Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

3246 results for Mwandishi Wetu :

  1. Spurs kicheko, Man United kilio Europa

    MICHUANO ya Europa League inatinga hatua ya nusu fainali na Manchester United, Athletic Bilbao, Bodo/Glimt na Tottenham ndizo zilizotinga kusaka zitakazocheza fainali.

    EUROPA Pict
  2. Garnacho atua anga za Atletico Madrid

    ATLETICO Madrid ipo tayari kuweka mezani kiasi cha Pauni 70 milioni kwenda Manchester United kwa ajili ya kuipata saini ya winga wa timu hiyo na Argentina, Alejandro Garnacho, 20.

    TETESI Pict
  3. TOTAL FUTBOL: Ni wikiendi ya shampeni

    WIKIENDI hii, Ligi Kuu England itakuwa inaingia katika mzunguko wa 33 ambapo kila timu itakuwa imebakisha mechi tano kabla ya kuhitimisha msimu huu.

    SHAMPENI Pict
  4. Arsenal yaiharibia rekodi Real Madrid Ulaya

    Arsenal inapambana kuchukua taji hili kwa mara ya kwanza katika historia yao ingawa hapo awali iliwahi kushinda lakini wakati huo lilikuwa linaitwa European Cup Winners msimu wa 1993-94.

    REKODI Pict
  5. Amorim anatia huruma Man United

    NDIO hivyo. Baada ya kukiri mwenyewe kwamba yeye ni miongoni mwa makocha wenye rekodi mbovu kuwahi kutokea Manchester United na kusisitiza kwamba anahitaji kushinda Europa League ili kuweka mambo...

    AMORIM Pict
  6. Waarabu waweka dau nono kwa Moises Caicedo

    Ripoti kutoka tovuti ya Telegraph, zinaeleza kwamba Chelsea inaweza kuwa tayari kumuuza fundi huyu lakini kwa kiasi cha pesa ambacho kitakuwa zaidi ya Pauni 100 milioni.

    FUNUNU Pict
  7. Gundu lamtoa machozi Harry Kane

    STRAIKA wa Bayern Munich ambaye ni kapteni wa timu ya taifa ya England, Harry Kane, alibubujikwa na machozi baada ya Bayern Munich kutolewa kwenye robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na Inter...

    GUNDU Pict
  8. Huko Liverpool ni vicheko tu

    HUENDA ukawa ni mwezi mzuri sana kwa Liverpool kutokana na matukio ambayo yanajiri kwao kuanzia ndani ya uwanja na nje ya uwanja.

    LIVERPOOL Pict
  9. Howe azuia dili la Isak kwa vigogo Ulaya

    KOCHA wa Newcastle United, Eddie Howe amewaambia mabosi kwamba anahitaji kuendelea kuipata huduma ya straika wa kimataifa wa Sweden, Alexander Isak anayehusishwa kuondoka mwisho wa msimu huu.

  10. Spurs, Man United ni 'Do or Die'

    HATUA ya robo fainali ya michuano ya Europa League kwa mechi za mkondo wa pili inatarajiwa kufanyika leo ambapo timu zote nane zitashuka dimbani kwenye viwanja mbalimbali kupambania tiketi ya...

Previous

Page 7 of 325

Next