JKT, Kagera zavuka maji kumsaka Pina TAARIFA kutokea visiwani hapa zinabainisha kwamba, kuna timu mbili kutokea Tanzania Bara, zimevuka maji kumfuata mshambuliaji Abdallah Iddi 'Pina' kwa ajili ya kutaka huduma yake kuelekea msimu...
Azam kushusha vyuma viwili kutoka DR Congo AZAM FC imewaleta nchini nyota wawili kutoka DR Congo ni beki Jeancy Mpindi Mukuene na winga Henoc Molia kwa lengo la kukamilisha usajili wao kuelekea msimu mpya.
Morocco yatinga 32 bora Kombe la Dunia, Haiti ikiaga USHINDI wa mabao 4-2 ilioupata timu ya taifa ya Morocco dhidi ya Haiti leo, umekifanya kikosi hicho kufuzu hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia, ikiwa ni taifa la kwanza kutinga hatua ya mtoano...
Kisa Yanga, Simba, Nado aitwa mezani Azam FC UONGOZI wa Azam FC, umeanza mazungumzo ya kumuongezea mkataba mpya winga wake Idd Seleman 'Nado' wakati huu wa sasa kufikia ukomo mwishoni mwa msimu, huku akihusishwa kutakiwa Yanga na Simba.
Dili iliyokufa -17 “Hizo taarifa tayari zimesambazwa katika vituo vyote vya polisi. Alama yetu ilikuwa ni namba ya usajili ya hilo gari kwani alipofika hapo gesti, watu waliona namba ya gari alilokuwa nalo. Kwa...
Jaku aiomba SMZ kuwekeza Ligi Kuu Zanzibar Mwakilishi wa Paje, Jaku Hashim Ayub ameishauri serikali kuwekeza fedha katika Ligi Kuu Zanzibar kwa lengo la kuipa thamani na ushindani kama zilivyo ligi nyingine.
Malindi yakubali yaishe Ligi Kuu Zanzibar MENEJA wa timu ya Malindi, Ramadhan Sanga amekubali yaishe kwa timu yake kushuka daraja msimu huu huku akisema wana mikakati madhubuti ya kurejea Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Amesema wanakwenda...
Pemba inavyonawiri na viwanja vya kisasa UNAWEZA kusema kwamba zile dhana na imani za kuwa Pemba haiwezi kujengwa, hususan kwa upande wa michezo, kwa sasa mambo yamekuwa tofauti na matarajio ya kila mmoja. Kati ya kundi la watu 100...
Athari za kukosa usingizi kwenye urembo KATIKA harakati za kila siku watu wengi wamekuwa wakitumia fedha nyingi kwenye bidhaa za urembo wakiamini ndiyo njia kuu ya kuboresha mwonekano wa ngozi na sura kwa ujumla. Wengine huwekeza...
Elvis Rupia anukia Ligi Kuu Kenya MSHAMBULIAJI mahiri wa Singida Black Stars, Mkenya Elvis Rupia yuko katika mazungumzo ya kurejea katika timu ya Kenya Police FC ya kwao Kenya aliyowahi kuichezea awali, baada ya klabu hiyo kuanza...
Kocha Scotland akimbia mahojiano KOCHA wa Scotland, Steve Clarke, ameshindwa kuficha hasira zake baada ya timu yake kuchapwa mabao 3-0 na Brazil katika mchezo wa mwisho wa Kundi C wa Kombe la Dunia 2026, kiasi cha kuondoka...