka wazi ni sehemu sahihi kwake kuendelea kuonyesha ubora wake, baada ya awali pia...
Dembele anavyoisaka tena Ballon d’Or kimyakimya JUZI, ulimwengu wa soka ulishuhudia shangwe la hat-trick ya Ousmane Dembele dhidi ya Norway ambayo inaonyesha kwa nini Ufaransa ni miongoni mwa wapinzani bora wa Kombe la Dunia 2026.