Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

961 results for Oscar Oscar :

  1. Yanga wafanya vitu saa tatu, yaifumua Chipukizi ya Pemba

    BAADA ya kuifunga Chipukizi ya Pemba mabao 2-1 jana Jumatano, Kocha wa Yanga, Ernest Brandts, amewatuliza mashabiki wa timu hiyo akiwaambia kwamba mambo yanakwenda sawa hivyo wasiwe na mchecheto...

  2. Chelsea moto, Arsenal balaa

    MABAO mawili ya ‘chapchap’ katika dakika 10 za mwisho yaliyofungwa na Eden Hazard na Willian yalitosha kwa Chelsea kuisambaratisha Norwich City mabao 3-1 katika mechi ya Ligi Kuu England, jana...

  3. Pauni 253 mil zakaa benchi

    Licha ya klabu 20 za Ligi Kuu England kutumia pauni 630 milioni kuimarisha vikosi vyao, klabu hizo zimepata pigo baada ya nyota hao kuwa majeruhi.

  4. NYUMA YA PAZIA : Perez na peni yake ya Almasi

    NDEGE ya kifahari zaidi duniani Air Force One anapanda Rais wa Marekani. Haikutengenezwa kwa ajili ya usalama wa Rais wao tu pia ilitengenezwa kwa ajili ya kuonyesha ufahari wa Taifa la Marekani.

  5. ‘Bahati yao hao tungewafunga’

    Bahati yao ndiyo maneno waliyokuwa wakitambiana makocha, David Moyes wa Manchester United na Jose Mourinho wa Chealsea baada ya suluhu ya timu hizo jana jumatatu usiku kwenye ligi kuu ya...

  6. Yanga Africa : Kasi mpya,nguvu mpya

    YANGA haikutaka kubadili kikosi chake kilichotwaa ubingwa msimu uliopita. Imeongeza sura chache sana tofauti na mashabiki walivyotarajia kwamba wangesikia majina makubwa yanatua Jangwani kwa...

  7. Kocha Villa: Pasi za Oloya zinafaa Yanga

    KOCHA wa Sports Club Villa ya Uganda, Steven Bugere amenyanyua mikono juu na kusema Yanga ni babu kubwa na amesisitiza, Moses Oloya anafaa kukichezea kikosi cha Jangwani na si Simba.

  8. NYUMA YA PAZIA : Mleteeni Rodgers kikombe cha kahawa

    YUKO na kikombe chake cha kahawa. Labda ni kahawa ya Ghana, Brazil au Tanzania.

  9. Oloya, Ngassa wavuruga usajili usiku

    USAJILI wa Ligi Kuu Tanzania Bara ulifungwa usiku wa kuamkia leo Jumanne, huku Simba na Yanga zikigongana uso kwa uso kwa wachezaji wawili; Mrisho Ngassa na Moses Oloya

  10. Yanga, Simba ni moto chini

    KIPINDI cha kwanza cha uhamisho na usajili wa wachezaji wa Ligi Kuu Bara msimu ujao kinakamilika kesho Jumatano saa 6.00 usiku.

Previous

Page 92 of 97

Next