DR Congo yacheza kwa siri kuhofia ebola Timu ya taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DR Congo) italazimika kucheza mechi yake ya mwisho ya maandalizi ya Kombe la Dunia bila mashabiki baada ya mamlaka kuamua mechi hiyo ifanyike...
Maignan, AC Milan ngoma ngumu, Chelsea ikitajwa kumvizia KIPA wa kimataifa wa Ufaransa na AC Milan, Mike Maignan, inadaiwa kuwasilisha ombi la kuondoka kikosini kutokana na mwisho mbaya wa msimu wa timu yake kulikoenda sambamba na kufutwa kazi kwa...
Dili iliyokufa - 13 ILIPOISHIA Alfajiri ya siku ya pili yake Sharifa aliamka akatoka uani akiwa na simu yake mkononi. Akampigia mwanawe Majaliwa. Simu iliita sana kabla ya kupokelewa. Ilipopokelewa sauti ya...
Malindi yakubali yaishe Ligi Kuu Zanzibar MENEJA wa timu ya Malindi, Ramadhan Sanga amekubali yaishe kwa timu yake kushuka daraja msimu huu huku akisema wana mikakati madhubuti ya kurejea Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Amesema wanakwenda...
Pemba inavyonawiri na viwanja vya kisasa UNAWEZA kusema kwamba zile dhana na imani za kuwa Pemba haiwezi kujengwa, hususan kwa upande wa michezo, kwa sasa mambo yamekuwa tofauti na matarajio ya kila mmoja. Kati ya kundi la watu 100...
Chipukizi, New Kings bado zina nafasi ZPL USHINDI wa bao 1-0 wa Polisi dhidi ya Chipukizi katika mchezo wa Ligi Kuu Zanzibar uliochezwa Uwanja wa Gombani, Pemba, umeongeza presha kwa Chipukizi na New Kings katika vita vya kujiokoa...
Mkenya kulamba dili jipya Pamba Jiji MABOSI wa Pamba Jiji wameanza mchakato wa kumuongezea mkataba mpya mshambuliaji wa kikosi hicho, Mkenya Mathew Momanyi Tegisi baada ya kuridhishwa na kiwango chake tangu amejiunga na timu hiyo.
Maignan, AC Milan ngoma ngumu, Chelsea ikitajwa kumvizia KIPA wa kimataifa wa Ufaransa na AC Milan, Mike Maignan, inadaiwa kuwasilisha ombi la kuondoka kikosini kutokana na mwisho mbaya wa msimu wa timu yake kulikoenda sambamba na kufutwa kazi kwa...