Mbappe amlaumu Deschamps, awashushia lawama wenzake
NAHODHA wa Ufaransa, Kylian Mbappe, amemlaumu kocha Didier Deschamps kwa mbinu alizozitumia pamoja na kuwakosoa wenzake kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao, kufuatia kipigo cha mabao 2-0 kutoka...