Al Ahly Benghazi yatua kwa Paul Peter KUNA taarifa za mshambuliaji wa JKT Tanzania, Paul Peter kuhitajika na klabu ya Al Ahly Benghazi, ili kumsajili kwa ajili ya msimu ujao, baada ya kufanya vizuri msimu uliomalizika.
Mashujaa, JKT TZ zafukuzia saini ya Sure Boy KIUNGO mkabaji aliyemaliza mkataba wake na Yanga, Salum Abubakar ‘Sure Boy’ imeelezwa anatakiwa na timu mbalimbali za Ligi Kuu ya NBC ikiwemo JKT Tanzania na Mashujaa.
Al Ahly Benghazi yatua kwa Paul Peter KUNA taarifa za mshambuliaji wa JKT Tanzania, Paul Peter kuhitajika na klabu ya Al Ahly Benghazi, ili kumsajili kwa ajili ya msimu ujao, baada ya kufanya vizuri msimu uliomalizika.
Dili iliyokufa - 36 ILIPOISHIA Nikakaa kwenye jamvi. Kimoyomoyo nilikuwa najiuliza kwanini hawa waganga wa kienyeji hawaboreshi mazingira yao wakati wanapata pesa nyingi. Kila siku tunakaa chini tu. Mganga...
18 waitwa Kabaddi Zanzibar RAIS wa Shirikisho la Mchezo wa Kabaddi Zanzibar, Abdalla Juma ametangaza majina ya wachezaji 18 watakaounda Timu ya Taifa ya wanaume kwa mwaka 2026, itakayoiwakilisha Zanzibar katika Mashindano...
Khatma kocha wa kwanza mwanamke ZPL LICHA ya New King kushuka daraja msimu wa 2025-2026 ilipomaliza nafasi ya 13, lakini Khatma Khamis Mwalimu maarufu Betina, ameandika historia ya kuwa kocha mkuu wa kwanza wa kike kufundisha timu...
Mkenya presha yaanza Mtibwa Sugar KICHAPO cha mabao 2-1 ilichokipata Mtibwa Sugar dhidi ya Tanzania Prisons, kimemfanya kocha mkuu wa kikosi hicho, Mkenya, Yusuf Chippo kusema anahitaji miujiza zaidi ya kuinusuru timu hiyo katika...
Kevin De Bruyne kumfuata Messi KIUNGO Kevin De Bruyne yupo mbioni kumfuata Lionel Messi katika Ligi Kuu ya Marekani (MLS).