Barcelona ilimuonea hapa Mtanzania KUNA baadhi ya watu bado wanajiuliza, ilikuwaje hadi kijana Mtanzania, Barka Seif, akajikuta akisajiliwa na akademi maarufu ya Barcelona, La Masia.
Uruguay kimeumana huko WACHEZAJI wa timu ya taifa ya Uruguay wamepata pigo jingine baada Shirikisho la Soka la Uruguay (AUF) kuchukua uamuzi kuvunja kambi na kila mtu kutakiwa kujigharamia mwenyewe safari ya...
Yas yajivunia mbio za Selous Marathon KAMPUNI ya Mawasiliano ya Yas, inajivunia sehemu ya wadau wanaounga mkono mbio za TCB Selous Marathon, zinazojijengea nafasi ya jukwaa muhimu la kuhamasisha afya, kukuza utalii na kuchochea...
Dili iliyokufa -27 ILIPOISHIA James akamuuliza yule mkuu wa kituo cha yatima. Mkuu wa kituo hicho alimtazama na kumuuliza: “Kwani wewe ni nani?” “Mimi ndiye niliyechukuliwa na Mchungaji Antony James Hiza kutoka...
KMKM bingwa tena FA Zanzibar MABAHARI wa KMKM, wamefanikiwa kutetea ubingwa wa Kombe la FA Zanzibar baada ya kuitandika Chipukizi mabao 2-1 katika fainali iliyochezwa Juni 27, 2026 kwenye Uwanja Gombani uliopo kisiwani Pemba.
Mfungaji Bora ZPL azigonganisha tatu Bara MSHAMBULIAJI wa KVZ, Michael Joseph aliyeibuka kinara wa ufungaji katika Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) msimu wa 2025-2026, amezivutia timu tatu za Ligi Kuu Bara ambazo ni Namungo, Coastal Union na...
Raskazone yasuka mikakati ya Ligi Kuu Zanzibar BAADA ya kufanikiwa kupanda daraja kushiriki Ligi Kuu Zanzibar msimu ujao, Raskazone imeendelea kufanya tathmini ya kikosi chake ili kuboresha maeneo yenye changamoto kuhakikisha timu inakuwa ya...
Mkenya presha yaanza Mtibwa Sugar KICHAPO cha mabao 2-1 ilichokipata Mtibwa Sugar dhidi ya Tanzania Prisons, kimemfanya kocha mkuu wa kikosi hicho, Mkenya, Yusuf Chippo kusema anahitaji miujiza zaidi ya kuinusuru timu hiyo katika...
Argentina yazindua sanamu la Messi ARGENTINA imezindua sanamu ya Messi yenye uzito wa tani 70, ikiwa ni kubwa zaidi duniani ambayo inalenga kuvutia watalii katika Jiji la Cutral Co lililopo mkoani Neuquen ambalo linaaminika kuwa...