PRIME Beki Al Hilal azivuruga Simba, Yanga MWANASPOTI imesharipoti tangu Jumatatu kuwa Simba iko mbioni kumalizana na beki wa kushoto wa Al Hilal ya Sudan, Ibrahim Imoro, lakini dili hilo limegeuka kwa watani wao Yanga ambao wanadaiwa...
Simba, Yanga usiku freshi KUMBUKUMBU ya mechi tano zilizopita za mashindano ya kimataifa ambazo Yanga na Simba zilicheza usiku kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa zinazipa jeuri ya kufanya vyema katika mechi za kwanza za...
Job afunguka kuhusu Mamelodi BEKI wa Yanga, Dickson Job amesema wanaifahamu vizuri Mamelodi Sundowns na wapo tayari kwa ajili ya kuvaana nao Jumamosi ijayo.
Simba, Yanga zapewa mchongo CAF WAKATI Simba na Yanga zikiendelea kuchora ramani ya kuwamaliza wapinzani wao kwenye michezo ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika, nyota wa zamani wa timu hizo, Willy Martin ‘Garikubwa’ amewapa...
Al Ahly watua Dar kwa tahadhari Msafara wa Al Ahly umewasili mchana huu Dar es Salaam kwa ajili ya mchezo wa hatua ya robo fainali dhidi ya Simba, Ijumaa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa lakini imekiri kuwa italazimika kufanya...
Simba, Al Ahly mwendo wa noti tu SIMBA inashuka uwanjani leo usiku kuvaana na Al Ahly katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika Kwa Mkapa, kabla ya kesho watani wao, Yanga kuikaribisha Mamelodi Sundowns, huku mechi zote...
PRIME Ukiwa na macho ZPL marufuku BODI ya Ligi Kuu Zanzibar (ZPLB) kupitia kwa Mtendaji Mkuu, Issa Kassim ameliambia Mwanaspoti hawatamruhusu kucheza mechi mchezaji yeyote atakayebainika kuwa na tatizo la macho mekundu maarufu...
Dk Mwinyi ajitosa ishu ya Zanzibar CAF SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema bado inapambana ili kupata ufumbuzi juu ya suala la timu ya taifa ya soka ya Zanzibar, 'Zanzibar Heroes' la kutopata nafasi ya kushiriki...
Ule utamu wa miaka 1990 umeanza kurudi Zanzibar WALE waliokuwa wakiamini soka la Zanzibar limeporomoka kiasi kwamba isingekuwa rahisi kuwavuta mastaa wa kigeni kwenda kucheza visiwani humo, pole yao. Wadau na mashabiki wengi wa soka visiwani...
Nenda Wasso! Simba na Yanga hazitakusahau MWANDISHI WETU AMEUMALIZA mwendo kibabe. Mwamba ameondoka. Ndio, Butu-Ingi Ramazan Waso Bakanga maarufu kama Ramadhan Wasso ameondoka. Hatutamwona tena. Juzi ilikuwa ni siku ya majonzi kwa...
Wakenya wabeba ndoo Coco Beach TIMU za Kenya, Kwale Kings na Kilifian HC juzi zilidhihirisha kuwa bora katika mchezo wa mpira wa mkono wa ufukweni baada ya kutawala mashindano ya TAHA Open Handball Championship yaliyohusisha...
Arsenal ngoma ngumu LONDON,ENGLAND: Arsenal kijasho kinawatoka baada ya kutambua ratiba yao ni ngumu sana kabla ya kwenda kuwakabili mahasimu wao Tottenham Hotspur kwenye North London Derby. Arsenal bado...