Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

961 results for Oscar Oscar :

  1. JEMBE: Medel awakabili Brazil na kifaa maalumu mguuni

    >KWA mujibu wa Kocha wa Chile, Jorge Sampaoli, kama timu yake ingepangwa kucheza na Brazil Ijumaa, basi Gary Medel asingecheza mechi hiyo.

  2. Brazil 2014: Kipa wa Colombia avunja rekodi ya Roger Milla Kombe la Dunia

    WAKIWA na uhakika wa kuongoza Kundi C, Colombia walifanya kitu cha kuwafanya kuweka rekodi kwenye fainali za Kombe la Dunia zinazoendelea kupamba moto nchini Brazil.

  3. UTAIPENDA: Brazil

    >WENYEJI Brazil jana Jumatatu walifuzu kwa kishindo hatua ya pili ya fainali za Kombe la Dunia baada ya kuilaza Cameroon mabao 4-1 na kushika usukani katika Kundi A wakiwa na pointi saba.

  4. Taifa Stars sasa mguu sawa kambini

    KIKOSI cha Taifa Stars kinaingia kambini Jumatatu ijayo tayari kwa safari ya kwenda Gaborone, Botswana kujiandaa na mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Afrika 2015 dhidi ya Msumbiji.

  5. Brazil 2014: Kufa au kupona England inapokutana na Uruguay leo

    NAHODHA wa Uruguay, Diego Lugano amesema kwamba mechi yao ya leo Alhamisi dhidi ya England inatoa picha ya kufa na kupona kwa timu hizo kwenye fainali za Kombe la Dunia zinazoendelea nchini Brazil.

  6. NYUMA YA PAZIA: Eti Wabrazili wanatembelea nyayo za Neymar

    >JUZI tu nilikuwa nakatiza katika vijiwe vya hapa Sao Paulo na kusimuliwa kisa ambacho sikuwahi kukisikia. Visa vingine havifiki katika vyombo vya habari vya Magharibi na ni vigumu kuvisikia...

  7. Nishimura: Azua gumzo Brazil kwa maamuzi yake tata

    >KIUNGO, Oscar aling’ara juzi Alhamisi usiku wakati Brazil ilipoichapa Croatia 3-1 kwenye mechi ya ufunguzi ya fainali za Kombe la Dunia iliyofanyika mjini Sao Paulo.

  8. BRAZIL NOMA: Kazi ipo leo; Hispania v Uholanzi

    >NEYMAR ni habari nyingine. Ndiyo hivyo baada ya staa huyo kufunga mara mbili kuisaidia Brazil kuanza kampeni ya kusaka taji la sita la Kombe la Dunia kwa kuichapa Croatia 3-1 kwenye mchezo wa...

  9. Brazil, Croatia mwanzo wa utamu Kombe la Dunia 2014

    BRAZIL imepania kutuma salamu za nguvu katika mechi yao ya ufunguzi ya fainali ya Kombe la Dunia dhidi ya Croatia, leo Alhamisi.

  10. Brazil 2014: Brazil inaanza na vita ya wakali hawa kwenye tuzo ya Mchezaji Bora

    Leo Alhamisi, mwamuzi Mjapani, Yuichi Nishimura, atapuliza kipyenga kuanzisha mechi ya ufunguzi wa fainali za Kombe la Dunia wakati wenyeji Brazil watakaposhuka kwenye Uwanja wa Itaquerao mjini...

Previous

Page 86 of 97

Next