Ivory Coast kikosi ghali Afrika Kombe la Dunia 2026 Licha ya kuwa na kundi kubwa la nyota wenye majina makubwa, Morocco na Senegal zimezidiwa na Ivory Coast katika chati ya timu za Afrika zenye vikosi vya thamani kubwa zaidi kwenye Kombe la Dunia...
Man City yakomaa na Anderson Manchester City imekataliwa ofa yao ya kwanza waliyopeleka kwa ajili ya kumsajili kiungo Elliot Anderson kutoka Nottingham Forest.
Malindi yakubali yaishe Ligi Kuu Zanzibar MENEJA wa timu ya Malindi, Ramadhan Sanga amekubali yaishe kwa timu yake kushuka daraja msimu huu huku akisema wana mikakati madhubuti ya kurejea Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Amesema wanakwenda...
Dili iliyokufa - 9 ILIPOISHIA Katika nyumba ya jirani na kiwanja hicho Wakwetu alimkuta mzee aliyekuwa ameketi barazani kwenye kiti cha uvivu. Akaenda kumsalimia. “Shikamoo mzee.” “Marahaba. Hujambo?” “Sijambo.
Malindi yakubali yaishe Ligi Kuu Zanzibar MENEJA wa timu ya Malindi, Ramadhan Sanga amekubali yaishe kwa timu yake kushuka daraja msimu huu huku akisema wana mikakati madhubuti ya kurejea Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Amesema wanakwenda...
Pemba inavyonawiri na viwanja vya kisasa UNAWEZA kusema kwamba zile dhana na imani za kuwa Pemba haiwezi kujengwa, hususan kwa upande wa michezo, kwa sasa mambo yamekuwa tofauti na matarajio ya kila mmoja. Kati ya kundi la watu 100...
Chipukizi, New Kings bado zina nafasi ZPL USHINDI wa bao 1-0 wa Polisi dhidi ya Chipukizi katika mchezo wa Ligi Kuu Zanzibar uliochezwa Uwanja wa Gombani, Pemba, umeongeza presha kwa Chipukizi na New Kings katika vita vya kujiokoa...
Ibenge kasukuma kete za ushindi Azam ZILE tetesi za Florent Ibenge kuondoka Azam FC sasa zimezikwa rasmi na hatimaye Kocha huyo raia wa DR Congo sasa atabakia rasmi klabuni hapo.
Mkenya kulamba dili jipya Pamba Jiji MABOSI wa Pamba Jiji wameanza mchakato wa kumuongezea mkataba mpya mshambuliaji wa kikosi hicho, Mkenya Mathew Momanyi Tegisi baada ya kuridhishwa na kiwango chake tangu amejiunga na timu hiyo.
Mourinho amtaka beki Calafiori aletwe Real Madrid Kocha wa Real Madrid, Jose Mourinho anataka kumsajili beki wa Arsenal, Riccardo Calafiori, kama sehemu ya mpango wake wa kuijenga upya timu hiyo yenye maskani yake kwenye Uwanja wa Santiago...