Pamba Jiji yaanza na Baraza ikipishana na kinara wa mabao ikiahidi kurudi upya
Wakati Pamba Jiji ikianza maandalizi ya msimu ujao, vigogo wa timu hiyo wamemuwahi Kocha Mkuu, Francis Baraza kumsainisha mkataba wa mwaka mmoja, huku wakipishana na mkali wa mabao msimu uliopita.